Feisal Salum nakusalimia Kijana wangu. Habari za Kigali

Fei anajitahidi sana ila Sasa Kuna mwamba anaitwa gibrill silaπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Akili za Wana Yanga,Kwa nini bado mnamfatilia kijana wa kizenji? Fei anakula mshahara kama kawaida na itafika muda hapo Azam ataondoka.....waTanzania mna matatizo sana kwenye Usimba na Uyanga.
 
Akili za Wana Yanga,Kwa nini bado mnamfatilia kijana wa kizenji? Fei anakula mshahara kama kawaida na itafika muda hapo Azam ataondoka.....waTanzania mna matatizo sana kwenye Usimba na Uyanga.
Yeye ndo anacheza huku akiwaza kuwaonyesha yanga kwamba yeye ni bora.
Wewe unacheza na APR huku unaiwaza yanga kweli..
 
Akili za Wana Yanga,Kwa nini bado mnamfatilia kijana wa kizenji? Fei anakula mshahara kama kawaida na itafika muda hapo Azam ataondoka.....waTanzania mna matatizo sana kwenye Usimba na Uyanga.
Hiyo ipo dunia mzima labda wewe haufuatilii mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…