kiko wapiNasikia ulijiapiza kuwa ligi ya mapingwa Caf kuwa unataka uwaonyeshe Simba na Yanga mpira unavyochezwa.
PIA SOMA
- News Alert: - FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | π Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
Silla ni mzuri bado ana utoto mwingi.Fei anajitahidi sana ila Sasa Kuna mwamba anaitwa gibrill silaππ
Kiherehere kwishaπ€£π€£kiko wapi
Mwingi mno mpira anaujua tena sana ila Sasa kuwa serious ndio kipengele nadhani ndio maana raja walimshindwa ila ni ballerSilla ni mzuri bado ana utoto mwingi.
Ana shida gani Silla?Fei anajitahidi sana ila Sasa Kuna mwamba anaitwa gibrill silaππ
Kwisha habari yako.View attachment 3078447
Anakwambia Chechei....
mapingwa ndio nini?Nasikia ulijiapiza kuwa ligi ya mapingwa Caf kuwa unataka uwaonyeshe Simba na Yanga mpira unavyochezwa.
PIA SOMA
- News Alert: - FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | π Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
Yeye ndo anacheza huku akiwaza kuwaonyesha yanga kwamba yeye ni bora.Akili za Wana Yanga,Kwa nini bado mnamfatilia kijana wa kizenji? Fei anakula mshahara kama kawaida na itafika muda hapo Azam ataondoka.....waTanzania mna matatizo sana kwenye Usimba na Uyanga.
View attachment 3078447
Anakwambia Chechei....
Hiyo ipo dunia mzima labda wewe haufuatilii mpiraAkili za Wana Yanga,Kwa nini bado mnamfatilia kijana wa kizenji? Fei anakula mshahara kama kawaida na itafika muda hapo Azam ataondoka.....waTanzania mna matatizo sana kwenye Usimba na Uyanga.
Ukitaka azeekee Yanga?Hiyo ipo dunia mzima labda wewe haufuatilii mpira