Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Ni jambo zuri dogo amepata mkwanja wa kutosha baada ya kusajiliwa Azam!
Ila ndiyo hivyo tena! Asahau kuhusu furaha ya kubeba mataji na kupata mafanikio makubwa kwenye soka.
Labda afanye zengwe ahamie timu kama Simba. Azam hawajawahi kuwa na msukumo wa kutaka mafanikio makubwa ndani na nje ya nchi kama ilivyo kwa Yanga.
Ila ndiyo hivyo tena! Asahau kuhusu furaha ya kubeba mataji na kupata mafanikio makubwa kwenye soka.
Labda afanye zengwe ahamie timu kama Simba. Azam hawajawahi kuwa na msukumo wa kutaka mafanikio makubwa ndani na nje ya nchi kama ilivyo kwa Yanga.