Hiyo ipo dunia mzima labda wewe haufuatilii mpira
Sio kweli,Yanga ndio wanaumia na Feisal chuki ni kubwa sana huko mtaani ndio usiseme,Wana Yanga waache dogo aendelee na maisha aliyoyachagua......akiifunga Yanga wanataka alie asishangilie kweli?Yeye ndo anacheza huku akiwaza kuwaonyesha yanga kwamba yeye ni bora.
Wewe unacheza na APR huku unaiwaza yanga kweli..
Oooh!! Typing error. Unajua nipo huku London mwaka wa 19 sasa ndio maana.mapingwa ndio nini?
Kwahiyo yanga ndo imefanya wapigwe na APR ? yeye apambane na hali yake ...Sio kweli,Yanga ndio wanaumia na Feisal chuki ni kubwa sana huko mtaani ndio usiseme,Wana Yanga waache dogo aendelee na maisha aliyoyachagua......akiifunga Yanga wanataka alie asishangilie kweli?
Yanga ni kubwa kuliko Feisal kwa nini mnaleta utopolo?
Shobo😁Nongwa hiyo kaka