Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Yaani kutakuwa na bifu kali kati ya Injinia na Fei, siyo bure. Injinia akiendelea kugomea kuvunja mkataba tutasikia mengi sana.

Haiwezekani Fei yupo tayari kuacha mpira kisa Injinia.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mkataba hauvunjwi na Enginer bali na Klabu! Na huyo Feisal hana hadhi ya kuwa na bifu na Engineer, acheni kumjaza ujinga!!
 
Mkataba hauvunjwi na Enginer bali na Klabu! Na huyo Feisal hana hadhi ya kuwa na bifu na Engineer, acheni kumjaza ujinga!!
Sasa ndiyo Engineer ambashie mtoto wa watu wakati Kabwili yupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…