demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Hivi kwanza hujashtuka tu mara zote hizo kukimbiwa na wanasheria wako?
Ulianza na wale wa Bernard Morrison.
Ukaja na Shangazi Mwanasheria Mwanasiasa.
Na sasa Umefika kwa Mwanasheria wa msuva.
Shtuka mdogo wangu, hao wote wanatambua kuwa hutoboi dhidi ya Yanga SC na ndio maana mwanasheria wako wa sasa hivi amekushauri ukavunje mkataba baada ya kusoma tu shauri lako na klabu yako. Ulikosea sana kufuata ushauri wa watu wasio fahamu mpira. Ona sasa hata hao nao wamekukimbia, wamebaki kukuungumza tu mitandaoni.
Kila mwenye akili anafamahu kabisa hauna msimamo bali una kiburi, hata viongozi wa klabu yako wanafahamu hilo. Ndio maana wanataka watoe fundisho kupitia wewe. Sio kwamba wana uhitaji na wewe sana bali hapana. Na viongozi wako pia wanafahamu kuwa wewe si wa kurudi pale hata wakamsajili Mudathir.
Kimsingi mwanasheria wako ndiye aliyekushauri ukaulizie gharama ya kuvunja mkataba na Yanga, na kwasababu ya jeuri yako ukaamua mupeleke maombi hayo kupitia TFF. Mdogo wangu viongozi wako wamepanga wavune Milioni 500 kutokana na kuvunja mkataba wako na wao. Wanafahamu wazi kuwa Azam FC ndio mabosi wako watarajiwa, wanafahamu kuwa boss wako atakusaidia tu.
Hata kama ikishindana wanakuvizia miezi 3 kabla ya mkataba wako na wao kutamatima, ili wakakufungulie kesi ya madai ya kwanini walikuwa wakikulipa mshahara na kazini hukuwa unaripoti. Wamepanga kuwa hawakuachi uondoke free (bure) hata kama ukiamua kukaa gheto ungoje tamati ya mkataba wako.
Kuna hati hati pia hata dirisha lijalo la usajili usisajiliwe na timu yeyote kwa kuwa bado utakuwa kwenye kesi ya madai na klabu yako.
Mdogo wangu hakuna mchezaji anayeweza kuvunja mkataba na klabu yake pasi na klabu kunufaika. Inawezekana tu kama ungekuwa Juma Makapu, Telela au crispin ngushi.
Waambie tu hao matajiri wa juisi wapeleke pesa tu pale avic town ili ucheze mpira msimu ujao.
Ulianza na wale wa Bernard Morrison.
Ukaja na Shangazi Mwanasheria Mwanasiasa.
Na sasa Umefika kwa Mwanasheria wa msuva.
Shtuka mdogo wangu, hao wote wanatambua kuwa hutoboi dhidi ya Yanga SC na ndio maana mwanasheria wako wa sasa hivi amekushauri ukavunje mkataba baada ya kusoma tu shauri lako na klabu yako. Ulikosea sana kufuata ushauri wa watu wasio fahamu mpira. Ona sasa hata hao nao wamekukimbia, wamebaki kukuungumza tu mitandaoni.
Kila mwenye akili anafamahu kabisa hauna msimamo bali una kiburi, hata viongozi wa klabu yako wanafahamu hilo. Ndio maana wanataka watoe fundisho kupitia wewe. Sio kwamba wana uhitaji na wewe sana bali hapana. Na viongozi wako pia wanafahamu kuwa wewe si wa kurudi pale hata wakamsajili Mudathir.
Kimsingi mwanasheria wako ndiye aliyekushauri ukaulizie gharama ya kuvunja mkataba na Yanga, na kwasababu ya jeuri yako ukaamua mupeleke maombi hayo kupitia TFF. Mdogo wangu viongozi wako wamepanga wavune Milioni 500 kutokana na kuvunja mkataba wako na wao. Wanafahamu wazi kuwa Azam FC ndio mabosi wako watarajiwa, wanafahamu kuwa boss wako atakusaidia tu.
Hata kama ikishindana wanakuvizia miezi 3 kabla ya mkataba wako na wao kutamatima, ili wakakufungulie kesi ya madai ya kwanini walikuwa wakikulipa mshahara na kazini hukuwa unaripoti. Wamepanga kuwa hawakuachi uondoke free (bure) hata kama ukiamua kukaa gheto ungoje tamati ya mkataba wako.
Kuna hati hati pia hata dirisha lijalo la usajili usisajiliwe na timu yeyote kwa kuwa bado utakuwa kwenye kesi ya madai na klabu yako.
Mdogo wangu hakuna mchezaji anayeweza kuvunja mkataba na klabu yake pasi na klabu kunufaika. Inawezekana tu kama ungekuwa Juma Makapu, Telela au crispin ngushi.
Waambie tu hao matajiri wa juisi wapeleke pesa tu pale avic town ili ucheze mpira msimu ujao.