Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Kwaiyo katika hiyo miezi 3 kesi unahesabia sikuzake au unaziacha?
kuna mtu kasema mchezaji asipo hudhuria ofisini siku 3 basi afukuzwe.

je ni kipengere cha sheria ipi kinasema hivyo...? NIKAULIZA.
 
TFF ukiwa na hela yako unashinda kesi yoyote hukumsikia yule mmiliki wa gwambina alivyoongea kuhusu TFF w wale wananuka njaa ni hela yako sasa feisal anahela za kuizidi yanga kuhonga mbona unaongea kama mgeni wa soka la bongo
kwa mantiki iyo unataka kuuaminisha UMMA wa wana JF kuwa.

Bernard Morrison alikuwa na pesa nyingi sana kushinda Gharib Salim Bilal (GSM) ndio maana akashinda kesi yake dhidi ya Yanga SC? 😁
 
Katika shauri la kwanza la feisal alilopeleka TFF ni kuomba status yake ya mkataba wake na yanga sc ipitiwe.

je alikuwa sahihi kuvunja mkataba pasi na upande wa pili (yanga sc) kuafiki, kwanini TFF hawajabariki usitishaji wake wa mkataba?
Kwa majibu ya sheria za FIFA,sio sahii, sheria inasema katikati ya msimu mchezaji ataruhusiwa kuvunja mkataba bila mutual agreements. Na kama akivunja bila mutual agreements imeweka bayana consequences zake ambazo ni
1.kupigwa fine
2.kufungiwa
Au vyote kwa pamoja. Kwa kua yanga bado wanang'ang'ania kua hajavunja mkataba ndio maana hajaadhibiwa hadi sasa. Sheria inasema hairuhisiwi,hii tu haimaanishi kua hawezi kuvunja na imeweka bayana hasara atakazopata mchezaji kwa kufanya hivo.
 
Na mm nikakuuliza ni sheria ipi inayokataza kufukuza mtoro?
ni sheria za TAMISEMI pekee zinazo toa mwanya kwa halmashauri kufukuza watoro walio ajiriwa na serikali katka kada mbalimbali.

Katika mpira wa miguu sijawahi kuona sheria hii pahala popote wala sijawahi kusikia mchezaji amefukuzwa kwa utoro.

Labda uje na mfano wa mchezaji aliye fukuzwa kwa utoro pengine wanajamvi watakuelewa.
 
ni sheria za TAMISEMI pekee zinazo toa mwanya kwa halmashauri kufukuza watoro walio ajiriwa na serikali katka kada mbalimbali.

Katika mpira wa miguu sijawahi kuona sheria hii pahala popote wala sijawahi kusikia mchezaji amefukuzwa kwa utoro.

Labda uje na mfano wa mchezaji aliye fukuzwa kwa utoro pengine wanajamvi watakuelewa.
Kwani aliyeleta masuala ya sheria si ni ww? Kama hujawahi kuiona kwann umeileta? Mm nilidhani kuna sheria inayopingana na nilichosema kuwa mtoro ni wa kufukuzwa. Hakuna sehemu nimesema sheria inalazimisha mtoro afukuzwe.
 
mbona makasiriko sasa?

nimeuliza swali jepesi.....

Kama TFF ndio imetoa hukumu ya kuwa feisal ako na mkataba halali na yanga ssc. na wewe unadai kuwa TFF wamekosea.

je tumuamini nani sasa? WEWE au TFF?
Sina makasiriko yoyote mkuu,nimekupa option ya kuchagua utachokachopenda kuamini.
 
Kwa majibu ya sheria za FIFA,sio sahii, sheria inasema katikati ya msimu mchezaji ataruhusiwa kuvunja mkataba bila mutual agreements. Na kama akivunja bila mutual agreements imeweka bayana consequences zake ambazo ni
1.kupigwa fine
2.kufungiwa
Au vyote kwa pamoja.


ataruhusiwa kuvunja mkataba bila maafikiano na muajiri wake. na kama akivunja bila maafikiano basi atakumbana na adhabu.


je wewe umeelewa ulicho kiandika? 😁😁😁😁
 
Kwani aliyeleta masuala ya sheria si ni ww? Kama hujawahi kuiona kwann umeileta? Mm nilidhani kuna sheria inayopingana na nilichosema kuwa mtoro ni wa kufukuzwa. Hakuna sehemu nimesema sheria inalazimisha mtoro afukuzwe.
Nani aliyesema mchezaji akiwa mtoro siku 3 basi afukuzwe? Si ni wewe?

Nika kwambia mpira wa miguu sio TAMISEMI, huku awafukuzagi ovyo ovyo. umeona wapi duaniani mchezaji anafukuzwa kisa ajafika pahala pake pa kazi kwa siku 3?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
ataruhusiwa kuvunja mkataba bila maafikiano na muajiri wake. na kama akivunja bila maafikiano basi atakumbana na adhabu.


je wewe umeelewa ulicho kiandika? 😁😁😁😁
Mkuu,fikiria vizuri halafu ucomment tena.
 
Sina makasiriko yoyote mkuu,nimekupa option ya kuchagua utachokachopenda kuamini.
Duh aisee wewe ni noma sana.

yani umenipa hadi option ya aidha kukuchagua wewe au TFF>😁😁

kwamba unadhani kuna mtu anaweza akaacha kuamini chombo kinacho tambulika na FIFA akaja kuamini unachosema wewe...
 
Nani aliyesema mchezaji akiwa mtoro siku 3 basi afukuzwe? Si ni wewe?

Nika kwambia mpira wa miguu sio TAMISEMI, huku awafukuzagi ovyo ovyo. umeona wapi duaniani mchezaji anafukuzwa kisa ajafika pahala pake pa kazi kwa siku 3?
Embu rudi soma. Ts either hukuelewa au unajibu kwa haraka sana. Halafu japo hicho unachosema nimesema sio sahihi still umesahau kuonyesha sheria imeingiaje kwenye hiyo sentensi.
 
Duh aisee wewe ni noma sana.

yani umenipa hadi option ya aidha kukuchagua wewe au TFF>😁😁

kwamba unadhani kuna mtu anaweza akaacha kuamini chombo kinacho tambulika na FIFA akaja kuamini unachosema wewe...
Kwa mujibu wako ni sawa mkuu.
 
Huna Unachokijua Wewe Paka, Kwenye Ishu Ya Morrison Na Yanga TFF Walikuwa Wazuri Sana Kwenu Kisa Yanga ilishindwa Kesi Lakini Leo Kwenye Kesi Hii Ushindi Upo Kwa Yanga Mnajifanya Eti TFF Wanapendelea….PUMBAVU KABISA KOLO WAHEEED!
E bhana kinyundo [emoji375] [emoji28]
 
Ni kwa sababu chombo kinahusika na kuthibitisha uhalali wa mikataba bado kinamkazia kinasema kua mkataba wake haujavunjika, ndio maana sasa akapeleka ombi kwenye hicho hicho chombo ili avunje mkataba
TFF kamwe haihusiki na uvunjaji wa mkataba kazi yao ni kuangalai uhalali wa mkataba kama hilo uliku hulijui
 
Back
Top Bottom