Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Simba waliihandle vzr sana ile ishu na haikuwa na mjadala. Huenda sababu hawakumhitaji sana. Imagine Simba ingekimbilia TFF kama Yanga.
Kwani ni lini yanga ilienda TFF kushitaki kuhusu Feisal?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwa hiyo nani anapanga hela hiyo?

TFF?

au

Mchezaji?

Kumbuka mchezaji alikwisha jipangia pesa ya kuvunja(kununua) mkataba wake hapo awali, na TFF iyo iyo ikaamua kuwa hilo jambo halikuwa sahihi.
Hakujipangia, termination fees inapangwa mwanzoni kabisa mwa mkataba kwa makubuliano kati ya mchezaji na club yake, usidhani feisali from no where aliamua kulipa hiyo 112M, kiuhalisia mkataba wa feisali ulishavunjika zamani ndio maana yanga hawana uwezo wa kumshitaki fei licha ya kua mtoro kwa miezi mitatu,TFF inamcheleweshea tu haki yake fei ili kutokuonyesha upendeleo.

Yanga wanachoweza kupanga kwa sasa ni transfer fee endapo fei akiamua kurudi. Ila kuhusu termination fee hawawezi kupanga kwa sababu tayari ipo ndio maana wanakua wapole kwa fei licha ya kuwaonesha utovu wa nidhamu.
 
Umeongea vema Mkuu
Mazwazwa wanakazania 100M aliyolipa kua ndio gharama pekee anayostahili kuirudisha yanga kwa kua ndio ilikua signing fee
Ila zile gharama za training facility, platform ya kuonyesha kipaji chake na mwalimu aliyemtengeneza mpaka kua mashuhuri wanajisahaulisha
Kuna mwamba aliwakumbusha kua kama Kuvunja mkataba ni rahisi kama kuvunja nazi, wamuambie mpiga kampeni wao Manzoki avunje huko alipo ili aje simba Sio kukomalia ya Feisal
Swali kwako je yanga walimlipa kulingana na kipaji chake na uwezo wake uwanjani au kulingana na mkataba???
Kama jibu lako ni mkataba, na hiyo termination fee ipo kwenye mkataba kwa yanga hawana uwezo wa kudai termination fee kubwa na wao wanabanwa na mkataba,

Kitu kilichopo ndani ya uwezo wao ni kuamua transfer fee ikiwa feisali atabadili mawazo ya kuvunja mkataba na kurejea yanga.
 
Kwani ni lini yanga ilienda TFF kushitaki kuhusu Feisal?
Nadhani Yanga ndo walipeleka kesi TFF. Baadae Fei akaomba review kisha akapeleka maombi upya.
Sikiliza hapa.
 
Swali kwako je yanga walimlipa kulingana na kipaji chake na uwezo wake uwanjani au kulingana na mkataba???
Kama jibu lako ni mkataba, na hiyo termination fee ipo kwenye mkataba kwa yanga hawana uwezo wa kudai termination fee kubwa na wao wanabanwa na mkataba,
Kama Yanga hawana uwezo wa kudai termination fee kubwa zaidi basi wanayo haki ya kuendelea kuheshimu mkataba wao na mchezaji. (ifahamike: contract termination is a mutual issue)

Bila kujali mchezaji atatumikia klabu au hata itumikia klabu mpaka May 2024.
 
Njia ipi? Kwa kawaida usipoonekana eneo la kazi yako kwa miezi 3 si unafukuzwa tu? Ila huyu imekuwa tofauti sababu anahitajika.
Sheria gani inasema unafukuzwa tu? Na unafikiri Yanga hawajui madhara ya kufukuza? Maana yake atakuja mwingine atakaa nje ya kituo miezi 3 halafu eti adhabu ni kufukuzwa. Kufukuzwa maana yake washakuruhusu uende ulipokuwa unataka. Sasa hafukuzwi mtu kijinga ila lazima awajibike kwa mkataba uliopo, akikataa Yanga hawalazimishwi kumfukuza leo mpaka siku wakijisikia kufanya hivyo na hata hiyo adhabu sio lazima waitoe leo, hata kukiwa kumebaki siku 3 mkataba uishe wanaweza kufanya hivyo
 
Hapa dawa ni Moja tu. Feisal akubali kurudi ila siku wakijichanganya kumpanga kwenye kikosi tena mechi muhimu ni kumfunga Diara kwa shuti kali . Baada ya hapo akili itawarudia na watamuachia huku wakisonya kwa hasira
 
Hakujipangia, termination fees inapangwa mwanzoni kabisa mwa mkataba kwa makubuliano kati ya mchezaji na club yake, usidhani feisali from no where aliamua kulipa hiyo 112M, kiuhalisia mkataba wa feisali ulishavunjika zamani ndio maana yanga hawana uwezo wa kumshitaki fei licha ya kua mtoro kwa miezi mitatu,TFF inamcheleweshea tu haki yake fei ili kutokuonyesha upendeleo.

Yanga wanachoweza kupanga kwa sasa ni transfer fee endapo fei akiamua kurudi. Ila kuhusu termination fee hawawezi kupanga kwa sababu tayari ipo ndio maana wanakua wapole kwa fei licha ya kuwaonesha utovu wa nidhamu.
Mbona hana timu kama mkataba wake na Yanga ulishavunjika
 
Sheria gani inasema unafukuzwa tu? Na unafikiri Yanga hawajui madhara ya kufukuza? Maana yake atakuja mwingine atakaa nje ya kituo miezi 3 halafu eti adhabu ni kufukuzwa. Kufukuzwa maana yake washakuruhusu uende ulipokuwa unataka. Sasa hafukuzwi mtu kijinga ila lazima awajibike kwa mkataba uliopo, akikataa Yanga hawalazimishwi kumfukuza leo mpaka siku wakijisikia kufanya hivyo na hata hiyo adhabu sio lazima waitoe leo, hata kukiwa kumebaki siku 3 mkataba uishe wanaweza kufanya hivyo
Tanzania kuna wajinga wengi sana
Upotee miezi mitatu alafu kirahisi mkataba uwe umevunjika ingekua ni hivyo huko ulaya wachezaji wangekua wanaingia mitin miezi mitatu alafu mkataba unakua umevunjika

Mfano harry kane alikua anataka kuondoka spurs basi angepotea miezi mitatu alafu mkataba wake uwe umevunjika kirahisi tu
Hii nchi ina mtaji mkubwa sana wa wajinga
 
Ngoja Dogo awapelekee pumzi ya moto, mlidhani mmemkomesha? Sasa anakuja anataka kuvunja huo mkataba, kataeni tena
Unadhani suala la kuvunja mkataba ni la kuamuliwa na upande mmoja? HAPANA si kweli.

Yanga SC wako tayari kutovunja mkataba na Feisal, na feisal akose kabisa pa kupeleka malalamiko yake.

Pasi na maafikiano ya pande mbili hakuna mkataba utakao vunjika.

Feisal ataendelea kuishi ktk mkataba na mwisho akashtakiwa kwa kutohudhuria ofisini.
 
Tanzania kuna wajinga wengi sana
Upotee miezi mitatu alafu kirahisi mkataba uwe umevunjika ingekua ni hivyo huko ulaya wachezaji wangekua wanaingia mitin miezi mitatu alafu mkataba unakua umevunjika

Mfano harry kane alikua anataka kuondoka spurs basi angepotea miezi mitatu alafu mkataba wake uwe umevunjika kirahisi tu
Hii nchi ina mtaji mkubwa sana wa wajinga

Kuna wapumbavu wengi sana aisee. afadhali umeliona hilo.
 
Sheria gani inasema unafukuzwa tu? Na unafikiri Yanga hawajui madhara ya kufukuza? Maana yake atakuja mwingine atakaa nje ya kituo miezi 3 halafu eti adhabu ni kufukuzwa. Kufukuzwa maana yake washakuruhusu uende ulipokuwa unataka. Sasa hafukuzwi mtu kijinga ila lazima awajibike kwa mkataba uliopo, akikataa Yanga hawalazimishwi kumfukuza leo mpaka siku wakijisikia kufanya hivyo na hata hiyo adhabu sio lazima waitoe leo, hata kukiwa kumebaki siku 3 mkataba uishe wanaweza kufanya hivyo
Kwani sheria ipi inasema mtoro asifukuzwe? Yanga wakiamua kumfukuza Fei kwa utoro wanakatazwa?
 
Tanzania kuna wajinga wengi sana
Upotee miezi mitatu alafu kirahisi mkataba uwe umevunjika ingekua ni hivyo huko ulaya wachezaji wangekua wanaingia mitin miezi mitatu alafu mkataba unakua umevunjika

Mfano harry kane alikua anataka kuondoka spurs basi angepotea miezi mitatu alafu mkataba wake uwe umevunjika kirahisi tu
Hii nchi ina mtaji mkubwa sana wa wajinga
Termination fee ya harry kane ni kubwa wenzetu waliyajua haya mapema ndio maana ni vigumu kwao kuvunja mkataba kwa sababu zile hela za kuvunja hazilipiki, sasa mtu utamlipa 4M utegemee termination ya 1B jambo ambalo haliwezekani.
 
Ameamua tu kwenda na flow kwa sababu tayari wamemuekea ugumu,

Kha unawekewaje UGUMU ikiwa wewe ni mchezaji huru?

Kwanini Azam FC wasinge mtambulisha mara baada ya fei kuvunja mkataba?


unadhani azam FC hawana akili?
 
Termination fee ya harry kane ni kubwa wenzetu waliyajua haya mapema ndio maana ni vigumu kwao kuvunja mkataba kwa sababu zile hela za kuvunja hazilipiki
Kane akitaka kuvunja mkataba hawezi kuvunja yeye.

Yeye atapewa pesa za kuvunja mkataba na timu inayo mtaka.

Kama vile Neymar alivyopewa pesa na PSG ya kuvunja mkataba wake na Barcelona.
 
Mbona hana timu kama mkataba wake na Yanga ulishavunjika
Ni kwa sababu chombo kinahusika na kuthibitisha uhalali wa mikataba bado kinamkazia kinasema kua mkataba wake haujavunjika, ndio maana sasa akapeleka ombi kwenye hicho hicho chombo ili avunje mkataba
 
Swali kwako je yanga walimlipa kulingana na kipaji chake na uwezo wake uwanjani au kulingana na mkataba???
Kama jibu lako ni mkataba, na hiyo termination fee ipo kwenye mkataba kwa yanga hawana uwezo wa kudai termination fee kubwa na wao wanabanwa na mkataba,

Kitu kilichopo ndani ya uwezo wao ni kuamua transfer fee ikiwa feisali atabadili mawazo ya kuvunja mkataba na kurejea yanga.
Ameambiwa aende akaonane na uongozi wampe terms za kuvunja mkataba
Ngonjera na vilio vyote vya nini sasa
 
Back
Top Bottom