Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Yanga SC wammeandika tu lakkini wanafahamu tosha kuwa hawezi kurudi kuomba maboresho ya mkataba na Yanga.

Jifunze kusima maandashi katikati ya mstari.

Unadhani walimsajili Mudathir kwanini kama walitarajia Fei atarudi?
Huyo kurudi ngumu sababu tayari ametengeneza uhasama na viongozi Cha msingi hapa namna ya kuvunja mkataba shida hataki kwenda sehemu husika Ili wazungumze auvunje wanataka kuvunja kwa social media sijui
 
Ukitumia akili kidogo utagundua kuwa Feisal na Wanasheria wake wote wamepigwa Knockouts za kutosha.


Ona sasa wamekuja wakipiga magoti kuomba wavunjiwe mkataba.

Mwanasheria wa kwanza kamkimbia.


Mwanasheria wa pili kamkimbia.


Huyi wa tatu atamkimbia nayeye...
Humjui jasmine ww kakojoe ukalale kaangalie kwanza alivyoshinda kesi ya msuva alitumia kipengele cha lugha tu na msuva akawa huru na akalipwa mabilion ya hela.
 
Mkuu unaelewa maswala ya mikataba? Hatukatai anaweza kulipa ila Unataka kuhama nyumba unayoishi si uongee na mwenye nyumba Sasa unaenda kushtaki kwa mwenyekiti inakaaje hiyo , kuweni waungwana asaidike afanikiwe acheni chuki na club

Hata kama anaweza kulipa Kuna taratibu za kulipa mkuu
Kwani feisal alitaka kuvunja mkataba alifanya tu maamuzi kutoka kichwani si alishirikisha watu na wanasheria nitajie kesi moja yanga waliyowahi kushinda hata ya kuku na mwanasheria wao kilaza Patrick yule ni empty kichwani
 
Million nne mchezaji mpira ni hela ndogo sana ila watu wautumishi watakuja kusema ni hela nyingi sana washazoea mishahara yao ya tgs C na D wakati mpira ni kazi ya mpito.
Wivu hao hawajui mpira hauna kiinua mgongo, au pensheni.
 
Wanaojua thamani ya mkataba wa mchezaji ni yanga wenyewe, izo blah blah unazoandika hapo mnazijua wenyewe madunduka, Thamani ya mkataba wake ataijua siku akienda kutajiwa dau la kuvunja mkataba full stop
Kalipa mkataba wa mwaka na karudisha hela za usajili au kipindi yanafanyika ulikuwa hauna bando hyo habari ilikupita.
 
Yes ila mwisho wa siku yanga ndio wenye maamuzi ni yanga kupanga dau

Utaangaliwa pia sio kujipangia tu.

Uzuri kwenye mkataba kuna vipengele hivyo, issue si ilikuwa Fei amejiamulia. Sasa maombi yameletwa rasmi.

Tunawasubiria mpuyangr na Tff, wameshawekewa mtego.

Yanga waweke 1bln kuvunja mkataba, ndo akili za uto hizo.
 
Acha uongo anatakiwa alipe mshahara wake mpaka mkataba unaisha hela yenyewe million nne hyo pesa ndogo kwa AZAM safari hii mmeyakanyaga.
Kama ingekuwa rahisi hivyo mbona angekuwa keshaondoka.

(Miezi iliyobaki)Miezi 17 x mil 4 = Milioni 68.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani feisal alitaka kuvunja mkataba alifanya tu maamuzi kutoka kichwani si alishirikisha watu na wanasheria nitajie kesi moja yanga waliyowahi kushinda hata ya kuku na mwanasheria wao kilaza Patrick yule ni empty kichwani
Kwani feisal alitaka kuvunja mkataba alifanya tu maamuzi kutoka kichwani si alishirikisha watu na wanasheria nitajie kesi moja yanga waliyowahi kushinda hata ya kuku na mwanasheria wao kilaza Patrick yule ni empty kichwani
Mkuu wewe kinachokusumbua ni chuki dhidi ya yanga hauzunhumzii sheria
 
Mkuu wewe kinachokusumbua ni chuki dhidi ya yanga hauzunhumzii sheria
Lete kesi moja yanga waliyoshinda yoyote nakusubiria unadhani aliyesema wenye akili ni wawili alikosea aliongea vile kwa kujua kabisa utopolo walivyo.
 
Lete kesi moja yanga waliyoshinda yoyote nakusubiria unadhani aliyesema wenye akili ni wawili alikosea aliongea vile kwa kujua kabisa utopolo walivyo.
Kwani kesi zilikuwa ngapi mkuu hii ya feisal ndo fei kashashinda? Nafikiri unayoijua ni ya Morrison tu ndiyo yanga walishindwa uko biased kiasi unatukana walioko pale ondoa chuki tulikuwa tunazungumzia contract mkuu
 
Pamoja na utoro(miezi 3) Yanga inamuita na ipo tayari kuboresha maslahi yake iwapo ataridhia. Tafuta barua ya leo imeweka wazi anachokitaka Yanga kwa Fei. Hiyo sentensi ya mwisho ni kama inapingana na barua.

Kutokuwepo kambini miezi 3 ni sababu tosha ya kumfukuza mchezaji, ila kwa Fei hali imekuwa tofauti sababu anahitajika.
Unamfukuza mtu bila kumpa hali yake ya kusikilizwa!??

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kalipa mkataba wa mwaka na karudisha hela za usajili au kipindi yanafanyika ulikuwa hauna bando hyo habari ilikupita.
We naona tunachoshana hapa, kama kalipa mkataba wa mwaka nakurudisha ela za usajili iyo barua ya kuomba kuvunja mkataba ni ya nini tena? Kama alilipa si yuko huru aende sasa anakokutaka bado anahangaika na nini?
 
Utaangaliwa pia sio kujipangia tu.

Uzuri kwenye mkataba kuna vipengele hivyo, issue si ilikuwa Fei amejiamulia. Sasa maombi yameletwa rasmi.

Tunawasubiria mpuyangr na Tff, wameshawekewa mtego.

Yanga waweke 1bln kuvunja mkataba, ndo akili za uto hizo.
Hapo kuna mtego gani sasa kwa akili zako finyu, kuomba kuvunja mkataba kuna kukubaliwa ama kukataliwa kutokana na sababu kadha wa kadha, yanga watataka awape sababu zenye msingi wa kisheria kufuatana na muongozo wa fifa ktk uvunjaji wa mikataba na sio blah blah, akishindwa kutoa sababu hizo atoweza kukubaliwa kuvunja huo mkataba, Sa abu zinazopelekea mkataba kuvunjika zinajulikana na feisal hana ata sababu moja kati ya hizo kwaiyo yanga ndiye aliyeshika mpini na feisal kashika makali sio kirahisi hivyo mnavyofikilia, Na kwakuwa feisal kaleta kiburi na dharau kwa klabu ndiye aliyefanya jambo hili liwe gumu zaidi, wanataka wamuonyeshe kwamba kiburi sio uungwana, kwanza anaomba kuvunja mkataba na ayupo kambini miezi karibia 4, iyo pia ya utoro kazini iko pembeni imesubilishwa tu muda muafaka ukifika atakumbana nayo
 
Kalipa mkataba wa mwaka na karudisha hela za usajili au kipindi yanafanyika ulikuwa hauna bando hyo habari ilikupita.
kama amesha lipa sasa anaenda kufanya nini TFF si angeenda Azama FC akajiunge na wenzake ili anendelee na LIGI?

Mbona kila kukicha anashinda TFF?
 
Lete kesi moja yanga waliyoshinda yoyote nakusubiria unadhani aliyesema wenye akili ni wawili alikosea aliongea vile kwa kujua kabisa utopolo walivyo.
Yanga SC wameshinda kesi ya shauri la kwanza lililo pelekwa na Upande wa mchezaji pale TFF.
(akiwa na wakili Nduruma)

Yanga SC wameshinda kesi ya shauri la pili lililo pelekwa na Upande wa mchezaji pale TFF.
(akiwa na wakili "Shangazi Karume")

Unataka ushindi upi mwingine?
 
Utaangaliwa pia sio kujipangia tu.

Uzuri kwenye mkataba kuna vipengele hivyo, issue si ilikuwa Fei amejiamulia. Sasa maombi yameletwa rasmi.

Tunawasubiria mpuyangr na Tff, wameshawekewa mtego.

Yanga waweke 1bln kuvunja mkataba, ndo akili za uto hizo.
Bilioni 1 umeemda mbali sana.

Hata akiambiwa milioni 600 ni fea sana. Ila cha ajabu mtoto wa Bakhresa hatokuwa tayari kutoa hizo pesa ili dogo aachiwe.

hapo ndipo feisal atatakiwa asubiri mpaka mwaka 2024 katika mwezi wa May.
 
Kalipa mkataba wa mwaka na karudisha hela za usajili au kipindi yanafanyika ulikuwa hauna bando hyo habari ilikupita.
Kama ilikuwa ni njia halali ya kuvunja mkataba mbona TFF wamempinga na kuamua kuwa hawezi vunja mkataba kwa njia ile?
 
Back
Top Bottom