demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
- Thread starter
- #141
ni sheria ipi ya mpira wa miguu (ukiachana na zile za TAMISEMI)inayosema mchezaji afukuzwe kwa utoro?Kwani sheria ipi inasema mtoro asifukuzwe? Yanga wakiamua kumfukuza Fei kwa utoro wanakatazwa?
Hebu tuonyeshe ushahidi wa hiyo sheria.