Feitoto akwama tena TFF, arudishwa Yanga

Feitoto akwama tena TFF, arudishwa Yanga

Naona wanasheria wake pumzi zimekata kitambo. Badala yake mnaanza sasa kutaka kumtafuta mchawi! Kumbe nyingi wapambe wake ndiyo wachawi namba moja.
Walizingua from day 1.. na baada ya kutafuta public sympathy kushindikana basi anaendelea kupuyanga
 
Hili sakata la Feitoto nadhani sasa lifike mwisho maana linazunguka hapo hapo kila siku na Fei anajifanya kichwa ngumu.

Safi Yanga waendelee kushikiria hapo hapo na waendelee kumlipa mshahara hadi mkataba wake uishe na wala wasimshitaki kwa kukiuka mkataba ili ifike hiyo 2024. Kiburi si maungwana na tumeona hata Ulaya mchezaji anasusa kwa kubip Ila mwisho anarudi mwenyewe. Sasa Totooo anajifanya hard head.
 
Sheria za mpira wakati fulani ni za kikatili sana... inamaana ukishaingia mkataba na timu hakuna namna tena ya kuvunja mkataba hata kama hutendewi mema au hujapenda mazingira ya timu..... au kwa sababu ya TFF imejaa uoga inapokabiliana na yunga..
Elimu elimu elimu, kama hiyo haki usiyotendewa mbona huisemi.
 
Elimu elimu elimu, kama hiyo haki usiyotendewa mbona huisemi.
UTO mara zote vichwani mwenu ni weupe sana. nilichoandika mimi ukilinganisha na hizi ngonjela zako za elimu, elimu, elimu! ni tofauti kabisa
 
Siyo vibaya akaenda kuongea na has Young African kujua cost za kuvunja mkataba. He can negotiate terms za kuvunja huu mkataba. We will then know kama wako serious au wanataka kumkomoa. Kwa club, if you have shown your true colours. All forthcoming players will be worried with your contracts. Value of the play continues to diminish slowly.
 
Duh huyo kijana mshauri wake hakumtendea haki
Kuna mtu aliandika humu JF kuwa hiyo ni kwa sababu ya shuleless! Niliceka sana lakini nadhani mwandishi huo alikuwa sahihi. Mtu mwenye akili ya kuona mambo utdanganywa na wewe ukaingia mzima mzima. Sasa hivi hata anaona aibu kwenda kuongea na Yanga, ndiyo maana TFF inapomwambia arudi akaongee na Yanga, yeye anapindisha kuwa TFF inamlazimisha kuendelea kuchezea Yanga!
 
...
IMG-20230505-WA0045.jpg
 
Messi na ukubwa wake,kashinda kila kitu kuanzia ngazi ya club mpaka timu ya taifa, kashinda tuzo kubwa zote duniani. Leo kaamua kujishusha kwa PSG

Screenshot_20230505_192607_Instagram.jpg


Nidhamu ya hali ya juu na kaonyesha yy ni mdogo mbele ya club. Sasa yy aendelee ushupaza shingo.
 
Jamaa mwenyewe kaishia sjui la Saba kila sku kwenda kuhiji , akacheze dondo
Kwenda hijja na kuishia la Saba kunahusiana nini na suala hili la mkataba wa kucheza mpira!?..nyi wangese chuki za kidini zinawazunguka tu vifuani!!
 
Sheria za mpira wakati fulani ni za kikatili sana... inamaana ukishaingia mkataba na timu hakuna namna tena ya kuvunja mkataba hata kama hutendewi mema au hujapenda mazingira ya timu..... au kwa sababu ya TFF imejaa uoga inapokabiliana na yunga..
Mkataba unavunjwa mda wowote kaka lkn pawe na makubaliano ya pande zote!

Anachokosea feisal ni kutaka kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu tu na ndo mgogoro wote unaoendelea
 
Sheria za mpira wakati fulani ni za kikatili sana... inamaana ukishaingia mkataba na timu hakuna namna tena ya kuvunja mkataba hata kama hutendewi mema au hujapenda mazingira ya timu..... au kwa sababu ya TFF imejaa uoga inapokabiliana na yunga..
Yaani uvunje mkataba ukijisikia tu!!..wakati timu za kandanda ni mfumo ambao ukitoa kipuli kimoja unauvuruga
 
Mkataba unavunjwa mda wowote kaka lkn pawe na makubaliano ya pande zote!

Anachokosea feisal ni kutaka kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu tu na ndo mgogoro wote unaoendelea
Mkuu mkataba gani huo unavunjwa tu mpaka mkubaliane ???
Hiyo ipo lakini unilateral termination ipo pia ila fidia inahusika
 
Mkuu mkataba gani huo unavunjwa tu mpaka mkubaliane ???
Hiyo ipo lakini unilateral termination ipo pia ila fidia inahusika
Binafsi sio mbobevu sana wa sheria lkn nina uelewa Kwa kiasi Fulani:

Kwenye unilateral termination katika mpira inaweza kufanyika lakini lazima pawepo na sababu ambazo zimeorodheshwa kwenye sheria za FIFA
 
Binafsi sio mbobevu sana wa sheria lkn nina uelewa Kwa kiasi Fulani:

Kwenye unilateral termination katika mpira inaweza kufanyika lakini lazima pawepo na sababu ambazo zimeorodheshwa kwenye sheria za FIFA
Mkuu unilateral termination ipo iwe na sababu au kusiwe na sababu
 
Back
Top Bottom