Feitoto akwama tena TFF, arudishwa Yanga

Feitoto akwama tena TFF, arudishwa Yanga

Kama BUSHLAWYERS wake + washabiki wake wanaona anaonewa kwann hawaendi CAS?
 
Mganga kasema yanga wakimwachia tu fei kiwango kinashuka na hawachukui shirikisho, so fei astahamili tu hizi mashindano mbili ziishe basi atakuwa huru fasta tu
 
Sheria za mpira wakati fulani ni za kikatili sana... inamaana ukishaingia mkataba na timu hakuna namna tena ya kuvunja mkataba hata kama hutendewi mema au hujapenda mazingira ya timu..... au kwa sababu ya TFF imejaa uoga inapokabiliana na yunga..
Ruksa kuvunja mkataba ila kwa kufuata utaratibu ulioweka. Huo utaratibu ndio Fei hataki kuufuata.
 
Siyo vibaya akaenda kuongea na has Young African kujua cost za kuvunja mkataba. He can negotiate terms za kuvunja huu mkataba. We will then know kama wako serious au wanataka kumkomoa. Kwa club, if you have shown your true colours. All forthcoming players will be worried with your contracts. Value of the play continues to diminish slowly.
Wachezaji waogope kuichezea Yanga sababu ya upumbavu wa Feisal?
 
Mkuu unilateral termination ipo iwe na sababu au kusiwe na sababu
Dasa mbona unamuacha Feisal anahangaika wakati una uwezo wa kumsaidia pia wewe ukajipugia hela nzuri tu!?
 
Sheria za mpira wakati fulani ni za kikatili sana... inamaana ukishaingia mkataba na timu hakuna namna tena ya kuvunja mkataba hata kama hutendewi mema au hujapenda mazingira ya timu..... au kwa sababu ya TFF imejaa uoga inapokabiliana na yunga..
Umesoma options ambazo Yanga wamempa Toto?
Moja inasema wakae mezani ili wauvunje mkataba, Sasa wewe utasemaje inashindikana?
On top of that si sheria za mpira bali ni makubaliano kati ya pande mbili; mtoa huduma(mchezaji) na muhitaji wa huduma( klabu ya mpira).
 
Sheria za mpira wakati fulani ni za kikatili sana... inamaana ukishaingia mkataba na timu hakuna namna tena ya kuvunja mkataba hata kama hutendewi mema au hujapenda mazingira ya timu..... au kwa sababu ya TFF imejaa uoga inapokabiliana na yunga..
Kila mkataba unakuwa na taratibu za kufuata kama upande mmoja unataka kuuvunja, iwe kwenye mpira, kazi, ndoa, etc..!! Tatizo kuna watu mnamdanganya Fei. Na ndiyo maana amekwama hadi sasa. Yaani pamoja kuwa na wanasheria, wachambuzi mashabiki maandazi, bado keshaambiwa wazi kuwa akae mezani na Yanga au asubiri muda wa mkataba uishe..!!
 
Sijawai kuona watu wapumbavu kama feisal na wanasheria wake pamoja na waliomrubuni, Feisal na watu wake ndio wamefanya hii kesi iwe ngumu wakati ilikuwa ni rahisi sana, Feisal asingeweza kuikwepa yanga kwa namna yoyote ile kama anavyotaka iwe, watu pekee wenye uwezo wa kuvunja mkataba ni yanga na feisal na mtu mwingine yeyote, kwa maana iyo Feisal alitakiwa aende pale yanga wamwambie dau lao wanalolitaka kwa timu yeyote inayomuhitaji itoe ili wamuachie na maisha mengine yaendelee, lakini feisal yeye ni kama vile anaogopa kwenda kuongea na waajiri wake anashupaza shingo na kitachofata atakijutia kwa maana amewekewa mtego mbaya sana ambao utakuja kumgharimu pakubwa, Yanga bado wanaendelea kumlipa mshahara kama kawaida huo ni mtego wa kwanza baada ya kesi kuisha yanga watamfungulia mashtaka ya kudai fidia kwa kipindi chote ambacho akuonekana kazini, waswahili wanasema za kuambiwa changanya na za kwako!
 
Back
Top Bottom