Upeo mfupiNachojua mchezaji anasaini mkataba wa kucheza mpira na sio mkataba wa mahaba na hata hayo mahaba si hatujamwomba awe nayo.
eti magodown ya ukwaju, sio kila kitu na msemo no Cha kuiga kukisema hayo magodown ya ukwaju yanalisha na kunywesha ukoo wako wote na wewe tena mkiishi NYC.Azam waache kujificha kwenye magodauni ya ukwaju waje mezani wamchukue mchezaji kwa utaratibu la sivyo huyu dogo anaenda potea.
Dogo Feisal alijua pale ni ndondo cup unachukua Hela alafu unarudisha unaenda timu nyingine😂😂😂
Huo ni msemo tu hata haujamaanisha dharau yoyote ila ni kunogesha uandishi tu .eti magodown ya ukwaju, sio kila kitu na msemo no Cha kuiga kukisema hayo magodown ya ukwaju yanalisha na kunywesha ukoo wako wote na wewe tena mkiishi NYC.
Amemshauri aache mahaba, au siyo ushauri mzuri? Kumbuka huyo ni Wakili Msomaji ahh sory Msomi.Kama ni wakili wake na anaona feitoto hajatendewa haki akate rufaa vinginevyo watakuwa hajamshauri vizuri mteja wao
Mkuu siko hapa kushupaza shingo ilimradi tubishane,nimesema tujuze,kama huwezi basi endelea na mengine.Hakuna kombe la ubishani.Yaani unazijua za mchezaji ila za club huzijui, wakati contract ni mutual agreement kati ya club na mchezaji.
OkUtajibu nini sasa na wakati unajichanganya mwenyewe, labda nikusaidie jibu ni kwamba mchezaji ni mali ya klabu ya yanga kwa mujibu wa mkataba wake halali aliosaini akiwa na akili timamu, kwa maana iyo Yanga ndio wenye mamlaka na mchezaji mpaka sasa iwe kumuuza ama kutokumuuza full stop
Ushupaze kichwa mara ngapi?Najua mnaleta ushabiki mpaka kwenye maswala ya kisheria kisa ww Kolo.Mkuu siko hapa kushupaza shingo ilimradi tubishane,nimesema tujuze,kama huwezi basi endelea na mengine.Hakuna kombe la ubishani.
Huyo Wakili wa Feisal ni Wakili kweli au Sheha?🤣🤣Wakili Nduruma Majembe amebainisha msimamo wa mchezaji Faisal Salum juu ya sakata lake na waajiri wake, Yanga SC na kueleza kuwa nyota huyo hana tena mahaba ya kurudi na kuendelea kuitumikia klabu hiyo.
Feitoto alihojiwa na wajumbe wa kamati aliweka dhahiri kwamba hakuna uwezekano na hawezi tena kurudi kuichezea ile klabu.
“Mchezaji ameshasema hana mahaba na timu na hawezi kuitumikia" Nduruma Majembe wakili wa feitoto akizungumza kupitia #tbctaifa
Majembe ameongeza kuwa Uamuzi wa Kamati kutoa hukumu kuwa Feitoto arejee kuendelea kuitumikia klabu hiyo ni kitu kigumu kwa Feitoto na kubainisha kwamba labda kama atapatiwa msaada wa kisaikolojia wa kumuwezesha kutamani kurudi.
#KitengeSports
YANGA IACHANE NAYE KIROHO SAFI TU, FEITOTO HANA TENA HAMU, MAHABA NA GUTS YA KUICHEZEA YANGA, IMUACHIE ISIMKOMOE TUTAMUHITAJI KWENYE TIMU YA TAIFA.Wakili Nduruma Majembe amebainisha msimamo wa mchezaji Faisal Salum juu ya sakata lake na waajiri wake, Yanga SC na kueleza kuwa nyota huyo hana tena mahaba ya kurudi na kuendelea kuitumikia klabu hiyo.
Feitoto alihojiwa na wajumbe wa kamati aliweka dhahiri kwamba hakuna uwezekano na hawezi tena kurudi kuichezea ile klabu.
“Mchezaji ameshasema hana mahaba na timu na hawezi kuitumikia" Nduruma Majembe wakili wa feitoto akizungumza kupitia #tbctaifa
Majembe ameongeza kuwa Uamuzi wa Kamati kutoa hukumu kuwa Feitoto arejee kuendelea kuitumikia klabu hiyo ni kitu kigumu kwa Feitoto na kubainisha kwamba labda kama atapatiwa msaada wa kisaikolojia wa kumuwezesha kutamani kurudi.
#KitengeSports
Itaachana naye pale atakapoacha kufanya uhuni na kuanza kufwata taratibu zinazotakiwa.YANGA IACHANE NAYE KIROHO SAFI TU, FEITOTO HANA TENA HAMU, MAHABA NA GUTS YA KUICHEZEA YANGA, IMUACHIE ISIMKOMOE TUTAMUHITAJI KWENYE TIMU YA TAIFA.
Case yenu pendwa ya Morrison ilibatilishwa CAS?