Feitoto hana tena mahaba ya kuendelea kucheza Yanga

Feitoto hana tena mahaba ya kuendelea kucheza Yanga

Azam waache kujificha kwenye magodauni ya ukwaju waje mezani wamchukue mchezaji kwa utaratibu la sivyo huyu dogo anaenda potea.

Dogo Feisal alijua pale ni ndondo cup unachukua Hela alafu unarudisha unaenda timu nyingine😂😂😂
eti magodown ya ukwaju, sio kila kitu na msemo no Cha kuiga kukisema hayo magodown ya ukwaju yanalisha na kunywesha ukoo wako wote na wewe tena mkiishi NYC.
 
eti magodown ya ukwaju, sio kila kitu na msemo no Cha kuiga kukisema hayo magodown ya ukwaju yanalisha na kunywesha ukoo wako wote na wewe tena mkiishi NYC.
Huo ni msemo tu hata haujamaanisha dharau yoyote ila ni kunogesha uandishi tu .
 
Yaani unazijua za mchezaji ila za club huzijui, wakati contract ni mutual agreement kati ya club na mchezaji.
Mkuu siko hapa kushupaza shingo ilimradi tubishane,nimesema tujuze,kama huwezi basi endelea na mengine.Hakuna kombe la ubishani.
 
Utajibu nini sasa na wakati unajichanganya mwenyewe, labda nikusaidie jibu ni kwamba mchezaji ni mali ya klabu ya yanga kwa mujibu wa mkataba wake halali aliosaini akiwa na akili timamu, kwa maana iyo Yanga ndio wenye mamlaka na mchezaji mpaka sasa iwe kumuuza ama kutokumuuza full stop
Ok
 
Dogo wanam-mislead sana,,cha kuangalia ni mkataba unasema nini?,,,,sheria na taratibu zote ziko vipi?
 
Mkuu siko hapa kushupaza shingo ilimradi tubishane,nimesema tujuze,kama huwezi basi endelea na mengine.Hakuna kombe la ubishani.
Ushupaze kichwa mara ngapi?Najua mnaleta ushabiki mpaka kwenye maswala ya kisheria kisa ww Kolo.

"The Clubs

Clubs, you would think, have a certain amount of say in each deal. After all, they hold the registration to the player and can simply refuse to sell him if they are not in agreement with any offer made. "

Haya pdf hiyo kasome.
 
Wakili Nduruma Majembe amebainisha msimamo wa mchezaji Faisal Salum juu ya sakata lake na waajiri wake, Yanga SC na kueleza kuwa nyota huyo hana tena mahaba ya kurudi na kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Feitoto alihojiwa na wajumbe wa kamati aliweka dhahiri kwamba hakuna uwezekano na hawezi tena kurudi kuichezea ile klabu.

“Mchezaji ameshasema hana mahaba na timu na hawezi kuitumikia" Nduruma Majembe wakili wa feitoto akizungumza kupitia #tbctaifa

Majembe ameongeza kuwa Uamuzi wa Kamati kutoa hukumu kuwa Feitoto arejee kuendelea kuitumikia klabu hiyo ni kitu kigumu kwa Feitoto na kubainisha kwamba labda kama atapatiwa msaada wa kisaikolojia wa kumuwezesha kutamani kurudi.

#KitengeSports
Huyo Wakili wa Feisal ni Wakili kweli au Sheha?🤣🤣
 
Wakili Nduruma Majembe amebainisha msimamo wa mchezaji Faisal Salum juu ya sakata lake na waajiri wake, Yanga SC na kueleza kuwa nyota huyo hana tena mahaba ya kurudi na kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Feitoto alihojiwa na wajumbe wa kamati aliweka dhahiri kwamba hakuna uwezekano na hawezi tena kurudi kuichezea ile klabu.

“Mchezaji ameshasema hana mahaba na timu na hawezi kuitumikia" Nduruma Majembe wakili wa feitoto akizungumza kupitia #tbctaifa

Majembe ameongeza kuwa Uamuzi wa Kamati kutoa hukumu kuwa Feitoto arejee kuendelea kuitumikia klabu hiyo ni kitu kigumu kwa Feitoto na kubainisha kwamba labda kama atapatiwa msaada wa kisaikolojia wa kumuwezesha kutamani kurudi.

#KitengeSports
YANGA IACHANE NAYE KIROHO SAFI TU, FEITOTO HANA TENA HAMU, MAHABA NA GUTS YA KUICHEZEA YANGA, IMUACHIE ISIMKOMOE TUTAMUHITAJI KWENYE TIMU YA TAIFA.
 
YANGA IACHANE NAYE KIROHO SAFI TU, FEITOTO HANA TENA HAMU, MAHABA NA GUTS YA KUICHEZEA YANGA, IMUACHIE ISIMKOMOE TUTAMUHITAJI KWENYE TIMU YA TAIFA.
Itaachana naye pale atakapoacha kufanya uhuni na kuanza kufwata taratibu zinazotakiwa.
 
Back
Top Bottom