Feitoto hana tena mahaba ya kuendelea kucheza Yanga

Feitoto hana tena mahaba ya kuendelea kucheza Yanga

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hukumu inatoka mara ngapi mzee, hukumu ishatoka kinachofanyika jumatatu ni ufafanuzi wa kisheria kilichopelekea kuhalalishwa kwa mkataba wake na waajiri wake na si vinginevyo, mtaambiwa ni vifungu vipi vya mkataba vinavyombana asifanye icho alichokifanya, kwaiyo kama anaenda CAS na ajiandae kwenda akishapata nakala yake ya hukumu
Sasa maelezo mengi ya nini wakati umeandika kile kile nilichokisema kwa sentensi chache?
 
Nimeongelea upande wa mchezaji.Hizo za Club kama zipo nitafurahi ukitujuza pia ndiyo tunaongeza ufahamu pia.
Yaani unazijua za mchezaji ila za club huzijui, wakati contract ni mutual agreement kati ya club na mchezaji.
 
huyo wakili nimemsikia ni wazi kabisa anampotosha mteja wake,kwanza kasema amepokea uamuzi kwa taharuki,very unprofessional kabisa kutumia neno hilo kuelezea hukumu,pili anafanya kama kulaumu kwa kamati kutoa sumnary ya hukumu,kitu ambacho ni kawaida kabisa,tatu anasema anashangaa kwa kamati kuamua fei arudi yanga kwani yeye hana mapenzi na yanga,fei ni mchezaji wa yanga na kama hana tena mapenzi na yanga afuate utaratibu kuuvunja mkataba na hivyo ndio wakili wake anapashwa kumuelekeza sio kumpotosha
We jamaa utakuwa ni mwanasharia km sio basi nakushauri ukasomeee.Umetisha sana.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Sijui hata cha kukujibu
Utajibu nini sasa na wakati unajichanganya mwenyewe, labda nikusaidie jibu ni kwamba mchezaji ni mali ya klabu ya yanga kwa mujibu wa mkataba wake halali aliosaini akiwa na akili timamu, kwa maana iyo Yanga ndio wenye mamlaka na mchezaji mpaka sasa iwe kumuuza ama kutokumuuza full stop
 
huwa nashindwaga kuelewa kama mchezaji hakutaki unamng'ang'ania wa nn maana hata ukibaki nae hawezi cheza kama alivyokua mwanzo utakuwa unamlipa mshahara wa bure si bora uchukue uo mpunga umwache asepe
Kwa hapa bongo iyo club siyo mara yao ya kwanza wana mambo fulani yakizamani kidogo.
 
Igeni kwa wakubwa wenu Simba. Dejani aliposema haitaki timu wakamwachia.
Mwachieni Fei haitaki tena timu yenu.
Hata kama umefunga naye ndoa, mke akikuchoka na kuku kataa sio busara kumng'ang'ania.

Kama pesa yenu ya kimkataba kesha warudishia shida iko wapi ?
Mkuu pale simba hakunaga mikataba . ndo maana kuingia na kutoka ni faster tu . manara amefanya kazi pale bila mkataba .
Kocha wenu wa makipa amekamatwa na ngada mkamkana mapema kuwa hakuwa na mkataba 😀😀😀.
Mgunda .
Matola .
Ahmed ally 😀😀😀 hao wote ni vibarua hapo .
 
Shida ya uyu dogo ajui anapambana na nani, kwa akili yake anajua anapambana na Eng.Hersi kumbe anapambana na dola🤣🤣 alishauliwa na watu wazito akae na waajiri wake wayamalize lakini dogo akadondokea mikononi mwa wahuni akajaa upepo sasa nguvu ya Timu ya wananchi inataka imuonyeshe ni kwa nini hii timu ilipigania uhuru wa Tanganyika💪💪💪💪
Vimbaaaa mwanaichi 😆 😆
Kumbe ndo kijani na njano ilipoanzia
 
Back
Top Bottom