Feitoto hana tena mahaba ya kuendelea kucheza Yanga

Feitoto hana tena mahaba ya kuendelea kucheza Yanga

huwa nashindwaga kuelewa kama mchezaji hakutaki unamng'ang'ania wa nn maana hata ukibaki nae hawezi cheza kama alivyokua mwanzo utakuwa unamlipa mshahara wa bure si bora uchukue uo mpunga umwache asepe
Mpunga gani unaousemea? Kwan Azam au timu nyingine inayomtaka wamepeleka ofa kwa Yanga?
 
SIMBA TUMEAMKA DUBAI
YANGA WAMEAMKIA MANZESE UWANJA WA FISI[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
huwa nashindwaga kuelewa kama mchezaji hakutaki unamng'ang'ania wa nn maana hata ukibaki nae hawezi cheza kama alivyokua mwanzo utakuwa unamlipa mshahara wa bure si bora uchukue uo mpunga umwache asepe
Kwa ajili yako undhani yanga inamtaka mchezaji?
Hapa Fei ni kama demu anaye Fanya vurugu kwa mume baada ya kupata bwana mpya.
Anachotakiwa ni kufuata taratibu za kuomba talaka siyo kutoroka kwa mume.


Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Wachukue mpunga upi labda? Kwani wanaomtaka washatuma ofa yao? Au unasemea mpunga upi? Tunachojua hao wahuni waliomuingiza chaka washaogopa ata kunusa pua zao pale jangwani kwakuwa washachafua hali ya hewa wanajua ata wakienda awatouziwa uyo feisal labda klabu toka nje ya nchi ndio imnunue na sio wahuni wahuni waliomvuruga kijana
Hapo atakaa tu mpaka mwakani mkataba unaisha anaondoka huku mnamlipa.
Ninachoshangaa kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa timu yao ikiachwa ni kama laana. [emoji28]
 
Hapo atakaa tu mpaka mwakani mkataba unaisha anaondoka huku mnamlipa.
Ninachoshangaa kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa timu yao ikiachwa ni kama laana. [emoji28]
Ataondoka tu

Tuache human slavery

CR7 left manure ijekua dogo wa taarab na timu ya wamatumbi?
 
Wakili Nduruma Majembe amebainisha msimamo wa mchezaji Faisal Salum juu ya sakata lake na waajiri wake, Yanga SC na kueleza kuwa nyota huyo hana tena mahaba ya kurudi na kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Feitoto alihojiwa na wajumbe wa kamati aliweka dhahiri kwamba hakuna uwezekano na hawezi tena kurudi kuichezea ile klabu.

“Mchezaji ameshasema hana mahaba na timu na hawezi kuitumikia" Nduruma Majembe wakili wa feitoto akizungumza kupitia #tbctaifa

Majembe ameongeza kuwa Uamuzi wa Kamati kutoa hukumu kuwa Feitoto arejee kuendelea kuitumikia klabu hiyo ni kitu kigumu kwa Feitoto na kubainisha kwamba labda kama atapatiwa msaada wa kisaikolojia wa kumuwezesha kutamani kurudi.

#KitengeSports
nisawa una saini simba sc leo,kesho unaamka una mahaba kwenda geita gold,upuuzi.
 
Una uhakika hatokata rufaa? Kwanini usisubiri Jumatatu hukumu ikishatoka ndiyo uhoji haya.
🤣🤣🤣 Hukumu inatoka mara ngapi mzee, hukumu ishatoka kinachofanyika jumatatu ni ufafanuzi wa kisheria kilichopelekea kuhalalishwa kwa mkataba wake na waajiri wake na si vinginevyo, mtaambiwa ni vifungu vipi vya mkataba vinavyombana asifanye icho alichokifanya, kwaiyo kama anaenda CAS na ajiandae kwenda akishapata nakala yake ya hukumu
 
Hakuna cha sheria wala nini

Hakuna duniani anayezuiwa kuacha kazi

Kazi siyo kifungo

Hata ndoa zinavunjwa

Tuache ubwege
Ni tofauti na unavyofikiria wewe na akili zako, Tofautisha mambo ya kisheria na mambo ya kihuni ni vitu viwili tofauti, unachokisema apo ndio kimemkost na akiendelea kushupaza shingo itakula kwake mazima
 
Back
Top Bottom