Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Kwani ni mchezaji wa timu gani labda? Wewe unafikiri fifa inakumbatia ujinga ujingaMambo si rahisi kiasi hicho na Feisal atacheza na haitakuwa Yanga.Hilo hata Viongozi wa Yanga wanalijua fika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni mchezaji wa timu gani labda? Wewe unafikiri fifa inakumbatia ujinga ujingaMambo si rahisi kiasi hicho na Feisal atacheza na haitakuwa Yanga.Hilo hata Viongozi wa Yanga wanalijua fika.
Sasa uwezi kuwapangia namna ya kumtumia waajiri wake maana pesa ni za kwao ata wakimlipa bila kucheza we inakuuma nini? Asipocheza anaikomoa klabu au anajichimbia shimo mwenyewe, Timu gani itakusajili ukiwa chini ya kiwango kwa kukaa bila kucheza mwaka na nusu?Hapo atakaa tu mpaka mwakani mkataba unaisha anaondoka huku mnamlipa.
Ninachoshangaa kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa timu yao ikiachwa ni kama laana. [emoji28]
afate taratibu mpira pesa mkuuhuwa nashindwaga kuelewa kama mchezaji hakutaki unamng'ang'ania wa nn maana hata ukibaki nae hawezi cheza kama alivyokua mwanzo utakuwa unamlipa mshahara wa bure si bora uchukue uo mpunga umwache asepe
Hebu fanyia kazi hii sentensi yako ya mwisho mkuu. Amini nakwambia, inakuhusu sana wewe kama weweHakuna cha sheria wala nini
Hakuna duniani anayezuiwa kuacha kazi
Kazi siyo kifungo
Hata ndoa zinavunjwa
Tuache ubwege
HIvi zile hela zilizotumwa kweny akaunti zikarudishwa kwa Fei hivi kumbe hawakua na makubaliano mmwanzni kuwa awalipe ee?Wachukue mpunga upi labda? Kwani wanaomtaka washatuma ofa yao? Au unasemea mpunga upi? Tunachojua hao wahuni waliomuingiza chaka washaogopa ata kunusa pua zao pale jangwani kwakuwa washachafua hali ya hewa wanajua ata wakienda awatouziwa uyo feisal labda klabu toka nje ya nchi ndio imnunue na sio wahuni wahuni waliomvuruga kijana
Ndio kaka hakukuwa na makubaliano.HIvi zile hela zilizotumwa kweny akaunti zikarudishwa kwa Fei hivi kumbe hawakua na makubaliano mmwanzni kuwa awalipe ee?
Njoo nikuoe sina mkeNdio kaka hakukuwa na makubaliano.
Kamuulize yeye na mawakala wake alikubaliana na nani, wakikupa jibu urudi hapa utupe mrejeshoHIvi zile hela zilizotumwa kweny akaunti zikarudishwa kwa Fei hivi kumbe hawakua na makubaliano mmwanzni kuwa awalipe ee?
ACha hasira nimeuliza vzr tuu jibu vizuri kama huyo dada hapo juuKamuulize yeye na mawakala wake alikubaliana na nani, wakikupa jibu urudi hapa utupe mrejesho
Kwani nimejibu vibaya🤔🤔ACha hasira nimeuliza vzr tuu jibu vizuri kama huyo dada hapo juu
Kurudi kuitumikia Yanga siyo lazima,afuate taratibu aondoke.Huyo wakili naye ni kilaza tu,unawezaje ku argue basing on immaterial issue. Factum probandum hapo ni kufuatwa au kutofuatwa kwa taratibu mambo ya mahaba hayana maana hapa.Mke akikosa mahaba kwa mumewe akaamua kuondoka ndoa inaisha? Jibu ni kwamba haiishi mpaka taratibu zifiatwe.Wakili Nduruma Majembe amebainisha msimamo wa mchezaji Faisal Salum juu ya sakata lake na waajiri wake, Yanga SC na kueleza kuwa nyota huyo hana tena mahaba ya kurudi na kuendelea kuitumikia klabu hiyo.
Feitoto alihojiwa na wajumbe wa kamati aliweka dhahiri kwamba hakuna uwezekano na hawezi tena kurudi kuichezea ile klabu.
“Mchezaji ameshasema hana mahaba na timu na hawezi kuitumikia" Nduruma Majembe wakili wa feitoto akizungumza kupitia #tbctaifa
Majembe ameongeza kuwa Uamuzi wa Kamati kutoa hukumu kuwa Feitoto arejee kuendelea kuitumikia klabu hiyo ni kitu kigumu kwa Feitoto na kubainisha kwamba labda kama atapatiwa msaada wa kisaikolojia wa kumuwezesha kutamani kurudi.
#KitengeSports
Nimeona mwandiko kama una jazba hivi au macho yangu...Kwani nimejibu vibaya🤔🤔
Hoja siyo mchezaji kutaka au kutotaka,hoja ni taratibu kufuatwa.huwa nashindwaga kuelewa kama mchezaji hakutaki unamng'ang'ania wa nn maana hata ukibaki nae hawezi cheza kama alivyokua mwanzo utakuwa unamlipa mshahara wa bure si bora uchukue uo mpunga umwache asepe
Ataenda mwenyewe na kwa miguu yake! pale tu njaa itakapoanza kupanda kichwani.Kambebeni kwa nguvu mmepeleke Avic Town [emoji3][emoji3]
Nyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.Jamaa maboya sana
Dogo ndio kawatosa
ukiachwa achika
Vyura wapokee tu
Shida ya uyu dogo ajui anapambana na nani, kwa akili yake anajua anapambana na Eng.Hersi kumbe anapambana na dola🤣🤣 alishauliwa na watu wazito akae na waajiri wake wayamalize lakini dogo akadondokea mikononi mwa wahuni akajaa upepo sasa nguvu ya Timu ya wananchi inataka imuonyeshe ni kwa nini hii timu ilipigania uhuru wa Tanganyika💪💪💪💪Nimeona mwandiko kama una jazba hivi au macho yangu...
Kama sivyo basi Fei namuonea huruma maana hizi pilika pilika za makesi zitampotezea focus
Ingeangalia usalama wa mchezaji, hasa psychological attack,physical attack and bullying toka kwa mashabiki wa timu husika hasa pale Yanga inapofungwa.Kwaiyo kamati ingeangalia mahaba ya mchezaji na sio sheria na mkataba wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa kakaNjoo nikuoe sina mke