kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kwenye sakata la Fei toto TFF imedhibitisha kuwa FEI ni mchezaji halali wa Yanga. Pamoja na maamuzi hayo ya TFF lakini Fei hajaonekana kazini kwa mwajili wake. Hii ina maana kuwa Fei ameikosea Yanga, TFF na wadau wa mpira. Maswali ni mengi sana kuhusu huyu mchezaji, lakini maswali muhimu kuliko yote ni
1. Kwanini TFF haimpi mchezaji adhabu kwa mujibu wa kanuni za TFF, CAF na FIFA kwa mchezaji aliyetenda kosa la aina hii?
2. Ni nani yuko nyuma ya TFF ambaye pia TFF inaogopa kumpa adhabu kwa munjibu wa kanuni za TFF, CAF na FIFA kwa mtu anaefanya kosa la aina hii?
Kama TFF ilitoa hukumu kuwa FEi ni mchezaji halali wa yanga na Fei amekaidi maamuzi ya TFF hadi inafika leo hii maana yake ni nini?
Inafikirisha sana juu ya mustakabi wa soka letu.
1. Kwanini TFF haimpi mchezaji adhabu kwa mujibu wa kanuni za TFF, CAF na FIFA kwa mchezaji aliyetenda kosa la aina hii?
2. Ni nani yuko nyuma ya TFF ambaye pia TFF inaogopa kumpa adhabu kwa munjibu wa kanuni za TFF, CAF na FIFA kwa mtu anaefanya kosa la aina hii?
Kama TFF ilitoa hukumu kuwa FEi ni mchezaji halali wa yanga na Fei amekaidi maamuzi ya TFF hadi inafika leo hii maana yake ni nini?
Inafikirisha sana juu ya mustakabi wa soka letu.