Felchesmi Mramba: Bwawa la JNHPP ni mara 10 ya bwawa la Kidatu lililojengwa kwa miaka 5

Felchesmi Mramba: Bwawa la JNHPP ni mara 10 ya bwawa la Kidatu lililojengwa kwa miaka 5

Alikuwa mwanasiasa haswa ila ni mwanasiasa aliyeamini anajua kuliko wote na kushinda hata kwa kulazimisha hoja badala ya nguvu ya hoja.
Sijui habari za "siasa" kwenye mradi huo, ila najua Magufuli hakuwa mwanasiasa. Kwa hiyo sioni siasa pale, ila uhitaji wa mradi huo sioni shaka juu yake.

"Utaalam", hili nalo siwezi kulisemea, kwa vile Magufuli kwa tabia zake zilivyokuwa, inawezekana kabisa kwamba hakutaka kusikia chochote kutoka kwa wataalam, kama ilivyokuwa na COVID-19.
Kama hilo la 'utaalam' ni tatizo, kwa nini huyu Katibu Mkuu asailielezee wakati huu ili lieleweke vyema badala ya kutumia lugha kama hii aliyotumia hapa?
Ni wakati mzuri kabisa wa kuelezea kwa kina matatizo (ya kiutaalam) kama yapo ambayo yataufanya mradi huo usiweze kukamilika kwa wakati uliopangwa kukamilika; watu wataelewa vizuri akifanya hivyo.

"Kukosekana Uwazi." Huyu Katibu Mkuu ndiye anayeongeza tatizo hilo la kukosekana uwazi kwa haya anayoyaweka hadharani sasa. Anafanya ionekane kuwa kuna jambo wanalolifanya ili kuuzima mradi huo huo, kwa wao pia kutokuwa wawazi.

Hakuna shaka yoyote, Magufuli alikuwa ni mwongo, lakini hawa waliopo sasa wanatia mashaka makubwa sana. Sijaona mtu mwenye kusema ukweli toka mkuu mwenyewe hadi hawa wa chini yao.
Uongo hauwezi kuondolewa na uongo mwingine.
Ukweli ni kwamba, 'credibility' ya hawa wa sasa ni mbovu zaidi ya ile ya Magufuli.
 
Hakuna tatizo lolote kununua gesi yetu kutoka kwa mwekezaji ikiwa ni rahisi kuliko gesi kutoka nje na mwekezaji analipa kodi, anatoa ajira na angesababisha ukanda wa kusini kushamiri ajira.
Ni rahisi tu kiasi hicho, au siyo!

Acacia naye alikuwa hapa na tukawa tunashangilia sana kwa uwepo wake!

Hapana, mkuu wangu Yoda, simshangilii Marehemu Magufuli kwa kazi iliyofanyika hapo; ushahidi wa maandishi yangu humu unajieleza wenyewe juu ya hilo; lakini unayoyasema hapo kwenye mstari wako huo mmoja na robo, hapo ndipo masikitiko yangu yanapoanzia.
 
Alikuwa mwanasiasa haswa ila ni mwanasiasa aliyeamini anajua kuliko wote na kushinda hata kwa kulazimisha hoja badala ya nguvu ya hoja.
Basi pengine tuna maana tofauti ya hilo neno 'siasa' kama kweli ulimwona Magufuli kuwa mwanasiasa.
 
Huoni magogoni bado iko bize muda mwingi hadi viongozi mbalimbali wanaapishiwa hapo? Nchi gani nyingine uliwahi kuona mkuu wa nchi anaishi kwenye Ikulu mbili kubwa ??

Usishabikie tu serikali kuhamia Dodoma bila kuonyesha imekuwa na implications gani kwa taifa hasa uchumi mdogo kama huu wetu
Kuwe au kusiwe na faida hilo ni jambo tofauti wakati huu, lakini ukweli ni kwamba serikali imeshahamia Dodoma.

Kama Samia au kiongozi mwingine yeyote akitaka kuirudisha Dar es Salaam, hapo itabidi afikiri mara mbili mbili juu ya 'implication' ya tendo hilo.

Lakini hili la "faida", kwani uamzi wa kuhamia huko umeanza jana au juzi? Hili lilishakuwa limeamriwa toka siku nyingi, lilisubiri tu utekelezaji, hadi alipotokea kichaa mmoja akafanya kweli!

Kwa hiyo mjadala wa faida hilo ni swala tofauti kabisa.
 
Huwezi kuwa Rais wa nchi unayetokana na chama cha siasa bila kuwa mwanasiasa. Jambo jepesi kama hilo halihitaji ubishi na kushupaza shingo.
Basi pengine tuna maana tofauti ya hilo neno 'siasa' kama kweli ulimwona Magufuli kuwa mwanasiasa.
 
Dhahabu na gesi ni vitu viwili tofauti kabisa.
Dhahabu soko lake kuu ni nje ya nchi, hii gesi soko lake kuu lingekuwa hapa. Pia mkiwa na gesi au mafuta mengi viongozi wake wanaweza kuiba na kuchota mapato yake kama Gaddafi Libya, Putin kule Russia au Ufalme wa Saudia na bado yakabaki mapato ya kufanya maendeleo kwa raia.
Ni rahisi tu kiasi hicho, au siyo!

Acacia naye alikuwa hapa na tukawa tunashangilia sana kwa uwepo wake!

Hapana, mkuu wangu Yoda, simshangilii Marehemu Magufuli kwa kazi iliyofanyika hapo; ushahidi wa maandishi yangu humu unajieleza wenyewe juu ya hilo; lakini unayoyasema hapo kwenye mstari wako huo mmoja na robo, hapo ndipo masikitiko yangu yanapoanzia.
 
Huoni magogoni bado iko bize muda mwingi hadi viongozi mbalimbali wanaapishiwa hapo? Nchi gani nyingine uliwahi kuona mkuu wa nchi anaishi kwenye Ikulu mbili kubwa ??

Usishabikie tu serikali kuhamia Dodoma bila kuonyesha imekuwa na implications gani kwa taifa hasa uchumi mdogo kama huu wetu
Hili lisiwe jambo la kubishania, liache lipite kama huamini kuwa serikali shahamia Dodoma.
 
Huwezi kuwa Rais wa nchi unayetokana na chama cha siasa bila kuwa mwanasiasa. Jambo jepesi kama hilo halihitaji ubishi na kushupaza shingo.
Hiyo ndiyo tafsiri yako ya kuwa mwanasiasa?
Basi sawa.
 
Dhahabu na gesi ni vitu viwili tofauti kabisa.
Dhahabu soko lake kuu ni nje ya nchi, hii gesi soko lake kuu lingekuwa hapa. Pia mkiwa na gesi au mafuta mengi viongozi wake wanaweza kuiba na kuchota mapato yake kama Gaddafi Libya, Putin kule Russia au Ufalme wa Saudia na bado yakabaki mapato ya kufanya maendeleo kwa raia.
Leo unashida.

Gesi soko lake kuu ni hapa ndani ya nchi. Ingekuwa hivyo usingemwona hata mwekezaji mmoja wa kuleta mabilioni ya dola kwa mradi huo.?

Haya, tukubaliane iwe ni hivyo, hiyo inayochimbwa sasa toka huko huko Kusini siyo gesi, tena ipo nchi kavu, na gharama zake ni kidogo.
 
Serikali unamaanisha ni pamoja na Polisi, Jeshi, Uhamiaji, Usalama, BoT ?
Hili lisiwe jambo la kubishania, liache lipite kama huamini kuwa serikali shahamia Dodoma.
 
Huelewei uchumi wa kati tulifikaje, wewe ndio akili kisoda.
Tulifikaje na tukarudije wa chini? Na unaaminishaje watu kuwa hata km angekuwepo mwendazake, je, tungerudi uchumi wa chini? Narudia tena, angekuwepo mwendazake miradi ya matrilion mnayolia nayo eti ni mizigo mizito ingekamilika ndan ya mhula wake. Mianya ya wizi sa hv iko wazi sana kama kifaa kinachomuingizia changudoa hela.
 
Hata kama asingekuwepo mwendazake tungeingia uchumi wa kati tu.
Tulifikaje na tukarudije wa chini? Na unaaminishaje watu kuwa hata km angekuwepo mwendazake, je, tungerudi uchumi wa chini? Narudia tena, angekuwepo mwendazake miradi ya matrilion mnayolia nayo eti ni mizigo mizito ingekamilika ndan ya mhula wake. Mianya ya wizi sa hv iko wazi sana kama kifaa kinachomuingizia changudoa hela.
 
Hata kama asingekuwepo mwendazake tungeingia uchumi wa kati tu.
Kuingia uchumi wakati ni process ndefu naweza sema ilianzia kwa Mkapa. Watu wanadhani ni Magu aliesababisha.
 
Back
Top Bottom