Mode peleka hii utamu au futa kabisa hapa jamvini JF haijafikia tabia hii ya kuchafua persnality za watu. Hii thread ipelekwe kwenye blog za kishenzi, si hapa patakatifu JF. PERIOD!
Haya ni mambo ya chuo na mabinti huwa wanaleta sana uzuri vyuoni, nimepitia kidogo chuo na hivyo najua setup za vyuo vingi. Hawakazi sana buti na huzoea kama kawaida maisha yawe laiiiini! TVs kwa sana, saluni, outings, muziki kadri iwezekanavyo na kujisomea kiduchu. Wapo wanaokaza buti na hao hupasi na wanaume. Si wote mashostito.
Acheni uzembe someni kwa bidii. Kuchafua personality ya mtu hakukuongezei maksi. Kama umefeli kwa uzembe na ukaombwa mapenzi kama fidia ili upasi na hutaki kataa ili urudi nyumbani na lecturer wenu abaki safi. SIMPLE. Kama umekubali inamaana ni confidential contract, sasa kuhusisha JF its a capital shameful.
Degree za chupi its over. Si mnataka usawa wa jinsia? Waaume wakikamatwa aahh ni wajinga waende nyumbani, nyinyi hatusemi. Its unfair na inaonekana huyu alotoa mada ni mmoja wa walioathirika na mkataba huo wa siri.
Tunashindwa kufikiri mapenzi i makubaliano ya watu wawili tu na si vinginevyo.
Nimepata huruma kido mode peleka hii Mambo ya Kikubwa imefanania huko zaidi kwani pia watakaokwenda ni kwa control yako.