Felician Barongo wa Mzumbe University

Felician Barongo wa Mzumbe University

Lakini hao mabaazazi wako wengi sana vyuoni hata udsm,cbe na kwingineko...waanikwe wajue jamii inajua uovu wao wote...kama iliwahi tokea chuo cha sanaa bagamoyo 3 yrs mwl mmoja(marehemu) akategewa na takukuru mtego kama huo(guest)wakamdaka....yule mwl alipata kashfa kubwasana .....akafariki baada miezi 6 kwa frustrations kesi ilikuwa imeanza kutajwa.....
 
Shame upon students who expect to pass without working for it. If there are ever teachers who come to class at this level and give exams on topics not taught in class, they are a disgrace to the profession. Shame upon students who think spoon feeding is a way of life.
 
Victimizations kwa mabinti vyuo vikuu si jambo jipya. Na waalimu aina hii ya Barongo wapo. Enzi zetu nikiwa mwanafunzi (siyo wa Mzumbe lakini) kuna waalimu wawili aina hii ya Barongo walifukuzwa kazi baada ya kunaswa kwenye mtego.
 
Wadada wengi wao huwa wanajirahisisha wenyewe kwa walimu ili wafaulu kwa mteremko. Tena hao wenye title ya MRS ndio kabisaaaa wala usiseme!

Matokeo yake sasa, wengine ndio wanapata pa kusemea kwamba mwalimu kanitaka, nimemkataa ndio maana kanikamata! Wizi mtupu, uongo mtupu!
 
ngojeni niwambie tulipokuwa JKT nakumbuka wadada wengi walikuwa wanapata shida na maafande.kama afande akikupenda hakuambii anakupenda kwanza utaona tu jinsi unavyokandamizwa. Kwenye kazi za mitulinga umo,kwenye kuchimba mitaro umo, mpaka unashangaa.anachotaka uende kwake tu umwambie jamani afande mbona kila siku siisshi kupewa kazi nzito nzito

sasa kwa sababu yeye ndio kashika mpiniukienda kwake kuomba ubalishiwe kazi kosa hapo tayari fataki anamwaga sera zake anajua umeshakua mnyonge na huwezi kukataa order zake shushi unaitaka

Hayo ndiyo mabwana wa namna wanavyofanya. anajua akitumia ustaarabu hakupati mtoto wakike ankulazimisha ufanye usiyoyataka ,usaliti hata ndoa yako kama unataka kumaliza hiyo shule. ukijitia mjanja basi hiyo mi-supp itakuandama, kama mungu hajakushika mwanawane unadisco hivi hivi
 
Haya mambo inawezekana kwamba yanatokea. Ishu inakuwa zaidi kwa akina dada/mama kwa sababu za kijinsia na yanayofanana na hayo. Inawezekana kabisa wakawa hawajiwezi darasani lakini pia inawezekana wakawa wanafelishwa kwa sababu anazozijua mwalimu! Hili jambo inabidi kufanyiwa uchunguzi ijulikane wazi km huwa linafanyika au la! Ninaamini watu wengi wameshasikia rushwa ya ngono. 'Vingunge' wengi wanapenda hili espeshali pale wanapoona kuwa wao wameshika mpini na wadada/wamama wameshika makali!!!
 
Mimi niseme kwamba ni kweli kuna mamo haya ya walimu wa universities kuwa na uhusiano kimapenzi na wanafunzi. Nakumbuka mwaka 1997 Dr. Chamuriho na mwenzake mwingine (Jina limenitoka) walikumbwa na kashfa ya namna hiyo pale UDSM-Engineering lakini wakasamehewa baada ya onyo.

Lakini kwa kweli pale UDSM mambo haya yapo na yataendelea kuwepo. Mzumbe japo nimeijua vizuri tangu 2000, pale walimu kuwa na uhusiano kimapenzi na wanafunzi ni kawaida kwani nilishangaa mwalimu anakuwa na mchumba ktk darasa analolifundisha na watawala wamebariki kitu hiki, sijui sheria za MU zina semaje kuhusu hilo.

Wanafunzi wa mzumbe wa kike kwa asilimia kubwa hawaweki bidii ktk kusoma hasa kwenye fani kama BPA,BPA-HSM,BBA n.k. sasa utakuta mwisho wa siku wanamwandama mwalimu ili awape marks za mezani. Sasa na yeye akiwa mdhaifu basi anatumbukia kwenye mtego wa uroda kwani naye ni binadamu.
 
NDG hoja yako ni nzito sana, sidhani kama umefanya utafiti vya kutosha,
kwa taarifa yako hakuna mwalimu ambaye amesaidia wanafunzi wengi pale MZUMBE kama dr. Barongo. Hao wasichana unaosema anatoa test then anawaita anawaomba PENZI Je una una habari kwamba huyu dr. anatongozwaga pia na wanafunzi wakiwepo wake za watu?? tumeshuhudia. kusema kweli watoto wa kike ni wavivu wanapendwa kubebwa bebwa shule ya jioni sio disco inahitaji dedication, mtu akifeli anaweza kuappeal na senate ikapitia huo mtihani je huyo anayelalamika hajafanya hivyo?? na je kama alifanya nini kilitokea?? tafadhali tusitupe lawama kuchafuana kama wanasiasa.
Dr. ni kati ya watu wachapakazi sana walioko mzumbe ni kati ya walimu wanapendwa na wachapakazi kuliko wote.


Kama ni hivyo basi nadhani mada hii ifungwe.
 
Jamani naona mfumo dume tupu hapa. Nani anahakika kuwa mlalamikaji si victim? Mmewaandama wakina dada as if wao hawawezi kuwa victimized katika ngono?
 
Hapa hamna fitnah, ni suala tu la taratibu zetu zilizochanganyikana na uswahili.

Naungana na memba mmoja aliyetoa wazo kuwa utaratibu wa sasa kwenye vyuo vyetu wa mtu mmoja kuhodhi mamlaka ya kumfelisha au kumfaulisha mtu unatakiwa ubadilishwe.

Kwa mazingira ya sasa yalivyo ktk vyuo vingi, kama mhadhiri amekudhamiria aliyoyadhamiria, hata kama utaepuka lakini jiji utalijua. Hizo zinazoitwa kamati za malalamiko pale mwanachuo anapokuwa na matatizo kuhusu matokeo yake, zinaundwa na haohao wahadhiri ambao jioni hujumuika kupata yale maji ya manjano, sasa unategemea nini?

Njia nzuri ni kusahihisha mitihani na assessment kwa njia ya paneli. Asiachiwe mtu mmoja ambaye anaweza kuona hivyo kuwa ni sawa na kupewa rungu.
 
Mode peleka hii utamu au futa kabisa hapa jamvini JF haijafikia tabia hii ya kuchafua persnality za watu. Hii thread ipelekwe kwenye blog za kishenzi, si hapa patakatifu JF. PERIOD!

Haya ni mambo ya chuo na mabinti huwa wanaleta sana uzuri vyuoni, nimepitia kidogo chuo na hivyo najua setup za vyuo vingi. Hawakazi sana buti na huzoea kama kawaida maisha yawe laiiiini! TVs kwa sana, saluni, outings, muziki kadri iwezekanavyo na kujisomea kiduchu. Wapo wanaokaza buti na hao hupasi na wanaume. Si wote mashostito.

Acheni uzembe someni kwa bidii. Kuchafua personality ya mtu hakukuongezei maksi. Kama umefeli kwa uzembe na ukaombwa mapenzi kama fidia ili upasi na hutaki kataa ili urudi nyumbani na lecturer wenu abaki safi. SIMPLE. Kama umekubali inamaana ni confidential contract, sasa kuhusisha JF its a capital shameful.

Degree za chupi its over. Si mnataka usawa wa jinsia? Waaume wakikamatwa aahh ni wajinga waende nyumbani, nyinyi hatusemi. Its unfair na inaonekana huyu alotoa mada ni mmoja wa walioathirika na mkataba huo wa siri.

Tunashindwa kufikiri mapenzi i makubaliano ya watu wawili tu na si vinginevyo.


Nimepata huruma kido mode peleka hii Mambo ya Kikubwa imefanania huko zaidi kwani pia watakaokwenda ni kwa control yako.
 
Shame upon students who expect to pass without working for it. If there are ever teachers who come to class at this level and give exams on topics not taught in class, they are a disgrace to the profession. Shame upon students who think spoon feeding is a way of life.

Nakubaliana nawe kabisa 1000% No free lunch. Kama hukutumia credit hours vizuri basi atakukamata na kuhakikisha unatumia na kujazia credit hours zilizobaki na yeye. SIMPLE!
 
Nasema hivi. Ukikaza buti hakuna mwalimu atakufuata. Kila mwanafunzi awe mwanamke au mwanaume anapaswa kuzingatia masomo yake ikiwa ni pamoja na:
1. Kuhudhuria vipindi vyote vinavyokupasa darasani (lectures) na tutorials ambako problems nyingi za somo husikwa ndiko zinapokuwa solved. Mabinti wa kileo wako vipi katika hili? Wale ambao mnasoma nao katika higher learning institutiuons mnafahamu fika conduct za asilimia kubwa ya mabinti ninaozungumzia.

2. Kufanya homeworks zote kwa umakini. Je ni wangapi wa mabinti wa kileo wako dedicated to homeworks bila ya kusubiri ku copy kwa wale mabinti wachache wanaozingatia masomo au kwa wavulana? Mara nyingi wanapenda kukopi kwa wavulana kwani wana presume kuwa wanawake wenzao kuwa ni wanoko. Hata hivyo, hata baadhi ya wale wavulana wanaotoa kazi zao kunakiliwa huwa pia wanapata fadhila ya ngono au tujisenti ambavyo mabinti hao hupata kwa ma sugar daddies!!! Nani anabisha hili.

3. Kusoma wakati wote (preparation time) hasa wakati wa mitihani na test. Je ni muda kiasi gani mabinti zetu wanaupa katika kusomea test, mitihani na hata ile kujisomea kwa ratiba masomo yako? Kila mwanafunzi anatakiwa mwisho wa siku aweze kupitia lecture na tutorial notes za siku husika na kwa masomo husika? Je mabinti zetu huwa wanapata nafasi ya kufanya hivyo. Kwanza wengi wao wana vyumba chuoni lakini huwa hawalali!! Wanaenda kulala nje kwa mabwana (boyfriend or sugar daddy) na huko huwa busy na mapenzi. Je atapata muda wa kusoma!!!!???? Nani anakaataa hili.

4. Unatakiwa kuweka a distance kati ya mwalimu na mwanafunzi. Je hii inafanyika?? Matokea yake hakuna heshima kabisa kati ya mwalimu na mwanafunzi?? Nani alaumiwe kama mwalimu ataanza kuvutiwa na wewe??? Ukitaka kujua we subiri test, quiz or exam tymes jinsi wanafunzi wa kike na wachache wa kiume wanapigana vikumbo kuingia ofisi za waalimu, kwenda kulalamika maksi. Kwa nini hapo asikushike ziwa, kwa nini hapo kama dume asikutake huko kwa mjomba??

5. Nafurahi kuwa wanafunzi wachache mabinti ambao walikuwa dedicated kwa masomo yao kipindi chetu katika Chuo fulani walifauli vizuri sana. Wakati wote utakuta wanajitahidi kufanya kazi zote wanazopewa na hawakuwa wanapoteza muda. Wenzao vicheche waliwaona ni washamba lakini mwisho wa siku they were rewarded. Nakumbuka mmoja wa mabinti hao alikuwa among the best five students and she was rewarded by being sponsored by the deprtment for her masters!!!! Wengine walifaulu vizuri upper seconds na walipata kazi nzuri. Wale waliokuwa wanadandia kunakili homework na maksi za chupi waliishia kupata lower classes tena zenye utata, na kupata kazi ilikuwa utata pia.

6.Hapa sijaribu kuwakandamiza mabinti ila nasema tu ile hali ambayo mimi niliiona enzi hizo, tena si kwa sasa ambapo mabinti wengi ni hovyo sana.

7. Hata hivyo, basi waalimu nao huwa wanaangalia wale ambao wako weak kimasomo na wana take advantage ya ngono. Sikuwahi kuona hata siku moja mwalimu anathubutu kumtaka binti kipanga darasani, ukiona hivyo ujue wamependana na wameelewana. Na hakuna cha TAKUKURU hapo.

Hii habari si lazima ipelekwe kule kwa wakubwa kwani si wote tuna access nako. Binafsi sijaelewa kama nimeshatimiza vigezo vya kuingia kule kwa wakubwa au Dini. Je, mawazo yangu haya ningeyatolea wapi kama ingekuwa kule mnakoita kwa wakubwa ambapo si kila member anaruhusiwa kuingia??? Sijui vibali vya kuchungulia huko vinatolewaje na mods.
 
haya sio majungu ni kweli kabisa,mimi nimesoma katika chuo hiki malecturer wa Mzumbe ni kawaida kuwafelisha mabinti,huyo Barongo asingiziwi wako wengi hapo Mzumbe kama Binamungu,Joeli Laurent,Hilary Lubengo,Sola,Komunte,hawa walimu wanatabia hiyo,nashangaa mnatetea ujinga,inabidi tubadilike,halafu vyou vinavyofelisha wanafunzi hapa Tanzania ndio vinaonekana vinafundisha
 
Bainamungu a.k.a BInMan...............Joel hayupo kwa sasa Mzumbe kaajiriwa na TEA (Tz Education authority), mwana sheria wao.

These Guys ni HATARIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII, uliza yeyote aliyesoma Mzumbe atakwambia

Komunte mnansingizia mzee wa WATU.................ILA HAO VIJANA WENGINE NI KWELI KABISA KDDDDDDDDDDDDDDDDDDDK ZAO
 
Mode peleka hii utamu au futa kabisa hapa jamvini JF haijafikia tabia hii ya kuchafua persnality za watu. Hii thread ipelekwe kwenye blog za kishenzi, si hapa patakatifu JF. PERIOD!

Haya ni mambo ya chuo na mabinti huwa wanaleta sana uzuri vyuoni, nimepitia kidogo chuo na hivyo najua setup za vyuo vingi. Hawakazi sana buti na huzoea kama kawaida maisha yawe laiiiini! TVs kwa sana, saluni, outings, muziki kadri iwezekanavyo na kujisomea kiduchu. Wapo wanaokaza buti na hao hupasi na wanaume. Si wote mashostito.

Acheni uzembe someni kwa bidii. Kuchafua personality ya mtu hakukuongezei maksi. Kama umefeli kwa uzembe na ukaombwa mapenzi kama fidia ili upasi na hutaki kataa ili urudi nyumbani na lecturer wenu abaki safi. SIMPLE. Kama umekubali inamaana ni confidential contract, sasa kuhusisha JF its a capital shameful.

Degree za chupi its over. Si mnataka usawa wa jinsia? Waaume wakikamatwa aahh ni wajinga waende nyumbani, nyinyi hatusemi. Its unfair na inaonekana huyu alotoa mada ni mmoja wa walioathirika na mkataba huo wa siri.

Tunashindwa kufikiri mapenzi i makubaliano ya watu wawili tu na si vinginevyo.


Nimepata huruma kido mode peleka hii Mambo ya Kikubwa imefanania huko zaidi kwani pia watakaokwenda ni kwa control yako.
Ni kweli wanawake waepuke dezo vyuoni wasome kwa bidii na waepuke kujilegeza ili wahurumiwe kwa rushwa ya ngono halafu unaanza kulaumu wakati ulitoa mwenyewe.
 
Back
Top Bottom