Felician Barongo wa Mzumbe University

Felician Barongo wa Mzumbe University

Ujinga mtupu huo, Barongo hawezi shika mdada aliyefaulu na mwenye bidii....shida ni dada zetu wanapenda digrii za kwenye chupi!! Watoto hawajitumi kwenye masomo wakifeli oooohhh mwalimu anannitaka wizi mtupu huu.....we call it academic wanking!

Samahani mie pia ni dada na niko masomoni ila mie nasoma kozi ya diploma ya Human Resource Management naomba usijumuishe kwamba ni akina dada wote tunapenda dezo. Mbona hata wanaume nawaona darasani kwetu wanapenda dezo tena hasa haya masomo ya Human Resource Management na Public Administration tunyaweza sie akina dada zaidi kuliko wanawaume. kwanza wanaume wamebase kwenye QM na mengine. Naomba hilo suala la Mzumbe liangaliwe kwa makini lakini hata hivyo siaamini kwamba lilifaa kuwa hapa na kama sio kwenye masuala ya mahusiano
 
Woote mnasahau kuwa pale patu kila apapenda!
Haishangazi kwamba wako walimu wanaodandia penzi la dada fulani mzuri kwa njia ya marks! Upande wa pili ni huo wa dada anataka marks na anaona njia nzuri ni kugawa uroda.

Wale wasiotaka kuliwa uroda lakini wamefeli ...wakaze buti warudie na kama wanaombwa, mmepewa njia ya kuwanasa hao walimu watongozaji

Wale wadada waliofeli na wanataka watoe uroda, halafu bahati nzuri wana kishape cha mvuto, hata mwalimu nawe unaingia majaribuni..

Si vema hata hivyo mwalimu kutaka penzi la mwanafunzi kwa gia ya marks..kwani si unatongoza tu ukipenda...mbona umnyongee kwa kalamu nyekundu!

Mapenzi yenyewe ya uroda haya yako nje nje dunia nzima na mi simo bwana ila nachojua ni kuwa pale patu kila mtu apapenda! na dunia yetu ni nzuuuuri ajabu kwa sababu hasira zinaisha ukishapata ile kitu, na utulivu wa akili na moyo unapatikana kwa uroda.

Kwani Dr. barongo ni member wa JF, sasa atapataje habari?
 
...It sound like Majungu...Thibitisha!!! Kwani hao wanafunzi wa kike wana umri gani below 18yrs?? Mwl. anawezaje kutoa test huku akijua wanafunzi watafeli? Hao wanaofeli test iliwashinda tu hawasomi...kama wanatoa uroda ni kwamba wamekubaliana..ofcourse technics za kuimbisha mademu ziko nyingi na hutofautiana mtu na mtu!!!!

je wewe huoni kama ana abuse power yake??
Ufisadi uko wa aina nyingi mkuu!!
 
Huyo kweli Fisadi!
Kwa kweli kama nikweli huyo jamaa anafanya mambo hayo haina haja ya kuendelea kumlea kwani inawezekana ni Muathirika wa Ngoma na hivyo kaamua kuisambaza ki-dizain hiyo. Tena kwa mtaji huo inawezekana wapo kina Barongo wengi tu kwenye hizi University zetu kwani nimewahi kupata kusikia kuwa kuna Degree za Ngono ila sikuwa makini sana kwenye kuanza kulidadisi hili.

Wasomi wetu wa siku hizi wanatakiwa kujifunza kwa kutatua matatizo yanayo wazunguka na yanayoizunguka jamii! swala kama hili sila kukalia kimya kabsaa!!! huyu anatakiwa kufunzwa adabu ajue kuwa si wote wanahitaji Shahada za Ngono japo ki ukweli japo sijafanya utafiti inawezekana wapo wengi wamesha gawa ngono kwa malecture wao wa dizaini ya Barongo.

Huyo jamaa awekewe mtego adakwe hana adabu na wala hajiheshimu kwani inawezekana ameoa lakini bado anamendea wanafunzi wake. Huyo antakuwa amejifunza mahali kwa watu wa dizaini yake.

Barongo fundisha baba acha mambo ya ajabu!!
 
hili tatizo haliwezi kuisha kwani hawa malecturer waushirikiano utafikiri siafu,hata hao wadada wanaonyanyaswa wakienda kushitiaki,nakuambia watadisco tu,hiyo ndio mzumbe,na sio hapo TIA kuna akina Barongo e.g Kalikwana Nyirenda anafundisha Research Methodology,na MR Maridadi anafundisha Bussiness Law campus ya Mbeya hao nao wanatabia kama barongo
 
Inasikitisha sana watu wanavyosema hawa walimu wako right kulala au kuwatongoza wanafunzi wao. It doesn’t matter how old is a student, sleeping with your own student is out of professionalism as a teacher and it is immorally as a member of society!

Walimu hawa hawa wanatumia ata psychology kuwatumia wanafunzi kimapenzi.

Swali la kijiuliza watanzania, tutaendelea kuwalalamikia wanafunzi ambao most of them are still under 25, first time away from home and first time in higher education? Au tutawalalamikia walimu ambao wazazi wanawapa their trust to look after their kids? Na wanalipwa na tax zetu?
 
Inasikitisha sana watu wanavyosema hawa walimu wako right kulala au kuwatongoza wanafunzi wao. It doesn’t matter how old is a student, sleeping with your own student is out of professionalism as a teacher and it is immorally as a member of society!

Walimu hawa hawa wanatumia ata psychology kuwatumia wanafunzi kimapenzi.

Swali la kijiuliza watanzania, tutaendelea kuwalalamikia wanafunzi ambao most of them are still under 25, first time away from home and first time in higher education? Au tutawalalamikia walimu ambao wazazi wanawapa their trust to look after their kids? Na wanalipwa na tax zetu?

Mwalimu anaetajwa humu nadhani anafundisha wanafunzi wa masters pale campus ya dar. Wanafunzi wengi hapo wanatoka makazini, ni watu wazima na wengine tayari wameolewa/wameoa. Hivyo nadhani si suala la umri!
 
Mwalimu anaetajwa humu nadhani anafundisha wanafunzi wa masters pale campus ya dar. Wanafunzi wengi hapo wanatoka makazini, ni watu wazima na wengine tayari wameolewa/wameoa. Hivyo nadhani si suala la umri!

Sawa hao ni wale mbao wako above 25, je huyo mwalimu hafundishi undergraduate at all? pia kuna walimu wengi tuu wenye tabia kama ya huyu jamaa barongo..
 
Sawa hao ni wale mbao wako above 25, je huyo mwalimu hafundishi undergraduate at all? pia kuna walimu wengi tuu wenye tabia kama ya huyu jamaa barongo..

Ninavyofahamu hiyo campus ya Dar haina undergraduate kwa sasa na Dr Barongo ni moja kati ya walimu amabao wapo stationed hapo. Si kwamba naunga mkono mambo mabaya walimu (akiwemo Dr Barongo) wanayoyafanya kwa wanafunzi wao. Najaribu tu kutoa facts ili watu wamjadili huyo Dr Barongo wa Mzumbe based on facts na sio hisia tu.

Kama wachangiaji wengine walivyosema ni kweli kuna baadhi ya walimu wana matatizo lakini kwa upande mwingine baadhi ya 'dada zetu' nao wanajirahisisha sana kwa walimu ili wapate upendeleo kwa namna moja ama nyingine (i.e. wanawatega walimu wao!). Nadhani hili lipo wazi tu kwenye shule na vyuo vyetu. Kama wengine at one time nilikuwa mwanafunzi lakini zaidi niliwahi kuwa mwalimu pia, hivyo hili tatizo nalifahamu vizuri sana.
 
Kapuchi,
Ebu lione hili. Darasa hilo lina wanawake tu hakuna wanaume? Je, kama wanaume wapo wanashindwa test ni wanawake? vipi wanaume wanaoshindwa test je, nao wanafukuzwa shule? Ninavyoona, hapa kuna mchanganyiko wa mambo mengi. Kwanza, kama test ni ya darasa zima (wanaume na wanawake) iweje, washindwe wanawake tu? nini kinawatokea wanaume walioshindwa au wao hawashindwi hiyo test? Kama wanaume wanashinda hiyo test basi Dr. Barongo yupo sahihi kuwawajibisha walioshindwa test yake na mambo ya kuombana uroda yasitumike kama 'defense mechanism? Nawashauri wale wanaoshindwa test ya jamaa wakati wengine wanaifaulu kwanza waongeze bidii wasome na waishinde. Dr. Barongo atawakosa hawezi kuwakamata, sasa kama hausomi na unasubiri ukibabwa useme umeombwa uroda basi hayo ni majungu.

Niungane na Caroline Danzi, kwamba mida ya kulialia na kulalamam imepitwa na wakati. Simu zetu siu hizi zinarekodi sauti, mtegee simu atongoze then utakuwa na ushahidi. Au kubaliane naye nendeni guest house anayoipenda huku ukiwa umewasuka wakokota mikokoteni ili wawakute mle quest house ili badala ya kushughulikiwa wewe wamshughulikie huyo Dr. Barongo, atakoma hatarudia, Acha kulialia amka ujipiganie.
Tulione hilo kutongozwa kwa hila kupo lakini visingizio vipungue pale wanawake wanaposhindwa test kwa uzembe then wanatuambia si unajua nilimnyima......






as per in red above, kwani lecturer arusiwe kumtongoza mwanafunzi wake?hata kama akiweka simu yenye kipaza sauti, itatengemea alikuwa anamtongoza kwa kumwambia asipokubali anamfelisha?nadhani watu wanatakiwa wasichanganye mambo wewe soma vizuri shirikiana na classmates wako then utaona mafanikio, muda wa kulalamika umepitwa na wakati dada na mama zangu.

Be bold enough in anything you are doing in life.
 
Mi ninachojua dada zetu wenyewe ndo huweka haya mazingira ya kupata digrii za chupi, hata mzumbe ya moro madem wanaendekeza sana hizo, wanatumia K** zao kuvuna digrii. ndomana hatutakiwi kushindana nao kabisa hawa madada.

We jiulize kwanini huyu mwalim awashike madem tu? na hawaoni huyu mwalim anawasaidia kwa kuwapa kitu chalanging ili wasome zaidi? ni sawa na kiboko tu kwa mwanafunzi mdogo, kama hapendi kiboko atasoma tu....so seems hawa watu wanataka na wanamaindi huo mchezo.
 
Huyo kweli Fisadi!
Kwa kweli kama nikweli huyo jamaa anafanya mambo hayo haina haja ya kuendelea kumlea kwani inawezekana ni Muathirika wa Ngoma na hivyo kaamua kuisambaza ki-dizain hiyo. Tena kwa mtaji huo inawezekana wapo kina Barongo wengi tu kwenye hizi University zetu kwani nimewahi kupata kusikia kuwa kuna Degree za Ngono ila sikuwa makini sana kwenye kuanza kulidadisi hili.

Wasomi wetu wa siku hizi wanatakiwa kujifunza kwa kutatua matatizo yanayo wazunguka na yanayoizunguka jamii! swala kama hili sila kukalia kimya kabsaa!!! huyu anatakiwa kufunzwa adabu ajue kuwa si wote wanahitaji Shahada za Ngono japo ki ukweli japo sijafanya utafiti inawezekana wapo wengi wamesha gawa ngono kwa malecture wao wa dizaini ya Barongo.

Huyo jamaa awekewe mtego adakwe hana adabu na wala hajiheshimu kwani inawezekana ameoa lakini bado anamendea wanafunzi wake. Huyo antakuwa amejifunza mahali kwa watu wa dizaini yake.

Barongo fundisha baba acha mambo ya ajabu!!


kwani wanabakwa????? we vipi....
 
Huyu mdada asome aache ujinga. Kama yeye ni kilaza asitafute kisingizio cha kukamatwa kwake. Hizo testi anazotoa huyo mwalimu ina maana hakuna anaefaulu? Kwa nini na yeye asikomae na masomo awe miongoni mwa wanaofaulu?

Watu kama hawa ndio wanaoharibu kiwango cha Elimu Tanzania kusoma hawasomi, wamezoea dezo wanapokamatwa wanaanza kuleta mambo ya Beijing. Nani alimdanganya kwamba shule ni rahisi!!!

Aache ujanja wa kizamani.
 
Waache wabanduliwe bana !!! Mbusi hula urefu wa kamba yake..! Ma mrs ma mrs kama akili haitoshi wasaidiwe bure ?

Japo kama ni maiwife karoho kanauma kidogo..!!
 
hayo malalamiko ya ngono kwa malectures yapo kwa wanafunzi wa kike ambao mako weak darasani, lakini kwa mwanamke anayepiga shule yake vizuri, huwezi kusikia huo ujinga, na aina hii ya wanawake wanalalamika hovyo bila kuworkhard wakishagraduate wanatusumbua sana maofisini hasa katika hiyo fani ya HR, wanakuwa na upeo mdogo sana wa kufikiria kwa sababu ya Degree za uroda

wakija we kamua tu BAlongo
 
Hii thread kama ni majungu...poa sababu haiko mkinga...haiuumizi kihivyo. Ila kama ni kweli...Mzee mzima atakuwa keshapata message...aache mchezo mchafu kwani la sivyo atajikuta pabaya.
 
hii habari haina majungu nihabari ya kweli kabisa ndiko ka mchezo kake,wanaomtetea wamtetee lakini arobaini yake afahamu inakuja.

ni nani alifahamu siku moja mafisadi wataumbuliwa hadharani?


Dr afahamu yakuwa suala la mapenzi baina ya watu wa jinsia mbili ni hiari na wala sio lazima kama anavyotaka ieleweke.

na nyie mnaotaka ushaidi hebu kama mnaweza tafuteni wanafunzi waliopo katika hiyo field hapo mzumbe na hasa madada na ma Mrs watawapa data kamili.

Tunakilaani kitendohiki kwa nguvu zote kwa sababu ni nani ajuae mabinti au ndugu zake watapitia mikononi mwake?
Kapuchi! Toa ushahidi, hoja yako ipate nguvu! vinginevyo yatabaki kuwa majungu tu
 
Hapo mi naona hakuna tatizo hata kidogo, kutongozwa kuna kukubali na kukataa, na kama kukataa kunakupelekea kufelishwa mtihani kwa makusudi appeal na mtihani huo huo usahihishwe na mwalimu mwingine mpenda haki, mi sioni kama hilo ni tatizo! Barongo anatest zali lake, ukilegea unapitiwa!
 
Back
Top Bottom