Felician Barongo wa Mzumbe University

Felician Barongo wa Mzumbe University

Ujinga mtupu huo, Barongo hawezi shika mdada aliyefaulu na mwenye bidii....shida ni dada zetu wanapenda digrii za kwenye chupi!! Watoto hawajitumi kwenye masomo wakifeli oooohhh mwalimu anannitaka wizi mtupu huu.....we call it academic wanking!
Enyi mabinti na kina mama mnaosoma vyuoni dawa pekee ya kupunguza kama sio kumaliza tatizo la usumbufu wa walimu wakware ni kusoma kwa bidii na kuacha mara moja kupenda dezo dezo. Ukifaulu vizuri mwalimu hawezi kukufelisha kwa maana akifanya hivyo na wewe ukalalamika na mtihani kusahihiswa upya huyo mwalimu atauumbuka. TAFADHALI MABINTI MNAPOKUWA VYUONI/MASHULENI SOMENI KWA BIDII SANA.
 
Huyu Lecturer nilishawahi kumsikia pia, alikuwa kwa muda ktk moja ya vyuo vya Tumaini na walimuondoa kutokana na kuomba rushwa ya mapenzi kwa wanafunzi na ni wanafunzi ndio waliolalamika kwa utawala wao mpaka akaondoshwa.
 
Jamani mzumbe hayo mambo yapo na hayakuanza leo toka siku nyingi sana.....waliosoma mzumbe mpo?ebu tusaidiane katika hili.
 
Kama una akili na uwezo darasani hakuna tatizo. Barongo safi sana na ni rafiki yangu.

Acheni udaku
 
Mabinti waliozoea miteremko kwenye shule ndio wanaolalamika. Ila ambao wako serious na shule hawana haja ya kuwa na wasiwasi na mwalimu wa chuo chochote kile.

Kwa utafiti usio rasmi nilioufanya mimi binafsi, asilimia kubwa ya wanafunzi wa vyuoni wanaoshiriki vitendo vya ngono na wahadhiri wao huwa wamejipendekeza wenyewe ili wapate ''favour'' kwenye mitihani.
 
Huyu Lecturer nilishawahi kumsikia pia, alikuwa kwa muda ktk moja ya vyuo vya Tumaini na walimuondoa kutokana na kuomba rushwa ya mapenzi kwa wanafunzi na ni wanafunzi ndio waliolalamika kwa utawala wao mpaka akaondoshwa.

Afadhali wewe ushuhudie huyu jamaa ni hatari sana na nashangaa uongozi umekaa kimya wakati hali inazidi kuwa mbaya. Na kila kitu kinafahamika.

Jamani mzumbe hayo mambo yapo na hayakuanza leo toka siku nyingi sana.....waliosoma mzumbe mpo?ebu tusaidiane katika hili.

Ana kesi nyingi za rushwa ila uongozi wa Mzumbe Upanga Campus unambeba na hatujui sababu ni nini? Watu wanadhani walioumia ni wanawake tu huyu Dr. Akitaka fedha usipotoa chuo umalizi kwa mfano muulize afisa mmoja hivi wa CRDB Bank Lumumba BR. nini kilimtokea na alienda mahakamani sijui kesi imeishia wapi ila huyu jamaa alitimuliwa na wenzake wanne.
 
Kama wengi walivyosema, tatizo ni mfumo wa mwal kuwa na maamuzi ya mwisho kwenye mitihani anayotoa, na kwa upande mwingine kuna baadhi ya wadada wanatumia nafasi hiyo na udhaifu wa waalimu kujipatia degree za kupewa. Mifano ni mingi.

Angalizo kwa mtoa mada, haikuwa sahihi kumtaja Dr Barongo bila kuwa na ushahidi maana ni kashfa kubwa si kwake tu na familia yake, bali hata kwa taasisi anayofanyia kazi.


Annina
 
Haya mbona yapo siku zote!Kuanzia jeshini (JKT) miaka ile.ilikuwa humiliation kwa madada zetu ,unakuta ni mwalimu au form six,analala na afande wa darasa la saba ili apate urahisi.Bulombora JKT miaka ya 1988 ,unakuta afande analala na 4 au 5.

Vyuo vikuu vyote,UDSM,IFM na Mzumbe haya yapo mpaka sasa.Kuna mwaka fulani pale IFM lecturer mmoja alikuwa anamsaidia mwanamke kwenye mtihani.

Huyu Barongo anafurahisha,amewapiga Katerero watoto wa Mzumbe...he he he
 
Ujinga mtupu huo, Barongo hawezi shika mdada aliyefaulu na mwenye bidii....shida ni dada zetu wanapenda digrii za kwenye chupi!! Watoto hawajitumi kwenye masomo wakifeli oooohhh mwalimu anannitaka wizi mtupu huu.....we call it academic wanking!
Jamani hata mie nimesoma hapo mzumbe, barongo sdhani kama anatoa test ngumu, actully ni mwalimu ambaye yuko fair, sijawahi kufail somo lake, sijawahi kupata tabu yoyote, labda kwa sababu sivutii. but nachojua ni mchangamfu, anaongea na kila mtu, anasikiliza. Nadhani matatizo ya watu wengi wanaokimbilia kusoma masters huku vichwa vibovu, wana majukumu ya familia na kazi, wanaishia kuwa stressed na kushindwa masomo. Can you imagine mtu anafeli test ya maswali matatu achague moja, au maswali matano achague mawili, they cant be serious.
Halafu wadada wengine ndo wanapenda kuchekacheka sana na walimu, au niseme wanawatega walimu, kila saa hata unnecesarily utakuta mtu anajipeleka kwa mwalimu ooh, hapa sijaelewa, unielezee tena yani full mishauo, wataacha kutongozwa? have some respect for yourself ladies and stop whining, you are all grown ups, si hata undergraduate.
 
Jamani hata mie nimesoma hapo mzumbe, barongo sdhani kama anatoa test ngumu, actully ni mwalimu ambaye yuko fair, sijawahi kufail somo lake, sijawahi kupata tabu yoyote, labda kwa sababu sivutii. but nachojua ni mchangamfu, anaongea na kila mtu, anasikiliza. Nadhani matatizo ya watu wengi wanaokimbilia kusoma masters huku vichwa vibovu, wana majukumu ya familia na kazi, wanaishia kuwa stressed na kushindwa masomo. Can you imagine mtu anafeli test ya maswali matatu achague moja, au maswali matano achague mawili, they cant be serious.
Halafu wadada wengine ndo wanapenda kuchekacheka sana na walimu, au niseme wanawatega walimu, kila saa hata unnecesarily utakuta mtu anajipeleka kwa mwalimu ooh, hapa sijaelewa, unielezee tena yani full mishauo, wataacha kutongozwa? have some respect for yourself ladies and stop whining, you are all grown ups, si hata undergraduate.

...... hapo kny blue ....how do you know that? different men have got different tastes / preferences!

..hapo kny bold ndo kiini cha matatizo yote.........! what do you expect, vibinti vinajisongondoa songondoa mbele ya teacher rijali ambaye ndoa yake ipo ICU?
 
Hivi hiki chuo hakina Senate? Then ina maana hao wasomi wa chuo kikuu hawajui kazi ya senate ni nini? Hapa ina maana wanafeli kweli ndio maana hawajiamini. Kwani cha msingi hapa kama wanafaulu na anawafelisha bila mpango wasubiri wakamatwe then waapeal kwa senate ambayo itapitia kuanzia tests na assignments ambazo zinacompose the course work then baada ya hapo watapitia na zile UE booklets, kama itaonekana wamefaulu then huyo babu akawakamata kwa vile walimkatalie then senate itachukua uamuzi. Au hawa hawajui by laws za chuo sinasemaje au wanafungia kwenye lockers then wanaendelea kusoma bila kujua wanasoma nini? na after all university student unaitwa ofisini umekuwa std 1 pupil? Je chuo hakina maacademic supervisors u better go to them. Let them be serious wasilete lawama za ajabu.
 
Cha msingi wafanye bidii wasikamatwe ili balongo asiwachague baaaaasi hakuna lingine
 
Jamani mimi nimemaliza pale hamna kitu kama hicho pale chuoni, Dr. Barongo hana ubavu wa kumfelisha mtu. Kwanza karibu masomo yote yanafundishwa na mwalimu zaidi ya mmoja. Halafu kuna uongozi wa wanafunzi ambao upo strong sana, kuna senate na hata walimu ambao wanatoa ushirikiano sana. Mimi sikubaliani na hii hoja, watu wengi wanaosoma pale tayari ni watu wazima tusidanganyane eti Barongo anaweza kumlazimisha mtu atoe penzi ili apate maksi jamani women we have to stop this nosense. Halafu Dr. Barongo ndio mwalimu pekee aliye na mitihani rahisi kuliko wotee ha ha ha ha usinichekeshe. Anapenda kucheka, jokes km mwanamke na wewe utajichekesha umekwishaaaaaaaa atakula kweli lakini sio kwa kukufelishaa noooo. Acheni lawama zisizo na msingi jamani, women let be strong, tusome kwa bidii ili tufanye vizuri kwenye mitihani yetu hamna mtu anayeweza kukubabaisha eti kwa kutaka penzi ataanzia wapi?mtu umeolewa au u msichana tu na heshima zako, unafaulu mitihani yako, unajiheshimu na kuwaheshimu wenzako, unajua sheria na unajua kilichokuleta pale chuo huyo hujichekeshi na kuwapa hao kina watu km kina Barongo mihemuko,ataanzia wapi??tet tet tet wanawake tutafute solution wenyewe kabla ya kuanza kulia lia kwa watu ili kuonewa huruma kwa kutuma hii post.
 
kuna mwalimu (lecturer) wao Dr Felician Barongo ambaye anafundisha masomo ya Human resource Management,anawasumbua sana kiasi cha kuleta kilio kwa mabinti wanaochukua masomo hayo katika chuo hicho
huyu mzee awekewe mtego!
 
Jamani mimi nimemaliza pale hamna kitu kama hicho pale chuoni, Dr. Barongo hana ubavu wa kumfelisha mtu. Kwanza karibu masomo yote yanafundishwa na mwalimu zaidi ya mmoja. Halafu kuna uongozi wa wanafunzi ambao upo strong sana, kuna senate na hata walimu ambao wanatoa ushirikiano sana. Mimi sikubaliani na hii hoja, watu wengi wanaosoma pale tayari ni watu wazima tusidanganyane eti Barongo anaweza kumlazimisha mtu atoe penzi ili apate maksi jamani women we have to stop this nosense. Halafu Dr. Barongo ndio mwalimu pekee aliye na mitihani rahisi kuliko wotee ha ha ha ha usinichekeshe. Anapenda kucheka, jokes km mwanamke na wewe utajichekesha umekwishaaaaaaaa atakula kweli lakini sio kwa kukufelishaa noooo. Acheni lawama zisizo na msingi jamani, women let be strong, tusome kwa bidii ili tufanye vizuri kwenye mitihani yetu hamna mtu anayeweza kukubabaisha eti kwa kutaka penzi ataanzia wapi?mtu umeolewa au u msichana tu na heshima zako, unafaulu mitihani yako, unajiheshimu na kuwaheshimu wenzako, unajua sheria na unajua kilichokuleta pale chuo huyo hujichekeshi na kuwapa hao kina watu km kina Barongo mihemuko,ataanzia wapi??tet tet tet wanawake tutafute solution wenyewe kabla ya kuanza kulia lia kwa watu ili kuonewa huruma kwa kutuma hii post.
you nailed it! waache kumlalamikia barongo na wakati wanajipeleka wenyewe. si ******* yule so it logical kuwakamua mkijipeleka kwake ovyo.
 
Mzumbe chuo cha magumashi sana,vilaza wengi sana wanakimbilia huko ili wapate degree za bwelele,matokeo yake walimu wanatake advantage kwa vilaza wasiojiamini.

Kama kweli mnajiamini kuwa mnaweza kusoma na kufaulu bila magumashi kwanini umuhofie mwalimu mwenye tabia hiyo?
 
Mzumbe chuo cha magumashi sana,vilaza wengi sana wanakimbilia huko ili wapate degree za bwelele,matokeo yake walimu wanatake advantage kwa vilaza wasiojiamini.

Kama kweli mnajiamini kuwa mnaweza kusoma na kufaulu bila magumashi kwanini umuhofie mwalimu mwenye tabia hiyo?


Bora umesema ukweli, namfahamu huyu dr. ana kesi zaidi ya 5 za rushwa za mapenzi na fedha kwenye uongozi ukiangalia wote wanaomtetea ni wanawake tafadhali chunguzeni vitu msimtetee tu kwa vile hamjaathirika na hichi kimeo.
 
kama mtu kilaza ni kilaza tu. mbona watu wanasoma degree wanamailiza bila matatizo, mnacomplicate maisha hata walimu nao ni binadamu kwa sababu hata wafalme zamani walikua hivyo hivyo. Kaza buti Barongo coz watu wanataka degree za kirahisi
 
Kama una akili na uwezo darasani hakuna tatizo. Barongo safi sana na ni rafiki yangu.

Acheni udaku

Ah wewe utakuwa walewale..Birds of same flock...Sasa ivi nachanga ela ya college ya kabinti kangu, nakiwekea mikakati kakasome mbali kabisa huko na mafisimaji kaa nyinyi..hamkatongozi ng'o!
 
Back
Top Bottom