Hadi kufikia mwisho wa kampeni za uchaguzi mwaka huu, ni lazima maji mje kuyaita 'ma" kwa hoja za kijinga kama hizi. Si mlianza kusherehekea mapema kuwa upinzani umekufa? Endeleeni na sherehe zenu sasa.
Thubutu yao,upinzani hauwezi kufa.Ulikuwepo tangu enzi na enzi.Hadi kufikia mwisho wa kampeni za uchaguzi mwaka huu, ni lazima maji mje kuyaita 'ma" kwa hoja za kijinga kama hizi. Si mlianza kusherehekea mapema kuwa upinzani umekufa? Endeleeni na sherehe zenu sasa.
Sera ya CHADEMA ni maendeleo ya watu sio vitu
Wakili Felix Mkosamali Mgombea Ubunge CHADEMA Muhambwe ampinga Lisu na CHADEMA anadi sera ya maendeleo ya vitu kuwa hizo ndizo sera kinyume na Lisu anayepinga maendeleo ya vitu
Wakili Mkosamali pia ametangaza biashara yake ya uwakili kwenye mkutano wa hadhara kinyume cha maadili ya uwakili ambayo hayaruhusu kujitangaza kutafuta wateja
Huyu hapa msikie mwenyewe
Huyu jamaa ni bogus wa kiwango cha lamiAisee uzi tayari! Wewe jamaa kwasasa humu JF ndii unaongoza kwa kuanzisha mada zisizo na kichwa wala miguu!