Achahasira
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,213
- 215
incase of sexual pleasure i think kuna vagina orgasms which is far greater than clitori orgasmKwa uelewa wangu mdogo:mutilation ni mbaya kwa kuwa clitoris(very sensitive kwenye sex) kinaondolewa,so mwanamke hatajisikia raha sawasawa.na ii ilikuwa inafanywa kwa ajili ya kupunguza hamu ya kufanya mapenzi,hence wanawake washughulike zaidi kwenye kazi.then kuna matatizo ya kiafya kama kutokwa damu nyingi during removal of clitoris,maambukiz ya ukimwi(kisu 1 kinatumika kwa mwanamke zaid ya m1)etc
incase of sexual pleasure i think kuna vagina orgasms which is far greater than clitori orgasm
Kwa uelewa wangu mdogo:mutilation ni mbaya kwa kuwa clitoris(very sensitive kwenye sex) kinaondolewa,so mwanamke hatajisikia raha sawasawa.na ii ilikuwa inafanywa kwa ajili ya kupunguza hamu ya kufanya mapenzi,hence wanawake washughulike zaidi kwenye kazi.then kuna matatizo ya kiafya kama kutokwa damu nyingi during removal of clitoris,maambukiz ya ukimwi(kisu 1 kinatumika kwa mwanamke zaid ya m1)etc
gakato nisaidie faida za female circumcision kama unazifahamu.
King'asti nitakuwa muongo kama nitasema nazijua, ila kutokana na tafiti wanasema kwa kuwa ni tamaduni utekelezaji wake ni kuwa ULIFANYA MWANAMKE awe MWANAMKE katika jamii husika, ni kama vile uwe na mwanajeshi ambae hajaenda kozi za jeshi; lakini pia ndio kilichokuwa/ndicho kigezi za mwanamke kuolewa katika jamii hizo, wao waniita MSAFII na MZURI (KINYUME CHAKE NI MCHAFU), ndio kiashiria cha mwanamke alietulia na kuwa tayari kwa uzuri. Sasa katika mapokeo ya sasa (modernity na globalisation), wote standards zenu zipo universal, na kwa maan hiyo tunaona hakuna faida yoyote ya kutahiri wanawake (wewe na mimi tupo katiak kizazi hiki sasa).
Mimi kama mwanamke sioni uchafu wowowte unaotokana na kuwepokwa clitoris. Umesema vyema, tuongelee kizazi hiki chetu cha sasa.
Kumtahiri mwanamke ilikuwa innovationya kupunguza ashki tu kitu ambacho ni uon3vu mkubwa. Nimewahi kukutana na shuhuda kuwa mwanamke alietahiriwa hata iweje hafiki kileleni. Effect ya kutahiri mwanamke ni kama kumtahiri mwanaume kwa kukata ama kufyeka kichwa cha uume ( wakati wa operesheni ya kumbadilisha mwanaume kuwa mwanamke and vice versa, ngozi ya uume ama clitoris inatumika interchangeably kutengeneza kiungo hichi muhimu). Haiwezi ikawa kitu chema hata kidogo!
King'asti!,nisaidie faida za female circumcision kama unazifahamu.
Ndugu wana jf, kuna ishu hi ya female genital mutilation imekuwa ikikemewa sana na mataifa ya magharibi kuwa ni tamaduni ambazo hazina umuhimu na ni zakukemewa.
Kwa mtizamo wangu naona hii ishu inalazimishwa na mataifa makubwa kwa mataifa yetu ya kimaskini.
Swali, je kweli kuna madhara kama yanavyo tangazwa au ni moja ya agenda za mataifa ya magharibi kwa mataifa yetu kama yale ya ushoga?
Ningeomba kupatiwa elimu kuhusu hili, umuhimu na hasara zake kama zipo?
Karibuni,
Pasco, asante kwa majibu mazuri (najisikia kisiasa kidogo aagh). Pamoja na majibu yako mazuri still i dont agree with you on many items.
Kwanza napata kichaa nikiwaza cliroris ilivyo sensitive halafu inakamatwa na kuchanjwa (hata kwenye game tu haifai kuanzia kwa clit kabla mhemko haujafika level flani. It is just too sensitive jamani!).
Lakini pia unataka tuendelee kucontrok sexual drive ya mwanamke asitamani sex ili iweje? Na nani atacontrol ya hao wanaume? Huu ni uonevu. Kila mtu na afanye maamuzi juu ya matumizi ya mwili wake mwenyewe.
Ashakum si matusi rafiki zangu wa kanda ya ziwa. Cousins wangu wangu wawili wameolewa musoma. Huko walikoolewa baba wake wao wameoa hadi wake zao ni wadogo kwa wali wao. Baba mkwe wa dadangu aliugua gono ikawa aibu tele. Nataka kusema hao waliotahiriwa sio kweli kuwa wametulia. Kama ni utafiti nitaanza na hypoThesis kuwa wanawake waliotahiriwa hawatulii kwa kutafuta kuridhishwa. Vaginal orgasm ni function ya stamina na tukubaliane kimsingi kuwa kwa wanaume wa sasa hilo ni janga la kitaifa.
Im all against unnecessary torture and pain.
Mimi kama mwanamke sioni uchafu wowowte unaotokana na kuwepokwa clitoris. Umesema vyema, tuongelee kizazi hiki chetu cha sasa.
Kumtahiri mwanamke ilikuwa innovationya kupunguza ashki tu kitu ambacho ni uon3vu mkubwa. Nimewahi kukutana na shuhuda kuwa mwanamke alietahiriwa hata iweje hafiki kileleni. Effect ya kutahiri mwanamke ni kama kumtahiri mwanaume kwa kukata ama kufyeka kichwa cha uume ( wakati wa operesheni ya kumbadilisha mwanaume kuwa mwanamke and vice versa, ngozi ya uume ama clitoris inatumika interchangeably kutengeneza kiungo hichi muhimu). Haiwezi ikawa kitu chema hata kidogo!
King'asti, nakubaliana na wewe kwa asilimia 100% kuwa huu ni wakati wa haki sawa!.Pasco, asante kwa majibu mazuri (najisikia kisiasa kidogo aagh). Pamoja na majibu yako mazuri still i dont agree with you on many items.
Kwanza napata kichaa nikiwaza cliroris ilivyo sensitive halafu inakamatwa na kuchanjwa (hata kwenye game tu haifai kuanzia kwa clit kabla mhemko haujafika level flani. It is just too sensitive jamani!).
Lakini pia unataka tuendelee kucontrok sexual drive ya mwanamke asitamani sex ili iweje? Na nani atacontrol ya hao wanaume? Huu ni uonevu. Kila mtu na afanye maamuzi juu ya matumizi ya mwili wake mwenyewe.
Ashakum si matusi rafiki zangu wa kanda ya ziwa. Cousins wangu wangu wawili wameolewa musoma. Huko walikoolewa baba wake wao wameoa hadi wake zao ni wadogo kwa wali wao. Baba mkwe wa dadangu aliugua gono ikawa aibu tele. Nataka kusema hao waliotahiriwa sio kweli kuwa wametulia. Kama ni utafiti nitaanza na hypo
King'asti, nakubaliana na wewe kwa asilimia 100% kuwa huu ni wakati wa haki sawa!.
Ila FC ilifanywa kwa lengo la kuwasaidia wanawake wenyewe, na sio kweli kuwa ni clit yote inaondolewa!, jamii tofauti zinafanya kwa namna tofauti, kule Somalia, Sudan na Ethiopia, wao wanashona kabisa na kubakiza kitundu tuu cha secretion, binti akishachumbiwa ndipo anafunguliwa!. Hata Wachagga kabla ya ujio wa dini pia walifanyiwa!, hivyo ile krismasi hadi krismasi iliwezekana!.
Hili la baadhi ya waliofanyiwa kuwa bado ni vicheche, hili nalo ni tatizo la "over drive" ambalo huwapata wanawake wote!. Mimi nimeishawahi kuptia mke fulani wa mtu tena mumewe mheshimiwa fulani!, huwezi amini, nilifuatwa na huyo mama saa 12:00 asubuhi, my kids wanakwenda shule, gari ya mamaa imeshaipaki nje!, sio wanaume wote tuna prefer "morning drive!", na ukikubali, then shiold have been only a single shot!, yeye alihitaji full dose!, asubuhi!, hivyo ilifika mahali nilishindwa mwenyewe!. Sex should be enjoyment, lakini kwa wengine inageuka kazi hadi karaha!. Hivyo huyo ndiguyo hilo ni tatizo!.
Sisi Wasukuma wa zamani, bangi ilikuwa ni sehemu ya stimulants za kupiga jembe siku nzima, toka saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni, na hakuna watu waliokuwa wanawehuka!. Wanaume wa Kisukuma baada ya kupuliza, na ule ugali mlima!, usiku ni gwaride usiku kucha!, 7 days a week!, 4 weeks a moth!, (save for only those days)!, hivyo ni mke wa Kisukuma anakusisitizia mtafutie wenzake wasaidiane!, hivyo angalau watatu wanne, wapokezane, vinginevyo mwenyewe atajifia!, na kwa wenye uwezo, hadi wanawake 20!. That was then, is this valid for now?!. Hivyo hizi mila zife kwa invalidity na sio kwa kubezwa na wazungu!. Sisi Wasukuma wa leo, ni mke mmoja tuu, labda na vidumu vya hapa na pale kubadilishia mboga tuu!.
The same should be applied kwenye FC, iwe regulated kwa kuwekewa viwango, na vifaa salama, na iendelezwe tuu kule kwenye relevance!. Wafugaji wa kuhama hama wanapungua, ufugaji wa kisasa unareplace ufugaji wa kiasili, Morani wa Kimasai waliokuwa wakishinda mbugani na mifugo, siku hizi ni wasusi kule Sinza na Mwenge, na wengine ni walinzi, hivyo ile need ya kuwa preserve wake zao kwa FC, inapunguza relevance hivyo iache kwa irrelevance na sio kwa marufuku za kisiasa.
Pasco.
Nyie watu mmenichekesha yaani!
Pasco pole kwa kuamshiwa kazi. Siku nataka kidumu ntakucheki kana una vacancy lol.
Nafurahi kusikia kuwa wanawake waliotahiriwa wanafurahia sex. Ila kaka isijekuwa ni function ya size na stamina tu.
All in all sijaona umuhimu wa kupeana maumivu ya kukata antennae. Namshukuru Mungu sijatokea kwenye tamaduni hizo.
Kwa uelewa wangu mdogo:mutilation ni mbaya kwa kuwa clitoris(very sensitive kwenye sex) kinaondolewa,so mwanamke hatajisikia raha sawasawa.na ii ilikuwa inafanywa kwa ajili ya kupunguza hamu ya kufanya mapenzi,hence wanawake washughulike zaidi kwenye kazi.then kuna matatizo ya kiafya kama kutokwa damu nyingi during removal of clitoris,maambukiz ya ukimwi(kisu 1 kinatumika kwa mwanamke zaid ya m1)etc