SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 418
- 906
Kwahiyo kudeki ndio kumtii mume na kutokudeki ni kutomtii mume?Yaani anaamini kwa kipato chake hawezi kumtii mumewe!
Dah!..kila laheriMi nataka kumuoa huyu. Sijui atakubali au pengine atataka "anioe" au tuoane. Kazi sana yaani [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2464131
Majukumu kwenye ndoa ni mawili tu, KULA KWA JASHO & ZAA KWA UCHUNGU baasi!! Hayo mengine hayana mwenyewe!Kama kazi za kupika, kuosha Vyombo, kufua,kudeki ndani ni kazi ya mwanaume kunaulazima gani wew uingie ndoani Kama hata majukumu yako tu huyafahamu
Nimeshaofanyia lamination kwenye akili yangu siku nyingi sanaHii comment naomba iwekewe lamination kabisaa
Eeeh anakusaidia kuongeza uzao dunianiIn doing so, Mwanaume awe kiongozi na mwanamke kama msaidizi wake Case closed