Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Kumbe unafanya hvyo ili uendelee kufaidi huduma za huyo baba. Sasa unajua tatizo lilipo? Tafuta pesa zako mwenyewee ili ujihudumie, acha kuhudumiwaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
Feminist wamefika 😁😁😁
 
I think we're on same boat, Mimi pia siungi harakati za usawa kwenye ndoa!
Tatizo langu na wewe lipo hapo unapokataa neno kuoana na kulihusisha na usawa au majukumu ya kwenye ndoa. They got nothing, and I mean nothing to do with kuoana, kuolewa or kuoa.
 
Tatizo langu na wewe lipo hapo unapokataa neno kuoana na kulihusisha na usawa au majukumu ya kwenye ndoa. They got nothing, and I mean nothing to do with kuoana, kuolewa or kuoa.
Kama hujafuatilia vizuri, jaribu kudadisi uhusiano uliopo Kati ya kuoana na usawa katika ndoa. Wanawake wanaosema tumeoana asilimia nyingi wanahitaji usawa kwenye ndoa.
 
In that scenario kwa nini aliamua kuoa?
Kuna nyakati Binadamu wanaishi kwa kutegemea hope. Unalala ukihope utaamka, unasafiri ukihope utafika, Unaoa ukihope utafanya kazi na kuihudumia familia. Kuna nyakati hope inafeli, unalala huamki, unasafiri hufiki, unaoa unashindwa kuihudumia familia.

Kwa kawaida mwanaume anapofeli mwanamke anashika usukani kwa muda huku akili yake akiielekeza kumrudisha mwanaume wake kwenye nafasi yake. Tatizo la siku hizi ni either:

1. wanawake hawafikirii kuwarudisha wanaume zao kwenye nafasi zao wanafikiria kuchukua nafasi zao ili wawapeleke na kuwacontrol watakavyo. Au

2. Kuna wanaume wamekuwa wavivu, watu wa kuhonga michepuko, wakwepa majukumu, akili ndogo, kuwa na ndoto zisizotekelezeka hivyo mwanamke anaona si salama kuweka imani kwa mwanaume wa aina hiyo.
 
Khaaaaaah kwahyo kumbe tatizo n ratiba za kudeki na kuosha vyombo.? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio, masuala ya ukatili haya. unakuta mtu anaosha vyombo in the name of kumjali mke wake! Feminist mtuache kabisaaa 😁😁
 
Kuna nyakati Binadamu wanaishi kwa kutegemea hope. Unalala ukihope utaamka, unasafiri ukihope utafika, Unaoa ukihope utafanya kazi na kuihudumia familia. Kuna nyakati hope inafeli, unalala huamki, unasafiri hufiki, unaoa unashindwa kuihudumia familia.

Kwa kawaida mwanaume anapofeli mwanamke anashika usukani kwa muda huku akili yake akiielekeza kumrudisha mwanaume wake kwenye nafasi yake. Tatizo la siku hizi ni either:

1. wanawake hawafikirii kuwarudisha wanaume zao kwenye nafasi zao wanafikiria kuchukua nafasi zao ili wawapeleke na kuwacontrol watakavyo. Au

2. Kuna wanaume wamekuwa wavivu, watu wa kuhonga michepuko, wakwepa majukumu, akili ndogo, kuwa na ndoto zisizotekelezeka hivyo mwanamke anaona si salama kuweka imani kwa mwanaume wa aina hiyo.
kiufupi tu; hapo ndipo elimu yetu imetufikisha.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuna nyakati Binadamu wanaishi kwa kutegemea hope. Unalala ukihope utaamka, unasafiri ukihope utafika, Unaoa ukihope utafanya kazi na kuihudumia familia. Kuna nyakati hope inafeli, unalala huamki, unasafiri hufiki, unaoa unashindwa kuihudumia familia.

Kwa kawaida mwanaume anapofeli mwanamke anashika usukani kwa muda huku akili yake akiielekeza kumrudisha mwanaume wake kwenye nafasi yake. Tatizo la siku hizi ni either:

1. wanawake hawafikirii kuwarudisha wanaume zao kwenye nafasi zao wanafikiria kuchukua nafasi zao ili wawapeleke na kuwacontrol watakavyo. Au

2. Kuna wanaume wamekuwa wavivu, watu wa kuhonga michepuko, wakwepa majukumu, akili ndogo, kuwa na ndoto zisizotekelezeka hivyo mwanamke anaona si salama kuweka imani kwa mwanaume wa aina hiyo.
Hiyo namba 2 ukweli mtupu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kumbe unafanya hvyo ili uendelee kufaidi huduma za huyo baba. Sasa unajua tatizo lilipo? Tafuta pesa zako mwenyewee ili ujihudumie, acha kuhudumiwaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukianza kujihudumia tu jua umeisha. Automatiy unajitengeneza kuwa single mother anayedharaulika
 
Kama sio uzazi ndoa kwa ujumla wake imenidisappointed sana!
 
Kama hujafuatilia vizuri, jaribu kudadisi uhusiano uliopo Kati ya kuoana na usawa katika ndoa. Wanawake wanaosema tumeoana asilimia nyingi wanahitaji usawa kwenye ndoa.

Ukiachilia mbali watu wanasemaje au wanawake wanamaanisha kitu Gani, neno kuoana linamaana Gani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baki bachelor, usitafute mwenzaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sharti la ndoa ni kusaidiana kudeki na vyombo? 😁😁Mwanaume nitahudumia familia mwanamke atailea na kuhakikisha mazingira (usafi nk) viko sawa!
 
Mkuu wangu labda nikwambie..kwenye ndoa yangu nitabaki kuwa mwanamke na mwanaume atabaki kuwa mwanaume kila mtu na ayatimize majukumu yake ipasavyo.

Sijui umenielewa
Tuliosoma Cuba tumekuelewa sana tu
 
Back
Top Bottom