Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

kuna sehem flan nilitembelea; kule mwanamke akiachika anatengwa na familia(hatakiwi kuwa karibu na wadogo zake wa kike)
kwasababu atawaharibu kisaikolojia... kwa maana hiyo, umesema ukweli
Mkuu tupeane machimbo! Wapi huko?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em huko naweee.
Useme huna uwezo wa kuishi na mke, ndo unajifichia u feminist khaaaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wife material ndiye anafaa!
Habari za kupangiwa ratiba za kudeki na kuosha vyombo ndio siwezi, huo usawa kwangu NOOOO
 
kuna sehem flan nilitembelea; kule mwanamke akiachika anatengwa na familia(hatakiwi kuwa karibu na wadogo zake wa kike)
kwasababu atawaharibu kisaikolojia... kwa maana hiyo, umesema ukweli
Ndio ipo hivyo feminists wengi ndoa zimewashinda wamejawa na hasira plus ubinafsi kwahiyo wanachokifanya nikuingiza hizo tabia mbovu kwa hawa mabinti wenye miaka 20+ mwisho wa siku wanajikuta hata akiolewa miezi sita kwenye ndoa hatoboi, Kuna single mother mmoja nilimkuta anaongea na wenzake anasemaje aisee mke wa fulani ana nyanyaswa kweli kila siku anafua nguo za mumewe hata hamuonei huruma daah nilibaki nashangaa hivi mwanamke kufua ni unyanyasaji wa kijinsia hawa viumbe ni nani aliye waroga , single mom ni tatizo kubwa kwa ustawi wa mabinti kwenye jamii.
 
kunakuoa & kuolewa tu
boliti ndo zinoana
Hii kuoana sijui imefikaje huku kwetu, Mwanaume unasemaje kwamba tumeoana na mke wangu?

Wazazi humuuliza kijana wa kiume "Mwanangu unaoa lini? Siyo mwanangu "mnaoana lini
 
Ndio ipo hivyo feminists wengi ndoa zimewashinda wamejawa na hasira plus ubinafsi kwahiyo wanachokifanya nikuingiza hizo tabia mbovu kwa hawa mabinti wenye miaka 20+ mwisho wa siku wanajikuta hata akiolewa miezi sita kwenye ndoa hatoboi, Kuna single mother mmoja nilimkuta anaongea na wenzake anasemaje aisee mke wa fulani ana nyanyaswa kweli kila siku anafua nguo za mumewe hata hamuonei huruma daah nilibaki nashangaa hivi mwanamke kufua ni unyanyasaji wa kijinsia hawa viumbe ni nani aliye waroga , single mom ni tatizo kubwa kwa ustawi wa mabinti kwenye jamii.
tamaduni ingne zinawafanyia matambiko fulani kukataa huo mkosi usiandame famili!
 
Wife material ndiye anafaa!
Habari za kupangiwa ratiba za kudeki na kuosha vyombo ndio siwezi, huo usawa kwangu NOOOO

Kama unajielewa na kujitambua haiwezi kufikia hatua ya kuanza kujadili vitu vidogo namba hiyo. Shida itakua kubwa kuliko maneno ya kuoa, kuolewa na kuoana.
 
Kama unajielewa na kujitambua haiwezi kufikia hatua ya kuanza kujadili vitu vidogo namba hiyo. Shida itakua kubwa kuliko maneno ya kuoa, kuolewa na kuoana.
Mbona nimefafanua vizuri kwamba siamini katika usawa kwenye ndoa, naamini mwanaume ni kichwa na msaidizi wangu ni mke wangu.

Huwezi kusikia kijana akiulizwa na wazazi wake "mnaoana lini "? Wazazi watamuuliza "Mwanetu unaoa lini "?
 
Hii kuoana sijui imefikaje huku kwetu, Mwanaume unasemaje kwamba tumeoana na mke wangu?

Wazazi humuuliza kijana wa kiume "Mwanangu unaoa lini? Siyo mwanangu "mnaoana lini

Watamuulizaje wanaona lini wakati Hilo ni jambo la makubaliano ya watu wawili na linategemea ridhaa ya pande mbili? Akiwa kijana wa kiume ataulizwa unaoa lini? Wakike ataulizwa unaolewa lini? Lakini wakishakamilisha mchakato, wanakua wameoana.

Nimekuomba ulete hapa tafsiri ya neno kuoana.

Kuonana haiondoi jinsia, majukumu Wala mamlaka ndani ya ndoa.

Unafikiri kama hautekelezi wajibu wako kama Mme ukikomaa kusema umeoa na hamjaoana itabadili kitu?
 
Hii kuoana sijui imefikaje huku kwetu, Mwanaume unasemaje kwamba tumeoana na mke wangu?

Wazazi humuuliza kijana wa kiume "Mwanangu unaoa lini? Siyo mwanangu "mnaoana lini
kwanza kuoana ni kauli gani? Kutendana /kutendwa? (wasoma kiswahili)
 
Mbona nimefafanua vizuri kwamba siamini katika usawa kwenye ndoa, naamini mwanaume ni kichwa na msaidizi wangu ni mke wangu.

Huwezi kusikia kijana akiulizwa na wazazi wake "mnaoana lini "? Wazazi watamuuliza "Mwanetu unaoa lini "?

Nani kasema neno kuoana linakusudia kuleta usawa kwenye ndoa?
 
Kumbe unafanya hvyo ili uendelee kufaidi huduma za huyo baba. Sasa unajua tatizo lilipo? Tafuta pesa zako mwenyewee ili ujihudumie, acha kuhudumiwaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
Hela ninazo dada Tena nafanya kazi moja na mme wangu Ila Kuna Raha mke kuhudumiwa Bwana......
 
Back
Top Bottom