Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Nakwambia hivi, nimetoa mahari, nnahudumua familia hiyo haibadilishi msimamo wangu kwamba TUMEOANA. Mtoto wa watu kukubali kuishi nawewe unachukua jambo dogo?

Haya mambo Kila mmoja anapeleka anavyoona inafaa. Wewe kama kutumia neno kuoana inakupa ukakasi, tafuta linalokupa furaha.
Kiswahili 👉nakupiga +unanipiga =tumepigana
Umeoa +amekuoa =mmeoana
Is that so?
 
Kiswahili 👉nakupiga +unanipiga =tumepigana
Umeoa +amekuoa =mmeoana
Is that so?

Seems like I overrated you Chief.
Unaelewa maana ya neno kuoana?
Tuanzie hapo kwanza, achilia nadharia zako na hisia zako kuhusu kuoa, kuolewa na kuoana, neno kuoana unaelewa maana yake?
 
Au wengine wanaishi Maigizo , at the bottom Mwanamke ndo Steering wheel wa KILA kitu .

Mwamba akisimama yeye kama yeye inakuwa tatizo . Mvutano hutokea hapo ambao hauna mfano .
Anasimama vipi na hana njia ya kipato, hana ajira, ana degree yake tu? Mkewe ana ajira, ana vikoba, hapo bado bosi hajamuelewa akamuweka mjini.

Unakuta mke ana ukwasi mume hana kitu anajikaza tu barabarani na pete yake ya ndoa kila siku akiomba mambo yakae sawa au mke wake asichoke akamkosea heshima na kumuabisha.

Vijana wanapitia nyakati ngumu sana, wengine wanaposema USIOE ni kuwaelewa tu.
 
Hapo ndiyo mitihani [emoji23][emoji23]unapoanzia kumtu humu alijaribu kuelezea scenario nilishangaa sana ,huwa wanajifanya wajuaji na ufeminist wao mwisho wasiku wanatafuta mwanaume mwenye muonekano hata Kama Hana maisha ndiyo wanaanza kumuhudumia plus kumfungulia miradi hatimae anaolewa nae anaanza kuvimba nae mjini lakini bila hivyo huishia kubeba waume za watu tu na kuzalishwa hovyo hovyo.
Bora anayemtengeneza mume wake kuliko mwizi wa mume wa mtu.
 
Seems like I overrated you Chief.
Unaelewa maana ya neno kuoana?
Tuanzie hapo kwanza, achilia nadharia zako na hisia zako kuhusu kuoa, kuolewa na kuoana, neno kuoana unaelewa maana yake?
Nimejieleza vizuri kwamba naamini katika ndoa ambayo mwanaume anamuoa mwanamke! Na mwanamke huyo (kwa hiari yake) anaamua Kuolewa na Mwanaume.
The ship must have a captain so in marriage husband is that captain
 
Anasimama vipi na hana njia ya kipato, hana ajira, ana degree yake tu? Mkewe ana ajira, ana vikoba, hapo bado bosi hajamuelewa akamuweka mjini.

Unakuta mke ana ukwasi mume hana kitu anajikaza tu barabarani na pete yake ya ndoa kila siku akiomba mambo yakae sawa au mke wake asichoke akamkosea heshima na kumuabisha.

Vijana wanapitia nyakati ngumu sana, wengine wanaposema USIOE ni kuwaelewa tu.
In that scenario kwa nini aliamua kuoa?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hakunaga feminist mzuri wengi wao umbo baya, sura mbaya na kitandani ni magogo.
 
Nimejieleza vizuri kwamba naamini katika ndoa ambayo mwanaume anamuoa mwanamke! Na mwanamke huyo (kwa hiari yake) anaamua Kuolewa na Mwanaume.
The ship must have a captain so in marriage husband is that captain

Weka hapa kwanza maana ya neno kuoana. Mbona mambo marahisi tu? Nani kakwambia neno kuoana lunaondoa mume na Mke au nani ni kichwa Cha familia?

Nakuuliza Kwa Mara nyingine, maana ya neno kuoana iwe Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili au vinginevyo inayotambulika unaielewa?
 
Pamoja na kuwa nitakuwa nipo nje ya mada, naamini kuwa Head of Household haina jinsi (sex). Head of Household inategemea na uwezo wa kifedha wa member of the household anaocontribute katika household husika. Kama mwanamke ana uwezo wa kifedha katika hiyo household na ndiye anacontribute lion share, basi yeye ndiye mkuu wa household.

Ndiyo maana ukitaka kujidhatiti katika ukuu wa household, lazima utoe fedha kuliko mtu yeyote katika ustawi wa Household.

Nikija suala la kuoana na kuoa/kuolewa. Hii inatokana na cotribution ya mwanamke katika mchakato wa ndoa. Ukiruhusu mwanamke achangie mahari, hiyo ni kuoana. Ila dume ukivimba na kuhakikisha mahari unatoa wewe hapo unaoa.

Kuhusu usafi wa nyumba na kupika, si kazi za Head of Household. Nadhani nimekujibu Hannah
Umenijibu lakini kimaandiko sisi ni wasaidizi wa wanaume. Na kazi ya msaidizi ni kufanya majukumu ambayo anapaswa mwanaume kuyafanya sisi tunamsaidia tu.
Kwa hiyo kazi ya kuosha vyombo.kupika, ni za mwanaume haijalishi anatengeneza shingapi ila sisi tunawasaidia tu.

Hivyo msijisahau.
 
Umenijibu lakini kimaandiko sisi ni wasaidizi wa wanaume. Na kazi ya msaidizi ni kufanya majukumu ambayo anapaswa mwanaume kuyafanya sisi tunamsaidia tu.
Kwa hiyo kazi ya kuosha vyombo.kupika, ni za mwanaume haijalishi anatengeneza shingapi ila sisi tunawasaidia tu.

Hivyo msijisahau.
Msaidizi hupangiwa kazi. Makamo wa Rais na Waziri Mkuu ni wasaidizi wa Rais, hivyo Rais anawapangia kazi. Na kama mwanamke ni msaidizi wa mwanaume, mwanaume anampangia kazi za kudeki, kupika na kufua nguo
 
Msaidizi hupangiwa kazi. Makamo wa Rais na Waziri Mkuu ni wasaidizi wa Rais, hivyo Rais anawapangia kazi. Na kama mwanamke ni msaidizi wa mwanaume, mwanaume anampangia kazi za kudeki, kupika na kufua nguo
Mwambie Hannah
 
Acha niwe wife material niendelee kufaidi huduma za huyu baba jaman kuliko kujitutumua kushindwa kumnyenyekea halali yangu nianze kuvamia ndoa za watu nizae kila mtoto na baba yake kisa tu nimeshindwa kuwa mtii kwa mme wangu ambaye Mungubamemfananisha na kanisa mpaka kamuita kichwaaaa......nawashangaa wanawake wanaoshupaza shingo kujidai super women huku wanavizia waume za watu wanaanza kupata mb** za foleni!!! Ndoa Ina raha yake bhana,watt wanafaidi kuona baba na mama mnaishi pamoja!!!
Naomba nichangie mifuko ya cement 50 na lori moja la kokoto kwa ajili ya ujenzi wa sanamu lako [emoji119]
 
Feminist wengi ni mishangazi wameachika wanawarubuni mabinti wadogo wanao chipukia , kwahiyo hii inapelekea ongezeko la single mom kila kukicha .Mim nilishasema mwanamke kama nimekutolea mahari jua kabisa mfumo dume utakuhusu, siwezi kukubali kuharibu future za watoto kwa ujinga huo wa feminists
kuna sehem flan nilitembelea; kule mwanamke akiachika anatengwa na familia(hatakiwi kuwa karibu na wadogo zake wa kike)
kwasababu atawaharibu kisaikolojia... kwa maana hiyo, umesema ukweli
 
Kumekuchaaaaaaaaaa!!!

Wanaume wanapungua kwa kasi ya ajabu sana, kweli ni mafurushi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha niwe wife material niendelee kufaidi huduma za huyu baba jaman kuliko kujitutumua kushindwa kumnyenyekea halali yangu nianze kuvamia ndoa za watu nizae kila mtoto na baba yake kisa tu nimeshindwa kuwa mtii kwa mme wangu ambaye Mungubamemfananisha na kanisa mpaka kamuita kichwaaaa......nawashangaa wanawake wanaoshupaza shingo kujidai super women huku wanavizia waume za watu wanaanza kupata mb** za foleni!!! Ndoa Ina raha yake bhana,watt wanafaidi kuona baba na mama mnaishi pamoja!!!
Kumbe unafanya hvyo ili uendelee kufaidi huduma za huyo baba. Sasa unajua tatizo lilipo? Tafuta pesa zako mwenyewee ili ujihudumie, acha kuhudumiwaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume pia wamepungukiwa uwezo wa kuoa. Wengi hawana uwezo huo, wanaweza kuoana au kuolewa. Wanawake wameweza kutafuta kipato kuliko baadhi ya wanaume, maofisini wanawake wamepewa nafasi nyingi za ajira ilihali wanataka kuolewa, wanaotakiwa kuwaoa wapo mtaani wanabeti. Huko tunakoelekea huenda wanaume watatolewa mahari na kutunzwa ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukweli mchunguu huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenijibu lakini kimaandiko sisi ni wasaidizi wa wanaume. Na kazi ya msaidizi ni kufanya majukumu ambayo anapaswa mwanaume kuyafanya sisi tunamsaidia tu.
Kwa hiyo kazi ya kuosha vyombo.kupika, ni za mwanaume haijalishi anatengeneza shingapi ila sisi tunawasaidia tu.

Hivyo msijisahau.
Kama kazi za kupika, kuosha Vyombo, kufua,kudeki ndani ni kazi ya mwanaume kunaulazima gani wew uingie ndoani Kama hata majukumu yako tu huyafahamu
 
Back
Top Bottom