Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Sogea tuishi .. alianza na kuacha pichu moko ,ya pili ..mara begi zima .. mara imo mara huyu hapa tunaishiNdondokela ni nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sogea tuishi .. alianza na kuacha pichu moko ,ya pili ..mara begi zima .. mara imo mara huyu hapa tunaishiNdondokela ni nini mkuu?
Unachekesha sanaKwanza feminism haina jinsia. Wanaume wangi pia ni ma feminist.
Wew humuoni umri umeshamtupa mkono nani ataoa hiyo takatakaKwahyo akiingiza 20m aajiri wafanyakazi au anataka kusema mwanaume ndio apige deki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa wazungu wanatuzuzua sana na haya mambo ya haki sawa siku tukistuka mambo yashaharibika. Wamejua kutuvuruga kuanzia kwenye familia usipokua na familia imara huwez kuwa na nchi thabiti yenye watu wenye msimamo imara
Yaani umagharibi unatusambaratisha after 10 years watakua wametimiza lengo laoYaani anaamini kwa kipato chake hawezi kumtii mumewe!
Mkuu,umewachokoza "mafeminisiti" ngoja wamalize kunywa chaiFeminist wengi ni mishangazi wameachika wanawarubuni mabinti wadogo wanao chipukia , kwahiyo hii inapelekea ongezeko la single mom kila kukicha .Mim nilishasema mwanamke kama nimekutolea mahari jua kabisa mfumo dume utakuhusu, siwezi kukubali kuharibu future za watoto kwa ujinga huo wa feminists
😂😂😂😂Sijui kwanini niliwaza kuwa ule mwandiko wangu utakufanya uanzishishe uzi.
Mkuu ikikupendeza lipia huu uzi hata jero tu mwanangu nikanywe soda maana jua linapiga kichizi pande hii
Ndio useme umemuoa au mmeoana?Sogea tuishi .. alianza na kuacha pichu moko ,ya pili ..mara begi zima .. mara imo mara huyu hapa tunaishi
Feminists asilimia kubwa ni masingo mom ,nahivi vitoto vinavyo lelewa na bibi zao vinaibukia kwenye chaka la Simba na kuanza kupushi ajenda za haki sawa kumbe ujinga tuMkuu,umewachokoza "mafeminisiti" ngoja wamalize kunywa chai
Wakishajijua hawana sura na umbo wanajidai wapigania haki za wanawake 😂😂😂 wanajua hawana cha kupotezaSura yenyewe mbaya kuliko ya stivo simple boy ndo maana feminist wengi ni ugly khaaa [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
Mi nataka kumuoa huyu. Sijui atakubali au pengine atataka "anioe" au tuoane. Kazi sana yaani [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2464131
Nitaoa mkuuNdio useme umemuoa au mmeoana?
Naona hii ni case ya kujileta 😁ila baadaye mtakapoamua kuirasimisha ndoa yenu, mambo ya mahari n. K utaoa /kuolewa au mtaoana??
Ni mwendo wa kuwagonga kichwa Kama dishi likae vizuriFeminist wengi ni mishangazi wameachika wanawarubuni mabinti wadogo wanao chipukia , kwahiyo hii inapelekea ongezeko la single mom kila kukicha .Mim nilishasema mwanamke kama nimekutolea mahari jua kabisa mfumo dume utakuhusu, siwezi kukubali kuharibu future za watoto kwa ujinga huo wa feminists
Acha niwe wife material niendelee kufaidi huduma za huyu baba jaman kuliko kujitutumua kushindwa kumnyenyekea halali yangu nianze kuvamia ndoa za watu nizae kila mtoto na baba yake kisa tu nimeshindwa kuwa mtii kwa mme wangu ambaye Mungubamemfananisha na kanisa mpaka kamuita kichwaaaa......nawashangaa wanawake wanaoshupaza shingo kujidai super women huku wanavizia waume za watu wanaanza kupata mb** za foleni!!! Ndoa Ina raha yake bhana,watt wanafaidi kuona baba na mama mnaishi pamoja!!!Je Wewe utaoa /kuolewa au utaoana na mwenza wako wa maisha? Maisha yamebadilika Sana zamani ungesikia, mwanamke akisema "huyu ni mume wangu, nimeolewa miaka mitano iliyopita ".Sasahivi utasikia "kuanzia tuoane [emoji848]ni mwaka sasa "!Je wewe ni muumini wa mrengo upi?
Mfumo wa haki sawa (feminism) unalenga kuleta usawa Kati ya mwanamke na mwanaume. Mfumo huu unapingana na ule halisia (ambao wanauita mfumo dume)!.
Lakini mfumo huu umeishia kuvunja ndoa nyingi na kuzalisha idadi kubwa ya "Single mothers ",kwa sababu ndoa ni ndoa pale ambapo mwanamke atakubali kuolewa!
Sasa "feminisiti "mje hapa mtuambie kwenye ndoa mnataka haki zipi? Kwanini hamkubali kuolewa na mnataka kuoana na waume zenu?
Upande wa pili sifa tele ziwaendee wanawake wanaojielewa (wife material), Hawa hawajikwezi na hawana makuu, ndoa zao zinadumu niamini mimi ni mwanamke ndiye anasababisha ndoa kuendelea au kuvunjika.
Ewaaa ebeneza kweli Kama jina lakoAcha niwe wife material niendelee kufaidi huduma za huyu baba jaman kuliko kujitutumua kushindwa kumnyenyekea halali yangu nianze kuvamia ndoa za watu nizae kila mtoto na baba yake kisa tu nimeshindwa kuwa mtii kwa mme wangu ambaye Mungubamemfananisha na kanisa mpaka kamuita kichwaaaa......nawashangaa wanawake wanaoshupaza shingo kujidai super women huku wanavizia waume za watu wanaanza kupata mb** za foleni!!! Ndoa Ina raha yake bhana,watt wanafaidi kuona baba na mama mnaishi pamoja!!!
Feminist anaamini kwa kuwa anafanya kazi na kuingiza mshahara na marupurupu hio hela inatosha kununua kipengele cha utii. Kwake kumtii mume inakuwa ni option sababu ana kazi yakeYaani anaamini kwa kipato chake hawezi kumtii mumewe!
Duh huyo yupo kama finyo finyo yale yanayokaa kwenye mboleaSura yenyewe mbaya kuliko ya stivo simple boy ndo maana feminist wengi ni ugly khaaa [emoji2961][emoji2961][emoji2961]