Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Au wengine wanaishi Maigizo , at the bottom Mwanamke ndo Steering wheel wa KILA kitu .Ni kweli, angalau huko vijijini bado mwanaume ana nafasi ila mjini hali ni mbaya sana. Vijana wanaoa kwa picha tu ila katika uhalisia hawana uwezo wa kuihudimia familia.
Mwamba akisimama yeye kama yeye inakuwa tatizo . Mvutano hutokea hapo ambao hauna mfano .