Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
- Thread starter
- #41
Ni akaunti yako ipi inapokea pesa ya sikukuu?Mods comment Kama hii inapaswa kuhifadhiwa katika servers za Jamii forums.Acha niwe wife material niendelee kufaidi huduma za huyu baba jaman kuliko kujitutumua kushindwa kumnyenyekea halali yangu nianze kuvamia ndoa za watu nizae kila mtoto na baba yake kisa tu nimeshindwa kuwa mtii kwa mme wangu ambaye Mungubamemfananisha na kanisa mpaka kamuita kichwaaaa......nawashangaa wanawake wanaoshupaza shingo kujidai super women huku wanavizia waume za watu wanaanza kupata mb** za foleni!!! Ndoa Ina raha yake bhana,watt wanafaidi kuona baba na mama mnaishi pamoja!!!
Unastahili kuongezewa ulinzi ebenezaa