Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Acha niwe wife material niendelee kufaidi huduma za huyu baba jaman kuliko kujitutumua kushindwa kumnyenyekea halali yangu nianze kuvamia ndoa za watu nizae kila mtoto na baba yake kisa tu nimeshindwa kuwa mtii kwa mme wangu ambaye Mungubamemfananisha na kanisa mpaka kamuita kichwaaaa......nawashangaa wanawake wanaoshupaza shingo kujidai super women huku wanavizia waume za watu wanaanza kupata mb** za foleni!!! Ndoa Ina raha yake bhana,watt wanafaidi kuona baba na mama mnaishi pamoja!!!
Ni akaunti yako ipi inapokea pesa ya sikukuu?Mods comment Kama hii inapaswa kuhifadhiwa katika servers za Jamii forums.
Unastahili kuongezewa ulinzi ebenezaa
 
Feminist anaamini kwa kuwa anafanya kazi na kuingiza mshahara na marupurupu hio hela inatosha kununua kipengele cha utii. Kwake kumtii mume inakuwa ni option sababu ana kazi yake
Tunasolve vipi suala hili? Maana ni mfumo wa kufikiri (mindset) utasikia una kazi yako mwanaume kitu gani?
 
Feminist anaamini kwa kuwa anafanya kazi na kuingiza mshahara na marupurupu hio hela inatosha kununua kipengele cha utii. Kwake kumtii mume inakuwa ni option sababu ana kazi yake
Kuna wakati naona hawa viumbe hawakutakiwa kupata elimu kabisa ndio maana Kuna baadhi ya nchi zinapiga marufuku wao kuwa na elimu kubwa , kwasababu hawajui kubalance shobo kabisa
 
Kuna wakati naona hawa viumbe hawakutakiwa kupata elimu kabisa ndio maana Kuna baadhi ya nchi zinapiga marufuku wao kuwa na elimu kubwa , kwasababu hawajui kubalance shobo kabisa
😁😁😁😁😁
 
Ni akaunti yako ipi inapokea pesa ya sikukuu?Mods comment Kama hii inapaswa kuhifadhiwa katika servers za Jamii forums.
Unastahili kuongezewa ulinzi ebenezaa
Hahaaaaa.......umetisha mkuuu,thamani ya kitu ukikose mkuu,mme wangu alinizalishaga kabla hajanioa basi nilikuwa nasikia vibaya niliona mme mke na watt wameongozana nikawa natamani ningekuwa ni Mimi,huyu baba kanioa Leo nijidai nasema haki sawa??? Haki ya nyoko aiseeee!!!! Acha nimtii huyu Kaka ananiheshimisha Sana jaman,ananipa kampani nzuri Sana,Mungu nitunzie mme wng jamn kwa utukufu wa jina laki!!!
 
Wanaume pia wamepungukiwa uwezo wa kuoa. Wengi hawana uwezo huo, wanaweza kuoana au kuolewa. Wanawake wameweza kutafuta kipato kuliko baadhi ya wanaume, maofisini wanawake wamepewa nafasi nyingi za ajira ilihali wanataka kuolewa, wanaotakiwa kuwaoa wapo mtaani wanabeti. Huko tunakoelekea huenda wanaume watatolewa mahari na kutunzwa ndani.
 
Asante mkuu, huo ndio utamaduni wetu haya mambo ya "marry each other " tuwaachie wazungu
Ndiyo maana dada zetu hutamka " Nimeolewa " Tulifunga ndoa" Tulifunga pingu za Maisha . Siyo Tulioana no and never.

KWA mmiku wa kichaga kama mimi hiyo ni hakunaga
 
sina namna ngoja ntafute mlango wa kutoka
 
Acha niwe wife material niendelee kufaidi huduma za huyu baba jaman kuliko kujitutumua kushindwa kumnyenyekea halali yangu nianze kuvamia ndoa za watu nizae kila mtoto na baba yake kisa tu nimeshindwa kuwa mtii kwa mme wangu ambaye Mungubamemfananisha na kanisa mpaka kamuita kichwaaaa......nawashangaa wanawake wanaoshupaza shingo kujidai super women huku wanavizia waume za watu wanaanza kupata mb** za foleni!!! Ndoa Ina raha yake bhana,watt wanafaidi kuona baba na mama mnaishi pamoja!!!
Kumbe wanawake wenye akili bado wapo aisee[emoji1666][emoji1666] ubarikiwe sana , maana yanayoendelea hivi sasa ni simanzi kwakweli ,unakuta mwanamke ananyonyesha ila hataki kunyonyesha ikifika weekend usiku mtoto anaachiwa mwanaume yeye anaenda bar kula bia mtaani kuna ujinga mwingi sana.
 
Wanaume pia wamepungukiwa uwezo wa kuoa. Wengi hawana uwezo huo, wanaweza kuoana au kuolewa. Wanawake wameweza kutafuta kipato kuliko baadhi ya wanaume, kampuni za kubet zimeharibu uwezo wa uzalishaji wa vijana na degree zao, maofisini wanawake wamepewa nafasi nyingi za ajira ilihali wanataka kuolewa, wanaotakiwa kuwaoa wapo mtaani. Huko tunakoelekea huenda wanaume watatolewa mahari na kutunzwa ndani.
Hivi sasa hayo yanatokea .

Ukiyba kidogo unalelewa ,ukizembea nafasi inachukuliwa unapinduliwa unabaki kama mwali .

Maana upande wa pili twawajua wakisimamia show two weeks ushaolewa tayari .

Gadem
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ukishikwa ufahamu KWISHA KAZI. Nadhan wengi wameshikwa ufahamu na kupandikiziwa ile dhana ya haki sawaaa. Yan hiyo n kitu ambacho hakipo na hakijatokea . Na ikatokea hata kwa 40% tujue hakutakuwa na ndoa. Na kilamtoto na baba yake na mama yake
 
Kumbe wanawake wenye akili bado wapo aisee[emoji1666][emoji1666] ubarikiwe sana , maana yanayoendelea hivi sasa ni simanzi kwakweli ,unakuta mwanamke ananyonyesha ila hataki kunyonyesha ikifika weekend usiku mtoto anaachiwa mwanaume yeye anaenda bar kula bia mtaani kuna ujinga mwingi sana.
Inategemea a na mwanaume aiseee,hivi mme kamili anaejielewa ataruhusu kweli mke aache mtt akanywe pombe kweli??? Kwanza mme gan anaefunguamlango mke aingie katoka kulewa????
 
Hivi sasa hayo yanatokea .

Ukiyba kidogo unalelewa ,ukizembea nafasi inachukuliwa unapinduliwa unabaki kama mwali .

Maana upande wa pili twawajua wakisimamia show two weeks ushaolewa tayari .

Gadem
Ni kweli, angalau huko vijijini bado mwanaume ana nafasi ila mjini hali ni mbaya sana. Vijana wanaoa kwa picha tu ila katika uhalisia hawana uwezo wa kuihudimia familia.
 
Feminist anaamini kwa kuwa anafanya kazi na kuingiza mshahara na marupurupu hio hela inatosha kununua kipengele cha utii. Kwake kumtii mume inakuwa ni option sababu ana kazi yake
Hivi yale maandiko yanasemaje tenaaa.
......enyi wanawake watiini waume zenu.....
Hapa ndipo naelewaaaa yale maandiko matakarifu hayapitwi na wakati
 
mambo mengine na sisi wanaume tunayasababisha.. yaan mtu anamvisha pete mwanamke halafu anapiga goti.. sasa sijui anataka nini.. sisi mashemasi wa enzi na enzi tunajua pale ni sawa na kukubali kukaa chini ya mamlaka ya mwanamke.. ewe mwanamke kamwe usije ukakubali mwanaume akupigie magoti kwa sababu yoyote ile yenye kuonesha unyenyekevu kwako.. akikupigia goti tu, muinue akiwa fala fala usikubali kuolewa naye, huyo hana maamuzi ya kiume kama simba. Kuna siku utagundua hilo na utakua umeshachelewa, jua nafasi yako, kama huwezi mtii huyo uliyenaye kwenye mahusiano kiasi cha kuonesha unyenyekevu wote kwake basi sio mtu sahihi kwako achana naye maana siku akili zake zikikaa kiuanaume atakuacha tu.

Feminist wanaharibu sana familia.... mwanaume ukione mpenzi wako anaitikadi hizo kemea mapema kabla ya kuchelewa na ukiona hana mpango wa kubadilika, kumbuka sensa inasemaje mfute achana naye jitenge naye kabisa... then baada ya muda kidogo utakua sawa na tayar kwa kutafuta mtu atakayekubali kukaa chini yako kwa utulivu na kuweza kujenga familia yenye msingi bora wa kiafrika
 
Hivi kwani kazi za kufanya usafi ndani ya nyumba na kupika ni kazi za nani kwenye familia mkuu?
Pamoja na kuwa nitakuwa nipo nje ya mada, naamini kuwa Head of Household haina jinsi (sex). Head of Household inategemea na uwezo wa kifedha wa member of the household anaocontribute katika household husika. Kama mwanamke ana uwezo wa kifedha katika hiyo household na ndiye anacontribute lion share, basi yeye ndiye mkuu wa household.

Ndiyo maana ukitaka kujidhatiti katika ukuu wa household, lazima utoe fedha kuliko mtu yeyote katika ustawi wa Household.

Nikija suala la kuoana na kuoa/kuolewa. Hii inatokana na cotribution ya mwanamke katika mchakato wa ndoa. Ukiruhusu mwanamke achangie mahari, hiyo ni kuoana. Ila dume ukivimba na kuhakikisha mahari unatoa wewe hapo unaoa.

Kuhusu usafi wa nyumba na kupika, si kazi za Head of Household. Nadhani nimekujibu Hannah
 
Back
Top Bottom