Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Ukiachilia mbali watu wanasemaje au wanawake wanamaanisha kitu Gani, neno kuoana linamaana Gani?
Nimejaribu kulitafuta kwenye kamusi nimelikosa nimepata yafuatayo
1.Olewa/Oa
2.Posa(ask -in)
3.Oza
Hilo neno "Oana " linatokana na "marry each other "kwa lugha ya kiingereza, Huku kwetu Mwanaume anaposa (ask in) ,Upande wa mwanamke ukikubali anaolewa, no such a thing as kuoana
 
Nimejaribu kulitafuta kwenye kamusi nimelikosa nimepata yafuatayo
1.Olewa/Oa
2.Posa(ask -in)
3.Oza
Hilo neno "Oana " linatokana na "marry each other "kwa lugha ya kiingereza, Huku kwetu Mwanaume anaposa (ask in) ,Upande wa mwanamke ukikubali anaolewa, no such a thing as kuoana

According to you right? Neno oana lipo Hadi kwenye Bibilia na makala mengi tu unasema halipo kwenye kamusi?
 
Ndio hivyo mkuu
 

Attachments

  • IMG_20221231_122248.JPG
    IMG_20221231_122248.JPG
    81.7 KB · Views: 3
Wanaume pia wamepungukiwa uwezo wa kuoa. Wengi hawana uwezo huo, wanaweza kuoana au kuolewa. Wanawake wameweza kutafuta kipato kuliko baadhi ya wanaume, maofisini wanawake wamepewa nafasi nyingi za ajira ilihali wanataka kuolewa, wanaotakiwa kuwaoa wapo mtaani wanabeti. Huko tunakoelekea huenda wanaume watatolewa mahari na kutunzwa ndani.
Mmmh we ni ke kwa andiko hili shindwa kwa jina la Yesu maneno yako ni batili tupu
 
Kama kazi za kupika, kuosha Vyombo, kufua,kudeki ndani ni kazi ya mwanaume kunaulazima gani wew uingie ndoani Kama hata majukumu yako tu huyafahamu
Enhee sasa naingia ndoani kumsaidia hayo majukumu yake asichoke sana.
 
Fafanua zaidi kuhusu elimu boss kwa maslahi ya wasomaji.
basi sawa kila msomaji na afikiri before & after enlightenment. Utagundua kuna mapinduzi yamesababishwa na elimu (kuelimika) likiwemo hili la ufeminist
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwa hiyo kipato kinadetermine heshima ya mwanaume kwenye ndoa?
hapana hakishushi heshima. ila kama mwanamke ndiye anapata milioni 20 kwa mwezi ananguvu kubwa kwenye ndoa ikiwa kwenye maamizi na mambo mengine. ila kama ni mwanaume anahela zaidi ya milioni 30 basi nguvu itabaki kwa mwenye hela pale pale kwa mwanaume ambapo inatakiwa kila siku. sasa sikuhizi wanaume wanataka walale kwenye kochi asihangaike kisa mke anapata 20 milion bro expect kutofuliwa au kupikiwa chakula. money is power. money talks.
 
Back
Top Bottom