Ferdnand Ndikuriyo (Chuma cha Chuma) ahukumiwa miaka mitatu jela, na faini ya TSh. 500,000

Tutamkumbuka kwa chudai yake kali na Gigy money… kwa mara ya kwanza niliona sponsor anapigwa na maombi baada ya show apate dollar zaidi na gigy 😹😹
😂😂😂😂Kumbe Ile dhambi na wew uliipata my Wii Leo gigy atapika pilau
 
Moderator
 

Alikuwa hajui maana ya "watoto wa mjini' na "wakuja".
 
Unaelewa sheria za uhamiaji
Amelinga ukubwa wa makosa, kuteka na kuua hata adhabu zake huwa kubwa sana tofauti na uhamiaji haramu.
Uhamiaji haramu < kuteka na kuua.

Kilichoshangaza ni watekaji na wauaji wanaachwa bila kuchukuliwa hatua yoyote huku people with lesser crimes ndiyo wanavaliwa njuga huku literally madhara ya makosa yao wananchi hawayafahamu wala hayaonekani katika jamii.
Watekaji na wauaji wakamatwe na wapelekwe mahakamani.
 
Huyo mtu amehukumiwa kihalali au kimakosa.. siyo Kila kitu Cha kukosoa kwanini Trump anafukuza wahamiaji haramu na wananchi wake wanamuunga mkono,,,nenda nchi za watu halafu wakukamate unaishi kimagumashi wakukamate Kama watakuonea huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…