Ferdnand Ndikuriyo (Chuma cha Chuma) ahukumiwa miaka mitatu jela, na faini ya TSh. 500,000

Ferdnand Ndikuriyo (Chuma cha Chuma) ahukumiwa miaka mitatu jela, na faini ya TSh. 500,000

Watekaji kama wale waliomteka mzee kibao wapo uraiani lakini raia mwema ambaye hajaiba chochote anafungwa kisa tu ni mrundi.Hovyo sana hii Nchi.

Kwa hiyo sheria ya adhabu ya nchi hii inatambua kosa la kuiba tu.
 
Back
Top Bottom