Ferdnand Ndikuriyo (Chuma cha Chuma) ahukumiwa miaka mitatu jela, na faini ya TSh. 500,000

Ferdnand Ndikuriyo (Chuma cha Chuma) ahukumiwa miaka mitatu jela, na faini ya TSh. 500,000

Kisa ni kuwatomba watoto wa Tanzania wenye tamaa ya pesa na huyo jamaa ni mtombaji ni sawa na wewe uende Burundi uanze kuwatomba mabinti waburundi huna cha kupoteza huku unawarekodi ndio wanachofanywa mabinti wa kitanzania wenye tamaa za pesa
Na kawafl sanaaa

Ova
 
Huyo mtu amehukumiwa kihalali au kimakosa.. siyo Kila kitu Cha kukosoa kwanini Trump anafukuza wahamiaji haramu na wananchi wake wanamuunga mkono,,,nenda nchi za watu halafu wakukamate unaishi kimagumashi wakukamate Kama watakuonea huruma.
Tumeishi sana kimagumashi mpaka sasa tunatumia passports za ughaibuni but that's beside the point.
Sijasema asihukumiwe, read and understand the concept. Issue ni kwamba kwanini wahalifu wafanyao uhalifu wa kutisha hawachukuliwi hatua wakati those with lesser crimes wanarukiwa fasta? Nao wakamatwe wachukuliwe hatua.
 
Hyu jamaa aliji expose sana
Alafu alikuwa anajifanya tmb tmb
+ kujifanya ana spend sana hela
Kumbe watu walikuwa wanamchek tu

Ova
Hajui kanuni za ki Mafia kuelewa kwamba ni rahisi sana kufanikiwa kutengeneza hela kwa jinai kuliko kujifica usijulikane baada ya kutengeneza hela kwa jinai.

Hakujifunza kwa Hushpuppy.
 
Kuuza papa wewe pia si unajua km anauza pssuy?
Anauza mwili wake mzima. Chakushangaza ni nini?

Hata Tanari wa kitabu cha King James alikuwa ni kahaba aliyepqchikwabati wa kizazi xhqnuzqo wa Yesu, kama unabisha soma Mwanzo 38, yote ni kisa chake.
 
Back
Top Bottom