Ferre Gola: Mfalme asiye na nyota

Ferre Gola: Mfalme asiye na nyota

Kuna hii " Eclipse' nayo noma . Jamaa anajua kulalamika sana mpaka unakuhamisha dunia
 
Kuna dude kinaitwa "Kinshasa" Duh Munguwangu. Humu FERRE amepasua jipu balaa. Jamaa ameimba kumnanga mchepuko. Yaani baada ya kuopoa mchepuko, Sasa mchepuko ukawa na spidi kuliko mke wa ndani. Jamaa kaanza kutelekeza familia, Sasa Kwa bahati akashtuka mapema. Imagine katika Dunia ya mapenzi jamaa anaimba Madini kama haya. Huku mdundo uko high. Humor Yuko na mwanadada Leticia Melody wanajibizana mpaka Raha.
 
Kuna dude kinaitwa "Kinshasa" Duh Munguwangu. Humu FERRE amepasua jipu balaa. Jamaa ameimba kumnanga mchepuko. Yaani baada ya kuopoa mchepuko, Sasa mchepuko ukawa na spidi kuliko mke wa ndani. Jamaa kaanza kutelekeza familia, Sasa Kwa bahati akashtuka mapema. Imagine katika Dunia ya mapenzi jamaa anaimba Madini kama haya. Huku mdundo uko high. Humor Yuko na mwanadada Leticia Melody wana
 
Huyu jamaa ni Mfalma we Rhumba za kweli. Ni mwanamuziki ambaye ukiwa mpenzi wa Rhumba lazima utenge siku maalum ya kusikiliza mziki wake. Bahati mbaya Dunia ya Sasa inataka vitu feki kuliko original.

Kama Dunia ingetenda haki, basi FERRE GOLA angekua juuu sana. Mfalme huyu hajapata heshima anayo stahili na wala nyote yake haiwaki inavyopaswa.

Gola anazo nyimbo nzuri zenye ushauri na kukupa maadili ya maisha. Mungu amtunze huyu Franco wa kizazi hiki.
Leo nimeamka na Rhuma ya Gola, nilipofika kwenye ngoma inaitwa "Qui vivra verra" imebidi niweke repeat mode.

Jamaa amelalamika sana juu ya haya maisha ya kubangaiza huku akiamua kumuachia Mungu aamue hatma yake.

Imejikimbusha ngoma zake zingine kama Maboko Pamba, hii nayo ni balaa lingine.

Jaribu kusikiliza Qui vivra verra, sikiliza mwanaume analia sababu ya maisha magumu, sikiliza guitar rhythm na Bass tulivu. Sikiliza solo yenye heskima na heshima.

Wimbo wa mwaka 2013 lakini utadhani umetoka Jana.

Team Golla kula Tano mwanangu.
Unawaeleza na watoto wapendao singeli?
 
Ujinga unaingiaje hapo 🌝🌝🤣😂 na unge andika bila kusema neno ujinga ungepungukiwa nn?
😊😊🤓🤓😎😎
 
Kamasutra
100 kilos
Vita imana
Porte mannaie
[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Porte monnaie naweza kusikiliza siku nzima,ninazo zote hizi,ila ikifika hiyo you naweka repeat mpaka siku inaisha.Hizo nyimbo nasikiliza kwa radio ya gari na zinaniburudisha sana
 
100 kilos it's my best song,hata kama Nina mawazo Huwa unanifariji sana,ilibidi nitafute tafsiri yake,
 
Hapana sio Hana nyota huyu jamaa nyota iko juu sana ila ulionao karibu hawamjui
Ferre ni Habari nyingine kabisa ktk rhumba
 
Huyu ndo msanii wangu namba 3 ninayemkubali hapa duniani.
1. Koffi Olomide (Genius)
2. Madillu system (Mzee wa masauti)
3. Ferre gola (Fundi wa Rhumba)
4. Fally ipupa (Mkali wa Genre zote)

Hizi ndo nyimbo 76 za ferre gola ninazozipenda na kuziimba mwanzo mwisho.
Screenshot_20230206_143831_jetAudio.jpg
Screenshot_20230206_143841_jetAudio.jpg
Screenshot_20230206_143849_jetAudio.jpg
Screenshot_20230206_143859_jetAudio.jpg
 
Huyu jamaa ni Mfalma we Rhumba za kweli. Ni mwanamuziki ambaye ukiwa mpenzi wa Rhumba lazima utenge siku maalum ya kusikiliza mziki wake. Bahati mbaya Dunia ya Sasa inataka vitu feki kuliko original.

Kama Dunia ingetenda haki, basi FERRE GOLA angekua juuu sana. Mfalme huyu hajapata heshima anayo stahili na wala nyote yake haiwaki inavyopaswa.

Gola anazo nyimbo nzuri zenye ushauri na kukupa maadili ya maisha. Mungu amtunze huyu Franco wa kizazi hiki.
Leo nimeamka na Rhuma ya Gola, nilipofika kwenye ngoma inaitwa "Qui vivra verra" imebidi niweke repeat mode.

Jamaa amelalamika sana juu ya haya maisha ya kubangaiza huku akiamua kumuachia Mungu aamue hatma yake.

Imejikimbusha ngoma zake zingine kama Maboko Pamba, hii nayo ni balaa lingine.

Jaribu kusikiliza Qui vivra verra, sikiliza mwanaume analia sababu ya maisha magumu, sikiliza guitar rhythm na Bass tulivu. Sikiliza solo yenye heskima na heshima.

Wimbo wa mwaka 2013 lakini utadhani umetoka Jana.

Team Golla kula Tano mwanangu.
Tusioelewa lugha anayoimba tuna-comment wapi.
 
Kuna dude kinaitwa "Kinshasa" Duh Munguwangu. Humu FERRE amepasua jipu balaa. Jamaa ameimba kumnanga mchepuko. Yaani baada ya kuopoa mchepuko, Sasa mchepuko ukawa na spidi kuliko mke wa ndani. Jamaa kaanza kutelekeza familia, Sasa Kwa bahati akashtuka mapema. Imagine katika Dunia ya mapenzi jamaa anaimba Madini kama haya. Huku mdundo uko high. Humor Yuko na mwanadada Leticia Melody wana

mara nyingi hiyo ngoma huwa naiweka ktk loop mode.

since title yake ni Kinshasa, nilikuwa nadhani anaimba kuhusu kusifia jiji la kinshasa.

kuna hii ngoma yake nyingine tamu sana, inaitwa "ma meilleure chemise". humu ndani ferre ame-fuse hii ngoma na flavor za mziki wa salsa ambao ni maarufu kule latin america.

ukipata muda isikilize kwenye app ya boomplay. balaaa[emoji91][emoji91][emoji91].
Ma meilleure chemise | Boomplay Music
 
Back
Top Bottom