Huo ni wimbo wa taifa wa Bar zote nchini. Ukienda bar ukaagiza hadi unaondoka bila kupigwa hio nyimbo ni uhaini 🤣🤣🤣! Usirudi tena kwenye hio bar.Ferre yuko vizuri, nikinunua gari lazima niisikilize 100 killos kwenye ndinga
Huo mzigo unagusa sana moyo. Ukiusikiliza ile Marriage Version ndio hatari. 🤣100 kls my all time favourite
Naenda kuidownload, ila wakuu kisanola ni adimu sana fanyeni niipateHuo mzigo unagusa sana moyo. Ukiusikiliza ile Marriage Version ndio hatari. 🤣
Vita imanaKamasutra ni noma niko naisikiliza hapa
Makasiiii bilengeee yya MatadiKwaa manufaa ya wote[emoji120][emoji120]
,
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2507729
Hatareee sana...Niliiwahi kusikiliza Vita Imana toka Dar mpaka Singida
Baada ya kusikiliza hiyo vita imana na 100kilos naunga mkono hojaFerre ni Kiba wa DRC,wakati Fally ni Mondi wa Bongo,angalia video na promo zao.
Sijawahi kuielewa mizik ya bolingo kutoka congo huko au hapa bongo ..nipo sanaa kwen R&B na kidogo kweny Regge