Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaona sasa! hii ni mipango ya mungu tuwe pamoja. hata atoto atakubali. kifasheni huku wanasema kuna dry winter hivyo unapaswa kupaka mafuta yanayotunza unyevu wa ngozi na kukinga jua. unakuta baridi lakini jua likitoka lina unguza sababu ya low humidity. kwahiyo hapa kutoa posa naelekea wapi?Hahaha na Mbeya japo ni kwetu ila kunakupausha rangi uwii
Hahahah watoto wengi wa hivi unakuta ni watoto wa fashoonistas, au Vitoto vyenyewe vinafanya modelling...Mimi sijui fashion, ila naona kumvalisha mtoto hivi kama 'too much' vile.....
![]()
Mmh umechelewa na wewe bana teh. Yani Mbeya napapenda ila lile baridi daahunaona sasa! hii ni mipango ya mungu tuwe pamoja. hata atoto atakubali. kifasheni huku wanasema kuna dry winter hivyo unapaswa kupaka mafuta yanayotunza unyevu wa ngozi na kukinga jua. unakuta baridi lakini jua likitoka lina unguza sababu ya low humidity. kwahiyo hapa kutoa posa naelekea wapi?
hili baridi linanikosha sana. ngoja niwe kama fisi nasubiri mkono udondoke. nijulishe ukidondoka.Mmh umechelewa na wewe bana teh. Yani Mbeya napapenda ila lile baridi daah
Hahaha nimefungwa na kamba kabisa, no kudondokahili baridi linanikosha sana. ngoja niwe kama fisi nasubiri mkono udondoke. nijulishe ukidondoka.
".....Watoto wadogo wamenizidi swaga hawa"Cheki mitindo ya watoto hawa ya kupendeza!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ukitaka kuangalia nyingi zaidi unaweza kwenda 16Lao na kuzipata.
Kila la kheriDuh mshanifanya niwe na hamiu ya kupata mtoto wa kiume
hahaahaaaa...mtoto raha kuwa nae ,tatizo tu kumpata kwake ni MCHAKATO!lol[emoji12]Mmmh unaweza ukajikuta unatamani kuzaa ghafla loooh
Hahaha wewe unaye tayari mpendwa? Looh ngoja nivumilie vumilie kidogohahaahaaaa...mtoto raha kuwa nae ,tatizo tu kumpata kwake ni MCHAKATO!lol[emoji12]
Mkoroshokigoli pita huku, kuna mtu "maradhi" yake udongo wa "kicheba"[emoji12]Nope mpendwa, me nimependa tu swagga za hao watoto, wangu si ntamvalisha according na mazingira yetu. Teh me ntaolewa tu na mbongo mwenzangu Inshallah, ugonjwa wangu ni ngozi nyeusi teh
toba tobaaaaa nipite kimya kimya.....pale mama mkwe anapotamani kuzaa[emoji23] [emoji23]. HahahaDuh mshanifanya niwe na hamiu ya kupata mtoto wa kiume
wa kiume tu jamani?
wa kiume tu jamani?
Yaani acha tuMmmh unaweza ukajikuta unatamani kuzaa ghafla loooh