mahatmaxlla
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 896
- 1,435
- Thread starter
-
- #21
Mboga za majani [emoji1] [emoji1]anajidai zawadi ya kudumu ni kujaliwa wowowo ilhali sioni lolote hapo!
au sababu sijala mboga za majani muda mrefu?
Duh acha tu chief ungekuwa karibu nazani angekufa mtu hapa...Jamaa ana hasira huyo balaa.
Duh acha tu chief ungekuwa karibu nazani angekufa mtu hapa...
yeah mboga za majani ndio vegetables..Mboga za majani [emoji1] [emoji1]
Hivi ndo uwaga vegitable?
Naomba kuuliza,kama mwanaume hana utimamu wa ...anaitwa kibamia,na mwanamke ambae hana utimamu wa chura ataitwaje?hilo jina Tumpe uyu fezzakessy nazani litamfaha vyema.
Pale unapoiponda bangi wkt wadau wake tupo wengi humuMkuu naomba unisamehe kwa kukukwaza.
Nafuta kauli yangu.
Pale unapoiponda bangi wkt wadau wake tupo wengi humu
Ahahahahhaha noma sana mkuuSidhani kama nimeiponda, ila jamaa hakuelewa nini nimemaanisha.
Nilivyojua tu atakuwa amevuta tayari imebidi nijikaushe tu.
Hahahaha me nafurahi kuona siku hizi watu wanajua kupembua mambo vilivyo,mtu akiona picha au caption yako tu anatambua mpaka IQ yakoKumbe akili zake hazimtoshi .
Mchaga wa kibosho hahaha,,,,anaupenda uzuri kuliko mungu wakemchaga wa wapi huyu????
Kweli kabisa mkuuAkafirwe mbele
Mkuu huyo tayari anaadhimisha sherehe ya tarehe 1 Desemba..usishangae[emoji23][emoji23][emoji23] nikumbushe mkuu
Asante umemaliza kila kitu!!.Vichwa vingine havihimili mishindo ya bangi kabisa
hahahaVichwa vingine havihimili mishindo ya bangi kabisa