soma hizo post zote lazma utaelewa tuHow to use it?
Umefika muda sasa mtuelekeze jinsi ya kuitumia.
Huyu jamaa atafunga mitandao mingi sana soon
not physically existing as such butKwa nini inaitwa VIRTUAL network wakati ni network ya ukweli?
Kwa mfano uliotumia wa COCA COLA Company, wafanyakazi au ofisi za kampuni popote duniani wanaweza kukutana ( kuwasiliana na ku access data za kampuni kwenye network moja), at the exclusion of all other unathorized guests, which means ni network ya ukweli.
Why VIRTUAL?
Wenye professional zaoSomo kuhusu VPN
Kirefu cha vpn ni virtual private network.Hii ni private network inayokuwezesha kutumia public network pasipo kutambulika.Private network ya kawaida huwa inakosa Usalama wa data.Unapokuwa kwenye public network watu wote mnaotumia hiyo network mnakuwa connected kiasi cha kwamba yoyote kwenye network haswa provider anaweza ku access data za mwengine.Kwa wale watumiaji wa tigo mfano utaona ukiwa una surf link yoyote kutokea facebook unakuja ujumbe wa kukumbusha unatoka facebook hiyo inaonesha Tigo wana access na data zako na wanaweza kufanya chochote
Jinsi VPN inavyofanya kazi
Kila kifaa kinachotumia network huwa na utambulisho wake unaoitwa IP address,VPN hufanya kazi ya kubadilisha IP address ya kifaa chako na kukupa nyengine ambayo sio ya kweli yani Virtual IP address ambayo inakuwezesha kutokutambulika ukiwa kweny network.
IP address hubeba utambulisho unaonesha nini unatafuta kwenye network,wapi ulipo na jinsi ya kufikia unachokitaka
Faida za VPN
VPN huweza kubadilisha IP address na kuwezesha kukufanya uonekane popote utakapo duniani,kukufanya uingie kwenye websites zinazozuiwa na kukufanya uepuke michujo yoyote kwenye internet
Usalama ni mkubwa na ni ngumu mtu kujua utambulisho wako halisi
Inapunguza gharama za ku surf
Jinsi ya kutumia VPN
Kuna njia nyingi za kutumia VPN lakini rahisi zaidi ni ile ya kutumia software inayobadilisha IP address yako kila unapoanzisha network
Kwa watumiaji wa simu hili ni rahisi zaidi kwani kuna apps zinazofanya kazi hii
App unayopaswa kuichagua inategemea unataka kuitumia VPN kwenye matumizi gani
Zifuatazo ni Apps bora za VPN kwa watumiaji wa Android
1.Hotspot Shield VPN&Proxy
Kitu cha pekee kuhusu app hii ni kusupport 4G na ina features nyingi kuliko vpn app nyenginezo
2.Unlimited free VPN-berrenet
3.Hideman VPN
4.SurEasy VPN
5.FinchVPN
6.Hola free VPN
7.Tunnel bear
Watalamu jibuni swali hili mtakuwa mumetusaidiwa wengi sanaaaMaelezo mazuri yametolewa kuhusu VPN.
Lakini nina swali kuhusu VPN iliyokuwa kwenye simu
moja kwa moja ukiondoa APPS kibao zilizokuwepo Play Store na kwingineko
ambazo unadownload na kuinstall kwenye simu yako.
Je naweza kutumia VPN iliko kwenye simu? Na kama ndio najazaje?
Au VPN iliyoko ni tofauti na hizi APP za VPN?
Naomba ufafanuzi mzuri ili nielewe. Naambatanisha na Picha ya VPN ktk simu yangu.
View attachment 764431
PoaVirtual private network ni mfumo ulioanzishwa mwanzo kwajili ya biashara kubwa baadae hata watumiaji binafsi walilazimika kutumia ,
Mfano: coca cola company iko karibu dunia nzima bila kutumia vpn wangelazimika kutumia cables kuunganisha office zao mfano Canada, Georgia, Tanzania ila haiwezekani kwaiyo watatumia internet na vpn itahusika hapo ili kulinda taarifa zao kutoka kwa hackers.
Mfumo huu unaosaidia ukiwa kwenye mtandao usionekane uko wapi(hide your location), pia unakusaidia kuficha taarifa zako (data encryption), pia unakusaidia kuingia website zilizofungiwa(unblock site) sehemu uliopo mfano ukiwa china sites kama YouTube, google, facebook, zimefungiwa ukitaka kiziacces lazma utumie vpn,
Vpn pia inauwezo wakuficha I.p address yako isijulikane iko wapi?
Vpn zipo nyingi na kila moja ina idadi ya servers , zipo za free na zipo zakulipiwa kwa jinsi yakutumia vpn ingia YouTube kila moja ina jinsi yaku install + configuration. .
WanakujaVpn Wanasema Kuwa Inalinda Taarifa Za Mtumiaji Ili Asiweze Kudukuliwa Na Wana Usalama Na Wahalifu,,sasa Nachohitaji Kujua,,ni Hiki, Mwanzoni nilikua natumia pc yangu bila vpn,,naperuzi mitandaon na kufanya mamb yote bila vpn inamaana hapa kama taarifa zangu wadukuzi walikuwa wanazipata vzuri tu,,Na sasa nimedownload cyberghost vpn swal lang ni je,,inauwezo wa kudaka taarifa zangu za nyuma zote ambazo zilikuwa ziko wazi na kuzificha ,,,au inaanzia kufanyia kazi taarifa zinazoingia mara baada ya kuinstall na kuanza kuitumia yan taarifa mpya,,?
Jibu nimeshapigia mstariVpn Wanasema Kuwa Inalinda Taarifa Za Mtumiaji Ili Asiweze Kudukuliwa Na Wana Usalama Na Wahalifu,,sasa Nachohitaji Kujua,,ni Hiki, Mwanzoni nilikua natumia pc yangu bila vpn,,naperuzi mitandaon na kufanya mamb yote bila vpn inamaana hapa kama taarifa zangu wadukuzi walikuwa wanazipata vzuri tu,,Na sasa nimedownload cyberghost vpn swal lang ni je,,inauwezo wa kudaka taarifa zangu za nyuma zote ambazo zilikuwa ziko wazi na kuzificha ,,,au inaanzia kufanyia kazi taarifa zinazoingia mara baada ya kuinstall na kuanza kuitumia yan taarifa mpya,,?
Kama hautumii VPN haina maana kuwa taarifa zako zinaweza kudukuliwa. Unapotumia web au application yoyote inayotumia SSL/https taarifa zako ziko salama kwa vile zipo encrypted kwa hiyo VPN haiongezi chochote kwa upande huo.Vpn Wanasema Kuwa Inalinda Taarifa Za Mtumiaji Ili Asiweze Kudukuliwa Na Wana Usalama Na Wahalifu,,sasa Nachohitaji Kujua,,ni Hiki, Mwanzoni nilikua natumia pc yangu bila vpn,,naperuzi mitandaon na kufanya mamb yote bila vpn inamaana hapa kama taarifa zangu wadukuzi walikuwa wanazipata vzuri tu,,Na sasa nimedownload cyberghost vpn swal lang ni je,,inauwezo wa kudaka taarifa zangu za nyuma zote ambazo zilikuwa ziko wazi na kuzificha ,,,au inaanzia kufanyia kazi taarifa zinazoingia mara baada ya kuinstall na kuanza kuitumia yan taarifa mpya,,?
Nahitaji pia kujua hapaMaelezo mazuri yametolewa kuhusu VPN.
Lakini nina swali kuhusu VPN iliyokuwa kwenye simu
moja kwa moja ukiondoa APPS kibao zilizokuwepo Play Store na kwingineko
ambazo unadownload na kuinstall kwenye simu yako.
Je naweza kutumia VPN iliko kwenye simu? Na kama ndio najazaje?
Au VPN iliyoko ni tofauti na hizi APP za VPN?
Naomba ufafanuzi mzuri ili nielewe. Naambatanisha na Picha ya VPN ktk simu yangu.
View attachment 764431
Unajaza settings za VPN server yako, so kama umenunua VPN service sehemu watakupa hizo settings kama wanasupport VPN bila App.Unaposeti VPN kwa kutumia setting kuna sehemu ya Name na Server address naomba msaada hapo. Au unajaza tu jina lolote
Ko kuna maduka wanauza hizo VPN serverUnajaza settings za VPN server yako, so kama umenunua VPN service sehemu watakupa hizo settings kama wanasupport VPN bila App.
Hiyo ni service unanunua online. Kama uantaka kutumia settings lazima uhakikishe hiyo VPn iko compatible na device yako.Ko kuna maduka wanauza hizo VPN server