Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Ushahid wa yy kuiga weka hapa kwanza, pili yy ni real kwa sababu anaishi atakavyo yy sio watakavyo watu! Unafaham pesa zake anakowekeza au zinapokwenda? Pili hao babu tale watu wa hovyooo sanaaa mbona before hawakusema hayo? Tabia za kidemu hizo wangekaa kimya watu wakajionea wenywe.
 
Ni ukweli mtupu fid anakopy
Yote haya ni kutaka Kumfanya Fid q aonekane sio bora kabisa sababu Kawazingua wasafi...ambacho ni kitu cha kipuuzi sana...!! Upuuzi wa kiwango cha lamii...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Embu nitupieni audio za FID Q nipate burudani mimi... anakopi ama hakopi haiondoa ubora wake kwenye game...

vinginevyo jamaa angashafulia kitambo sana si unajua KUKOPI HAINA MAISHA MAREFU KWA UNACHOKIFANYA EH...

Weka nyimbo za FID Q niupe ubongo chakula
Screenshot_2018-11-29-23-01-38.jpeg
 
Hizi verse kakopi toka wimbo gani???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na fid q wewe... Kile kichwa kinginee... Hata akiacha hip hop leo Hakuna Best Hip hop kama yeyee...
Screenshot_20181203-074204.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Fid the best... natamani hata Ngwear angekuwepo, ni watu makini sana.
ndio maana mbana pua hawezi kumuelewa.
 
Fid the best... natamani hata Ngwear angekuwepo, ni watu makini sana.
ndio maana mbana pua hawezi kumuelewa.
 
Tunachukiana kwa sababu Tunaogopana...
Tunaogopana kwa sababu Hatujajuana...
Hatujuani kwa sababu Tunatengana...
DUNIA NI NZURI WALIMWENGU HAWANA MAANA.
#FID'Q
Acha utani kijana jamaa hashushwi kijinga hv.
 
That's not hip hop bro. Hip hop is real.Tell us what u have experienced in real life. Tunataka kujifunza kutoka kwko sio kutoka kwenye vitu ulivyo visoma
Mkuu unajua sababu gani Pac alikuwa akijiita Makaveli???
 
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake.


Mfano kwenye wimbo mmoja wa Fid kuna mstari anasema " Maisha ni kama kioo ukiyachekea na yenyewe yanakuchekea'

Hii amecopy kwa MTU mmoja anaitwa Peace Pilgrim ambae nukuu yake inasema " Life is like a mirror if you smile at it it smiles back at you'

Nyimbo nyingi za huyu jamaa ni tafsiri ya mawazo ya watu wengine

Jambo linalo mfanya kuwa mfalme wa plagiarism Tanzania

Plagiarism ni kitendo cha kuchukua wazo la mwandishi mwingine.na kulipresent kana kwamba ni wazo lako bila kumu acknowledge muasisi wa wazo hilo.

Kwa nchi za wenzetu ambao wanalinda na kuthamini kazi za fasihi, Fid angekuwa ana rot in jail this time cause wahusika lazima wange msue na kwa kiwango cha idadi ya mistari aliyo iba kwa waandishi wengine sidhani kama angeweza kuwalipa, mwisho wa siku angeishia kuwa civil prisoner.

Katika ulimwengu wa kiroho anacho kifanya fid q ni kutembelea nyota za watu.

Kwa sababu nyota ya MTU INA include akili yake pia.

MTU amebuni wazo lake Wewe umelichukua na kulifanya wazo lako na ukapewa sifa na watu wengine wakiamini kwamba Wewe ndio uliw toa wazo hilo. Hapo maana yake ni kwamba unakuwa unatembelea nyota ya Huyo ambae umeiba wazo lake.

USHAURI WANGU KWA FID Q

Its high time now uanze kutumia mawazo yako Wewe mwenyewe ili tuweze kukutofautisha na kukushindanisha na artist wengine ambao wanafanya muziki kama Wewe.

Siwezi kukushindanisha na MTU kama Joh Makini au Nilki Mbishi kwa sababu wenzako wapo real na Wewe unatumia mawazo ya watu wengine . Yaani ntakuwa nawashindanisha na hao watu ambao una wa copy something which is not fair.

JUST BE REAL LIKE OTHER HIP HOP ARTISTS :
Mfano Babuu kwenye ngoma yake Kimbia kuna sehemu anasema

" POLISI NI MSHKAJI UKIWA NAE KITAANI, UKIFIKA KITUONI ANAKUACHA KAMA HAKUONI" Huu ni mstari ambao unarelate na uhalisia, ni filosofi na ufundisha. Hata mtoto atakae zaliiwa mwaka 2050 akiusikia huo mstari atauelewa na utamuhusu.

Anaweza kuwa ameimba kitu cha kawaida sana ( kwa viwango vyako ) lakini ni wazo lake mwenyewe.

Hujawahi kumsikia Chindo Man kwenye wimbo wa JCB feat Arusha All Stars akisema " TORATI YA STREET INASEMA USIWE FALA" Kwanini na Wewe usianze kuandika track zinazo tokana na utunzi wako mwenyewe?
Matter fact hiyo line ya Chindo hata Wewe inakuhusu kwa sababu kilichosemw na Babu Tale na Fella juzi kama ni kweli basi Wewe ni fala kweli coz kutokuwa na hela ni ufala kama alivyosema Mzee Upako.

Leave Mzee wa Upako aside Mzee upo kwenye game kwa miaka kumi na tano and huna hata gari na unalelewa? Kama ni kweli bro ufanyie kazi huo mstari wa Chindo

Mifano IPO mingi sana. Badilika and be real.

WATZ SIKU HIZI WAMEANZA KUSOMA VITABU..DONT THINK THEY DONT UNDERSTAND
Binadamu hawezi kuwa mzuri pande zote mkuu.... Huu upande wake ambao watu wengi hawaujui una tatizo sana kwake kwa siku za usoni
Maana siku hizi misemo yake miingi imeanza hadi kuandikwa kwenye madaftari ya msomi
 
Binadamu hawezi kuwa mzuri pande zote mkuu.... Huu upande wake ambao watu wengi hawaujui una tatizo sana kwake kwa siku za usoni
Maana siku hizi misemo yake miingi imeanza hadi kuandikwa kwenye madaftari ya msomi
Wameijua kupitia fid q[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wameijua kupitia fid q[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inaaandikwa kwa kiingereza then huwa wanamuweka kabisa aliyeandika
Ila sio kwamba huwa simkubali mi naona hata njia anayoifanya ni njia nzuri mana before nlikuwa sijui kiingereza lakini saiv naelewa ndo mana kidogo kuisikia mistari yake tunaona kama anakopi vile
 
Back
Top Bottom