Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Anafanya makosa .huo ni wizi kama wizi mwingine. Atoe mawazo yake binafsi hayo ya kwenye vitabu awe anayazungumzia wakati wa interview au awe na yeye aandike vitabu then awe ana wa quote humo kwa sababu ni rahisi
Acheni ungese quotes zipo nyingi sana zimebandikwa kila sehemu na zinatumiwa na kila mtu its just a sign of appreciation... hata waliozitamka walijikuta wanatamka tu maneno konki bila kutarajia na yakaishi hadi leo hiyo ndo tafsiri ya quote sasa vp ww unaleta habari zako hp if u hate bro? hate in silence sio hadi kila mtu ajue
 
That's not hip hop bro. Hip hop is real.Tell us what u have experienced in real life. Tunataka kujifunza kutoka kwko sio kutoka kwenye vitu ulivyo visoma
kwahiyo mistari ya fidi mingine wewe hujaona kitu real
 
Punch za fid q zote ni copy hili unaweza kuliona kirahisi,hawezi kuimba bila kusoma.

Hii ni sababu kubwa pia hawezi fanya free styles.
still anachofanya ni fasihi na itaishi miaka mingi hana tofauti na mwandishi wa vitabu
 
Nakumbuka kuna msemo mmoja alikuwa anaupenda sana mwalimu wangu wa kishwahili naye aliutoa kwenye kitabu nimekisahau s "akupigae ngumi ya jicho nawe mpige ya sikio" nikaja kuukuta kwenye ngoma ya Fid Q ile ya kwanza kabisa...watoto wadogo naonutawaskia fid q....
mi binafsi namshkuru fid maana bila yeye kuna misemo mingi sana nisingekaa kuisikia maishani mwangu.. hivi na ule mstari, "Ukijikuna tako uskate kucha kwa meno" nani aliuanzisha?
 
Considering the day this thread was posted, I know I am a tad late but I need to have a chitchat with my my friend, LIKUD.

Likud, I have been watching your threads closely and two things have been clear to me: First, You are a die hard fan of Joh Makini and his battalion - Weusi, which leads to the second observation I made: You hate those who prove to be good than your line of the music you like.

Anyways, let's not get into that. The reason i replied was to let you know you are a liar. Fid Q has been acknowledging, in a loud volume, those from whom he takes his lines. For example, in most of his interviews he says that he reads books a lot and books are where he comes with his lines. To prove that, in his song titled "kiberiti" he clearly mentioned what book he had referred to make most of the song. It is either you hate him or you are too ignorant to understand what he answers when he is interviewed.

Stop preaching this rubbish.!
 
Kwenye wimbo "Ni hayo tu" Fid Q anasema "anaweza kufanya madawa yakaugua". Nimekuja gundua majuzi tu kuwa ni maneno ya Muhammad Ali "I'm so mean I make medicine sick"
 
mtaani tena zamani sana miaka ya 2000

Yaani wewe kusoma kitabu kimoja na kukuta iyo kauli ukajua ndo yake

kasome kitabu cha misemo ya kichina na maana zake utaikuta iyo kauli pia
kinaitwaje hicho kitabu?
 
Tukukumbushe movie Kali nyingi zimetoka kwenye vitabu vya watu, Kwa hiyo sio kitu cha kusumbua akili, na hata fashion za nguo na viatu unazoziona sasa hivi ni copy ya fashion za zamani.

Na kingine, wanamuziki wanosifiwa Kwa kucheza sasa hivi wote ni copy ya Michael Jackson na malegendary wengine wa zamani.
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake.


Mfano kwenye wimbo mmoja wa Fid kuna mstari anasema " Maisha ni kama kioo ukiyachekea na yenyewe yanakuchekea'

Hii amecopy kwa MTU mmoja anaitwa Peace Pilgrim ambae nukuu yake inasema " Life is like a mirror if you smile at it it smiles back at you'

Nyimbo nyingi za huyu jamaa ni tafsiri ya mawazo ya watu wengine

Jambo linalo mfanya kuwa mfalme wa plagiarism Tanzania

Plagiarism ni kitendo cha kuchukua wazo la mwandishi mwingine.na kulipresent kana kwamba ni wazo lako bila kumu acknowledge muasisi wa wazo hilo.

Kwa nchi za wenzetu ambao wanalinda na kuthamini kazi za fasihi, Fid angekuwa ana rot in jail this time cause wahusika lazima wange msue na kwa kiwango cha idadi ya mistari aliyo iba kwa waandishi wengine sidhani kama angeweza kuwalipa, mwisho wa siku angeishia kuwa civil prisoner.

Katika ulimwengu wa kiroho anacho kifanya fid q ni kutembelea nyota za watu.

Kwa sababu nyota ya MTU INA include akili yake pia.

MTU amebuni wazo lake Wewe umelichukua na kulifanya wazo lako na ukapewa sifa na watu wengine wakiamini kwamba Wewe ndio uliw toa wazo hilo. Hapo maana yake ni kwamba unakuwa unatembelea nyota ya Huyo ambae umeiba wazo lake.

USHAURI WANGU KWA FID Q

Its high time now uanze kutumia mawazo yako Wewe mwenyewe ili tuweze kukutofautisha na kukushindanisha na artist wengine ambao wanafanya muziki kama Wewe.

Siwezi kukushindanisha na MTU kama Joh Makini au Nilki Mbishi kwa sababu wenzako wapo real na Wewe unatumia mawazo ya watu wengine . Yaani ntakuwa nawashindanisha na hao watu ambao una wa copy something which is not fair.

JUST BE REAL LIKE OTHER HIP HOP ARTISTS :
Mfano Babuu kwenye ngoma yake Kimbia kuna sehemu anasema

" POLISI NI MSHKAJI UKIWA NAE KITAANI, UKIFIKA KITUONI ANAKUACHA KAMA HAKUONI" Huu ni mstari ambao unarelate na uhalisia, ni filosofi na ufundisha. Hata mtoto atakae zaliiwa mwaka 2050 akiusikia huo mstari atauelewa na utamuhusu.

Anaweza kuwa ameimba kitu cha kawaida sana ( kwa viwango vyako ) lakini ni wazo lake mwenyewe.

Hujawahi kumsikia Chindo Man kwenye wimbo wa JCB feat Arusha All Stars akisema " TORATI YA STREET INASEMA USIWE FALA" Kwanini na Wewe usianze kuandika track zinazo tokana na utunzi wako mwenyewe?
Matter fact hiyo line ya Chindo hata Wewe inakuhusu kwa sababu kilichosemw na Babu Tale na Fella juzi kama ni kweli basi Wewe ni fala kweli coz kutokuwa na hela ni ufala kama alivyosema Mzee Upako.

Leave Mzee wa Upako aside Mzee upo kwenye game kwa miaka kumi na tano and huna hata gari na unalelewa? Kama ni kweli bro ufanyie kazi huo mstari wa Chindo

Mifano IPO mingi sana. Badilika and be real.

WATZ SIKU HIZI WAMEANZA KUSOMA VITABU..DONT THINK THEY DONT UNDERSTAND
 
Back
Top Bottom