Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Inaaandikwa kwa kiingereza then huwa wanamuweka kabisa aliyeandika
Ila sio kwamba huwa simkubali mi naona hata njia anayoifanya ni njia nzuri mana before nlikuwa sijui kiingereza lakini saiv naelewa ndo mana kidogo kuisikia mistari yake tunaona kama anakopi vile
Hii kakopi kwenye hiyo mistari ya kingereza pia????[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20181203-074204.jpeg
 
Hii ni baadhi ya mistari aliyo iiba mchizi

True friends are quick to sit in the beginning of all trouble, and when your bankroll doubles/ - Teacha

Vs

Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi, Kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi / - Fid

'Cause don't nobody care about us, all they do is doubt us/ Until we blow the spot then they all wanna crowd us , and wanna shout us/ but you my man from way back' - Teacha

vs

'sihitaji urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa.. upishwe useat kwenye bar,upewe beat na Jr../ kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi fid ni underground' - Fid '/


I'm not a yes man and none of my friends are yes men or women/' - Teacha

Vs '

sikia fid q anamsifia fareed ni bandidu sio Yes man/'- Fid

'Whether at the bar with superstars'- Teacha

Vs '

sihitaji urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa.. upishwe useat kwenye bar ,' - Fid


Pitia hii link hapa....

Internet.org
Mkuu fanya hivi I edit hii post kisha weka nyimbo ambayo fid amekopy hii mistari. Naona una strong case
 
Nenda kasikilize mixtapes hizi JOGOO
BY NIKKI MBISHI , SOGA ZA MZAWA BY ONE NA AFRICAN SON BY STEREO kisha ulete mrejesho
Ebwana wee..

One au Moko wa Miujiza kwa Upande wangu ni moja ya watu bora kabisa kwa sasa katika utunzi wa Mashairi.

Wengine humfananisha na Hashimu dogo.

One katika Uandishi nampa yangu namba moja.

"Maisha bora ndio salamu ya Mnyanganyi."

a)Hii ni siri yenye laana kama tupu ya mzazi,

Kwa roho Mkunjufu sitoruhusu utunduwazi,

Sizungumzi na Mwana na Zungumza na mzazi,

Huu uzungu wa kuuzana kama ruzuku ya Jambazi,

Zunguka hakuna Rafiki kama noti,
Sista hakuna mnafiki kama shosti,

Nikki Mbishi yupo vyema karibia pande kona zote za hip hop Wengine humuita G.O.A.T (Greatest of All the Time) lakini katika Uandishi nadhani hapa One anamuacha.


Stereo yupo vyema pia.

"Kata pochi upate penzi hauna Kula uchochoro,
Utafanyiwa ushenzi kila unaporudi mgogoro,
Pigana na hela kisela maneno sio pungufu,"
 
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake.


Mfano kwenye wimbo mmoja wa Fid kuna mstari anasema " Maisha ni kama kioo ukiyachekea na yenyewe yanakuchekea'

Hii amecopy kwa MTU mmoja anaitwa Peace Pilgrim ambae nukuu yake inasema " Life is like a mirror if you smile at it it smiles back at you'

Nyimbo nyingi za huyu jamaa ni tafsiri ya mawazo ya watu wengine

Jambo linalo mfanya kuwa mfalme wa plagiarism Tanzania

Plagiarism ni kitendo cha kuchukua wazo la mwandishi mwingine.na kulipresent kana kwamba ni wazo lako bila kumu acknowledge muasisi wa wazo hilo.

Kwa nchi za wenzetu ambao wanalinda na kuthamini kazi za fasihi, Fid angekuwa ana rot in jail this time cause wahusika lazima wange msue na kwa kiwango cha idadi ya mistari aliyo iba kwa waandishi wengine sidhani kama angeweza kuwalipa, mwisho wa siku angeishia kuwa civil prisoner.

Katika ulimwengu wa kiroho anacho kifanya fid q ni kutembelea nyota za watu.

Kwa sababu nyota ya MTU INA include akili yake pia.

MTU amebuni wazo lake Wewe umelichukua na kulifanya wazo lako na ukapewa sifa na watu wengine wakiamini kwamba Wewe ndio uliw toa wazo hilo. Hapo maana yake ni kwamba unakuwa unatembelea nyota ya Huyo ambae umeiba wazo lake.

USHAURI WANGU KWA FID Q

Its high time now uanze kutumia mawazo yako Wewe mwenyewe ili tuweze kukutofautisha na kukushindanisha na artist wengine ambao wanafanya muziki kama Wewe.

Siwezi kukushindanisha na MTU kama Joh Makini au Nilki Mbishi kwa sababu wenzako wapo real na Wewe unatumia mawazo ya watu wengine . Yaani ntakuwa nawashindanisha na hao watu ambao una wa copy something which is not fair.

JUST BE REAL LIKE OTHER HIP HOP ARTISTS :
Mfano Babuu kwenye ngoma yake Kimbia kuna sehemu anasema

" POLISI NI MSHKAJI UKIWA NAE KITAANI, UKIFIKA KITUONI ANAKUACHA KAMA HAKUONI" Huu ni mstari ambao unarelate na uhalisia, ni filosofi na ufundisha. Hata mtoto atakae zaliiwa mwaka 2050 akiusikia huo mstari atauelewa na utamuhusu.

Anaweza kuwa ameimba kitu cha kawaida sana ( kwa viwango vyako ) lakini ni wazo lake mwenyewe.

Hujawahi kumsikia Chindo Man kwenye wimbo wa JCB feat Arusha All Stars akisema " TORATI YA STREET INASEMA USIWE FALA" Kwanini na Wewe usianze kuandika track zinazo tokana na utunzi wako mwenyewe?
Matter fact hiyo line ya Chindo hata Wewe inakuhusu kwa sababu kilichosemw na Babu Tale na Fella juzi kama ni kweli basi Wewe ni fala kweli coz kutokuwa na hela ni ufala kama alivyosema Mzee Upako.

Leave Mzee wa Upako aside Mzee upo kwenye game kwa miaka kumi na tano and huna hata gari na unalelewa? Kama ni kweli bro ufanyie kazi huo mstari wa Chindo

Mifano IPO mingi sana. Badilika and be real.

WATZ SIKU HIZI WAMEANZA KUSOMA VITABU..DONT THINK THEY DONT UNDERSTAND

kwani haiwezekani fid q ndio aliwapa hao watunzi wa vitabu hayo mawazo?

unajuaje uhusiano wao?

hata kama...hakuna kosa,

wivu wivu......
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake.


Mfano kwenye wimbo mmoja wa Fid kuna mstari anasema " Maisha ni kama kioo ukiyachekea na yenyewe yanakuchekea'

Hii amecopy kwa MTU mmoja anaitwa Peace Pilgrim ambae nukuu yake inasema " Life is like a mirror if you smile at it it smiles back at you'

Nyimbo nyingi za huyu jamaa ni tafsiri ya mawazo ya watu wengine

Jambo linalo mfanya kuwa mfalme wa plagiarism Tanzania

Plagiarism ni kitendo cha kuchukua wazo la mwandishi mwingine.na kulipresent kana kwamba ni wazo lako bila kumu acknowledge muasisi wa wazo hilo.

Kwa nchi za wenzetu ambao wanalinda na kuthamini kazi za fasihi, Fid angekuwa ana rot in jail this time cause wahusika lazima wange msue na kwa kiwango cha idadi ya mistari aliyo iba kwa waandishi wengine sidhani kama angeweza kuwalipa, mwisho wa siku angeishia kuwa civil prisoner.

Katika ulimwengu wa kiroho anacho kifanya fid q ni kutembelea nyota za watu.

Kwa sababu nyota ya MTU INA include akili yake pia.

MTU amebuni wazo lake Wewe umelichukua na kulifanya wazo lako na ukapewa sifa na watu wengine wakiamini kwamba Wewe ndio uliw toa wazo hilo. Hapo maana yake ni kwamba unakuwa unatembelea nyota ya Huyo ambae umeiba wazo lake.

USHAURI WANGU KWA FID Q

Its high time now uanze kutumia mawazo yako Wewe mwenyewe ili tuweze kukutofautisha na kukushindanisha na artist wengine ambao wanafanya muziki kama Wewe.

Siwezi kukushindanisha na MTU kama Joh Makini au Nilki Mbishi kwa sababu wenzako wapo real na Wewe unatumia mawazo ya watu wengine . Yaani ntakuwa nawashindanisha na hao watu ambao una wa copy something which is not fair.

JUST BE REAL LIKE OTHER HIP HOP ARTISTS :
Mfano Babuu kwenye ngoma yake Kimbia kuna sehemu anasema

" POLISI NI MSHKAJI UKIWA NAE KITAANI, UKIFIKA KITUONI ANAKUACHA KAMA HAKUONI" Huu ni mstari ambao unarelate na uhalisia, ni filosofi na ufundisha. Hata mtoto atakae zaliiwa mwaka 2050 akiusikia huo mstari atauelewa na utamuhusu.

Anaweza kuwa ameimba kitu cha kawaida sana ( kwa viwango vyako ) lakini ni wazo lake mwenyewe.

Hujawahi kumsikia Chindo Man kwenye wimbo wa JCB feat Arusha All Stars akisema " TORATI YA STREET INASEMA USIWE FALA" Kwanini na Wewe usianze kuandika track zinazo tokana na utunzi wako mwenyewe?
Matter fact hiyo line ya Chindo hata Wewe inakuhusu kwa sababu kilichosemw na Babu Tale na Fella juzi kama ni kweli basi Wewe ni fala kweli coz kutokuwa na hela ni ufala kama alivyosema Mzee Upako.

Leave Mzee wa Upako aside Mzee upo kwenye game kwa miaka kumi na tano and huna hata gari na unalelewa? Kama ni kweli bro ufanyie kazi huo mstari wa Chindo

Mifano IPO mingi sana. Badilika and be real.

WATZ SIKU HIZI WAMEANZA KUSOMA VITABU..DONT THINK THEY DONT UNDERSTAND
Ww n mpuuzi wa kupuuzwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"me ni high level,sio high level ndo mana hunioni,wulize wenzako fid q yuko juu zaidi yako homi"

Yuko juu sijui atambana kama kizibo cha soda, kushuka ngazi tu unahema, Je kuzipanda hupati uwoga?

Mleta uzi ana Chuki za kifala sana
 
Hizi za kuandika hatukopi kwenye vitabu..Joh Makini kwenye byebye
Wazee wa Mwanza Mwanza na wavivu wakusoma huwa wanamuona jamaa kama ni kichwa sana.
Ila yupo kwenye level ya kawaida sana kuna viumbe wanaandika wewe.
 
Ukijikuna tackle usikate kucha kwa meno amekopi kwa martin luther king junior
 
Sidhani kama kuna 'idea' mpya kabisa kabisa Msanii anaweza kuja nayo ili awaridhishe watu wa sampuli yako.

Hata nyimbo za wasanii wakubwa duniani, tayari zilishawahi kuimbwa na wasanii wengine kabla yao, tena wao wamepita mulemule -- bora hata ya Fid Q anayeleta mawazo yake kutoka katika 'quotes' za watu -- lakini bado hakimiliki ni zao.

Mifano halisi ni hii michache:
1. Wimbo YOUNG FOREVER wa msanii mkongwe wa Hip Hop nchini Marekani, JAY-Z ulishawahi kuimbwa miaka ya '80 na msanii NASHVILLE, na ukiusikiliza, Jigga amepita mulemule, lakini bado dunia imemtambua SHAWN CARTER @ JAY-Z kwa ngoma yake hiyo.

2. Wimbo maarufu wa MAD WORLD ulioimbwa na msanii GARY JULES ulishaimbwa na SHADE OF TEARS miaka ya nyuma, na ni vilevile 90%. Kwahiyo ni suala la kawaida kabisa.

Kwa hapa Bongo kuna nyimbo kama Siwema, Sina Makosa, nk. zimekuwa 'severely sampled,' NI SUALA LA KAWAIDA KABISA.

Kwahiyo FID Q is still a genious.
westlife- I have a dream ni wimbo wa ABBA

UB40- I cant help you to fall in love ni wa ELVIS PERSLEY

UB40- nyimbo zao nyingi zilishaimbwa kitambo
 
Gazeti lote hili kwa hiyo quote moja tu? hebu toa hoja za maana ili hata sisi tunaomwamini na kumsikiliza tubadili mawazo... kwa nnavyojua mimi reference kwenye nyimbo za Fidi ni kama 15% tu others ni mawazo yake mwenyewe na utunzi wa fasihi ulio imara Umeignore 85% kwa ajili ya15%? you are a hater bro
 
Back
Top Bottom