Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Ushahid wa yy kuiga weka hapa kwanza, pili yy ni real kwa sababu anaishi atakavyo yy sio watakavyo watu! Unafaham pesa zake anakowekeza au zinapokwenda? Pili hao babu tale watu wa hovyooo sanaaa mbona before hawakusema hayo? Tabia za kidemu hizo wangekaa kimya watu wakajionea wenywe.
 
Ni ukweli mtupu fid anakopy
Yote haya ni kutaka Kumfanya Fid q aonekane sio bora kabisa sababu Kawazingua wasafi...ambacho ni kitu cha kipuuzi sana...!! Upuuzi wa kiwango cha lamii...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Embu nitupieni audio za FID Q nipate burudani mimi... anakopi ama hakopi haiondoa ubora wake kwenye game...

vinginevyo jamaa angashafulia kitambo sana si unajua KUKOPI HAINA MAISHA MAREFU KWA UNACHOKIFANYA EH...

Weka nyimbo za FID Q niupe ubongo chakula
 
Hizi verse kakopi toka wimbo gani???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na fid q wewe... Kile kichwa kinginee... Hata akiacha hip hop leo Hakuna Best Hip hop kama yeyee...
 
Reactions: Pep
Fid the best... natamani hata Ngwear angekuwepo, ni watu makini sana.
ndio maana mbana pua hawezi kumuelewa.
 
Fid the best... natamani hata Ngwear angekuwepo, ni watu makini sana.
ndio maana mbana pua hawezi kumuelewa.
 
Tunachukiana kwa sababu Tunaogopana...
Tunaogopana kwa sababu Hatujajuana...
Hatujuani kwa sababu Tunatengana...
DUNIA NI NZURI WALIMWENGU HAWANA MAANA.
#FID'Q
Acha utani kijana jamaa hashushwi kijinga hv.
 
That's not hip hop bro. Hip hop is real.Tell us what u have experienced in real life. Tunataka kujifunza kutoka kwko sio kutoka kwenye vitu ulivyo visoma
Mkuu unajua sababu gani Pac alikuwa akijiita Makaveli???
 
Binadamu hawezi kuwa mzuri pande zote mkuu.... Huu upande wake ambao watu wengi hawaujui una tatizo sana kwake kwa siku za usoni
Maana siku hizi misemo yake miingi imeanza hadi kuandikwa kwenye madaftari ya msomi
 
Binadamu hawezi kuwa mzuri pande zote mkuu.... Huu upande wake ambao watu wengi hawaujui una tatizo sana kwake kwa siku za usoni
Maana siku hizi misemo yake miingi imeanza hadi kuandikwa kwenye madaftari ya msomi
Wameijua kupitia fid q[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wameijua kupitia fid q[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inaaandikwa kwa kiingereza then huwa wanamuweka kabisa aliyeandika
Ila sio kwamba huwa simkubali mi naona hata njia anayoifanya ni njia nzuri mana before nlikuwa sijui kiingereza lakini saiv naelewa ndo mana kidogo kuisikia mistari yake tunaona kama anakopi vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…