Hii kakopi kwenye hiyo mistari ya kingereza pia????[emoji23][emoji23][emoji23]Inaaandikwa kwa kiingereza then huwa wanamuweka kabisa aliyeandika
Ila sio kwamba huwa simkubali mi naona hata njia anayoifanya ni njia nzuri mana before nlikuwa sijui kiingereza lakini saiv naelewa ndo mana kidogo kuisikia mistari yake tunaona kama anakopi vile
Mkuu mi sisapoti upande wowote lakinHii kakopi kwenye hiyo mistari ya kingereza pia????[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 955769
Mkuu fanya hivi I edit hii post kisha weka nyimbo ambayo fid amekopy hii mistari. Naona una strong caseHii ni baadhi ya mistari aliyo iiba mchizi
True friends are quick to sit in the beginning of all trouble, and when your bankroll doubles/ - Teacha
Vs
Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi, Kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi / - Fid
'Cause don't nobody care about us, all they do is doubt us/ Until we blow the spot then they all wanna crowd us , and wanna shout us/ but you my man from way back' - Teacha
vs
'sihitaji urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa.. upishwe useat kwenye bar,upewe beat na Jr../ kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi fid ni underground' - Fid '/
I'm not a yes man and none of my friends are yes men or women/' - Teacha
Vs '
sikia fid q anamsifia fareed ni bandidu sio Yes man/'- Fid
'Whether at the bar with superstars'- Teacha
Vs '
sihitaji urafiki na usupastaa / ukihit ndo unang'aa.. upishwe useat kwenye bar ,' - Fid
Pitia hii link hapa....
Internet.org
Mkuu nenda kwenye hii link hapa chini walisha lijadili kwa mapana...Mkuu fanya hivi I edit hii post kisha weka nyimbo ambayo fid amekopy hii mistari. Naona una strong case
Ebwana wee..Nenda kasikilize mixtapes hizi JOGOO
BY NIKKI MBISHI , SOGA ZA MZAWA BY ONE NA AFRICAN SON BY STEREO kisha ulete mrejesho
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake.
Mfano kwenye wimbo mmoja wa Fid kuna mstari anasema " Maisha ni kama kioo ukiyachekea na yenyewe yanakuchekea'
Hii amecopy kwa MTU mmoja anaitwa Peace Pilgrim ambae nukuu yake inasema " Life is like a mirror if you smile at it it smiles back at you'
Nyimbo nyingi za huyu jamaa ni tafsiri ya mawazo ya watu wengine
Jambo linalo mfanya kuwa mfalme wa plagiarism Tanzania
Plagiarism ni kitendo cha kuchukua wazo la mwandishi mwingine.na kulipresent kana kwamba ni wazo lako bila kumu acknowledge muasisi wa wazo hilo.
Kwa nchi za wenzetu ambao wanalinda na kuthamini kazi za fasihi, Fid angekuwa ana rot in jail this time cause wahusika lazima wange msue na kwa kiwango cha idadi ya mistari aliyo iba kwa waandishi wengine sidhani kama angeweza kuwalipa, mwisho wa siku angeishia kuwa civil prisoner.
Katika ulimwengu wa kiroho anacho kifanya fid q ni kutembelea nyota za watu.
Kwa sababu nyota ya MTU INA include akili yake pia.
MTU amebuni wazo lake Wewe umelichukua na kulifanya wazo lako na ukapewa sifa na watu wengine wakiamini kwamba Wewe ndio uliw toa wazo hilo. Hapo maana yake ni kwamba unakuwa unatembelea nyota ya Huyo ambae umeiba wazo lake.
USHAURI WANGU KWA FID Q
Its high time now uanze kutumia mawazo yako Wewe mwenyewe ili tuweze kukutofautisha na kukushindanisha na artist wengine ambao wanafanya muziki kama Wewe.
Siwezi kukushindanisha na MTU kama Joh Makini au Nilki Mbishi kwa sababu wenzako wapo real na Wewe unatumia mawazo ya watu wengine . Yaani ntakuwa nawashindanisha na hao watu ambao una wa copy something which is not fair.
JUST BE REAL LIKE OTHER HIP HOP ARTISTS :
Mfano Babuu kwenye ngoma yake Kimbia kuna sehemu anasema
" POLISI NI MSHKAJI UKIWA NAE KITAANI, UKIFIKA KITUONI ANAKUACHA KAMA HAKUONI" Huu ni mstari ambao unarelate na uhalisia, ni filosofi na ufundisha. Hata mtoto atakae zaliiwa mwaka 2050 akiusikia huo mstari atauelewa na utamuhusu.
Anaweza kuwa ameimba kitu cha kawaida sana ( kwa viwango vyako ) lakini ni wazo lake mwenyewe.
Hujawahi kumsikia Chindo Man kwenye wimbo wa JCB feat Arusha All Stars akisema " TORATI YA STREET INASEMA USIWE FALA" Kwanini na Wewe usianze kuandika track zinazo tokana na utunzi wako mwenyewe?
Matter fact hiyo line ya Chindo hata Wewe inakuhusu kwa sababu kilichosemw na Babu Tale na Fella juzi kama ni kweli basi Wewe ni fala kweli coz kutokuwa na hela ni ufala kama alivyosema Mzee Upako.
Leave Mzee wa Upako aside Mzee upo kwenye game kwa miaka kumi na tano and huna hata gari na unalelewa? Kama ni kweli bro ufanyie kazi huo mstari wa Chindo
Mifano IPO mingi sana. Badilika and be real.
WATZ SIKU HIZI WAMEANZA KUSOMA VITABU..DONT THINK THEY DONT UNDERSTAND
Mkuu nenda kwenye hii link hapa chini walisha lijadili kwa mapana...
Fid Q, How do you explain this brother? - JamiiForums
Ww n mpuuzi wa kupuuzwaHakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake.
Mfano kwenye wimbo mmoja wa Fid kuna mstari anasema " Maisha ni kama kioo ukiyachekea na yenyewe yanakuchekea'
Hii amecopy kwa MTU mmoja anaitwa Peace Pilgrim ambae nukuu yake inasema " Life is like a mirror if you smile at it it smiles back at you'
Nyimbo nyingi za huyu jamaa ni tafsiri ya mawazo ya watu wengine
Jambo linalo mfanya kuwa mfalme wa plagiarism Tanzania
Plagiarism ni kitendo cha kuchukua wazo la mwandishi mwingine.na kulipresent kana kwamba ni wazo lako bila kumu acknowledge muasisi wa wazo hilo.
Kwa nchi za wenzetu ambao wanalinda na kuthamini kazi za fasihi, Fid angekuwa ana rot in jail this time cause wahusika lazima wange msue na kwa kiwango cha idadi ya mistari aliyo iba kwa waandishi wengine sidhani kama angeweza kuwalipa, mwisho wa siku angeishia kuwa civil prisoner.
Katika ulimwengu wa kiroho anacho kifanya fid q ni kutembelea nyota za watu.
Kwa sababu nyota ya MTU INA include akili yake pia.
MTU amebuni wazo lake Wewe umelichukua na kulifanya wazo lako na ukapewa sifa na watu wengine wakiamini kwamba Wewe ndio uliw toa wazo hilo. Hapo maana yake ni kwamba unakuwa unatembelea nyota ya Huyo ambae umeiba wazo lake.
USHAURI WANGU KWA FID Q
Its high time now uanze kutumia mawazo yako Wewe mwenyewe ili tuweze kukutofautisha na kukushindanisha na artist wengine ambao wanafanya muziki kama Wewe.
Siwezi kukushindanisha na MTU kama Joh Makini au Nilki Mbishi kwa sababu wenzako wapo real na Wewe unatumia mawazo ya watu wengine . Yaani ntakuwa nawashindanisha na hao watu ambao una wa copy something which is not fair.
JUST BE REAL LIKE OTHER HIP HOP ARTISTS :
Mfano Babuu kwenye ngoma yake Kimbia kuna sehemu anasema
" POLISI NI MSHKAJI UKIWA NAE KITAANI, UKIFIKA KITUONI ANAKUACHA KAMA HAKUONI" Huu ni mstari ambao unarelate na uhalisia, ni filosofi na ufundisha. Hata mtoto atakae zaliiwa mwaka 2050 akiusikia huo mstari atauelewa na utamuhusu.
Anaweza kuwa ameimba kitu cha kawaida sana ( kwa viwango vyako ) lakini ni wazo lake mwenyewe.
Hujawahi kumsikia Chindo Man kwenye wimbo wa JCB feat Arusha All Stars akisema " TORATI YA STREET INASEMA USIWE FALA" Kwanini na Wewe usianze kuandika track zinazo tokana na utunzi wako mwenyewe?
Matter fact hiyo line ya Chindo hata Wewe inakuhusu kwa sababu kilichosemw na Babu Tale na Fella juzi kama ni kweli basi Wewe ni fala kweli coz kutokuwa na hela ni ufala kama alivyosema Mzee Upako.
Leave Mzee wa Upako aside Mzee upo kwenye game kwa miaka kumi na tano and huna hata gari na unalelewa? Kama ni kweli bro ufanyie kazi huo mstari wa Chindo
Mifano IPO mingi sana. Badilika and be real.
WATZ SIKU HIZI WAMEANZA KUSOMA VITABU..DONT THINK THEY DONT UNDERSTAND
Beat ya wimbo gani?Acha kutuongea wewe yule alikuwa anabadilisha nyimbo za Krs one muulize pfunky hata beat ya krs one walishirikiana kuiba na kubadilisha kidogo ila ni mulemule
"me ni high level,sio high level ndo mana hunioni,wulize wenzako fid q yuko juu zaidi yako homi"
the Mc na classic ile ya DJ premier ukakopi hadi beat na styleBeat ya wimbo gani?
Noma
Professor j ndo God father wa bongo fleva tzBora professa jay alisema ukitaka Kuona umuhimu wa matako,kalia kichwa
westlife- I have a dream ni wimbo wa ABBASidhani kama kuna 'idea' mpya kabisa kabisa Msanii anaweza kuja nayo ili awaridhishe watu wa sampuli yako.
Hata nyimbo za wasanii wakubwa duniani, tayari zilishawahi kuimbwa na wasanii wengine kabla yao, tena wao wamepita mulemule -- bora hata ya Fid Q anayeleta mawazo yake kutoka katika 'quotes' za watu -- lakini bado hakimiliki ni zao.
Mifano halisi ni hii michache:
1. Wimbo YOUNG FOREVER wa msanii mkongwe wa Hip Hop nchini Marekani, JAY-Z ulishawahi kuimbwa miaka ya '80 na msanii NASHVILLE, na ukiusikiliza, Jigga amepita mulemule, lakini bado dunia imemtambua SHAWN CARTER @ JAY-Z kwa ngoma yake hiyo.
2. Wimbo maarufu wa MAD WORLD ulioimbwa na msanii GARY JULES ulishaimbwa na SHADE OF TEARS miaka ya nyuma, na ni vilevile 90%. Kwahiyo ni suala la kawaida kabisa.
Kwa hapa Bongo kuna nyimbo kama Siwema, Sina Makosa, nk. zimekuwa 'severely sampled,' NI SUALA LA KAWAIDA KABISA.
Kwahiyo FID Q is still a genious.