benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Uamuzi wa Serikali kuifanyia marekebisho Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yaliyofanyika mwaka 2017 na kanuni zake ni chanzo cha Serikali kulipa Sh75 bilioni kwa mwekezaji Winshear Gold iliyemfutia leseni.
Fedha hizo zingeweza kutumika kuboresha sekta kadhaa za maendeleo, lakini zimeishia mikononi mwa mwekezaji kutokana na uamuzi uliofanywa na Serikali miaka michache iliyopita.
Fedha zilizolipwa kwa kampuni hiyo zingeweza kujenga zahanati 267 na vituo vya afya 68.
Kwa upande wa magari ya kubebea wagonjwa, yangeweza kununuliwa 250, moja likigharimu Sh300 milioni na kila mkoa ungeweza kupatiwa magari tisa.
Fedha hizo zingeweza kutumika kuboresha sekta kadhaa za maendeleo, lakini zimeishia mikononi mwa mwekezaji kutokana na uamuzi uliofanywa na Serikali miaka michache iliyopita.
Fedha zilizolipwa kwa kampuni hiyo zingeweza kujenga zahanati 267 na vituo vya afya 68.
Kwa upande wa magari ya kubebea wagonjwa, yangeweza kununuliwa 250, moja likigharimu Sh300 milioni na kila mkoa ungeweza kupatiwa magari tisa.