Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahaaaa hapana aseee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ..kuna kichwa kibaya na kibovu kumbuka.. changu hakifai kunyolewa para tu ila sio kwamba kina bonde katikati
Nikisema kwa ID yangu hii..noah nyeusi itanihusu lakini unipe tu uhakika wa kuniletea ubwabwa mzuri central daily[emoji23][emoji23][emoji23]sawa mkuu kwahiyo cha pjm nikibaya au kibovu??hahhaa ila kumbuka maendeleo hayana chama
Alafu mimi sija panic ww ndio umepanic mpaka Umehamisha magoli.Calm down mzee ..
Usipate hisia kwa issue ndogo, nilikujibu tu kutokana na point yako kuwa WCB wamefika walipofika kwa content nzuri. Huwa sipendi personal attacks mzee , attack point zangu
Kama unaona Diamond anavyowatreat wanawake ni sawa hata kwa wanao wa kike au hata dada zako .bhasi siwezi kukupinga
Kingine kama huoni matusi yanayoimbwa kwenye nyimbo za WCB ni sawa na blind patriotism.Pia hata kama matusi yangeimbwa na watu wakubwa kama marais lakini hiyo haialalishi kuwa ni WRONG..WRONG IS STILL WRONG , no matter who or how many people do it ..
Wewe jamaaa ase [emoji114][emoji114][emoji114] [emoji16][emoji16]Alafu mimi sija panic ww ndio umepanic mpaka Umehamisha magoli.
Mimi kwetu nimezaliwa wa kiume peke yangu na dada zangu wakishafikia 18, sina cha kuwa control kwani siku zote sipendi kuingilia maamuzi ya hisia za wadogo zangu kwani wana maamuzi yao kihisia kama mimi ila nitawashauri, wewe kama unaweza ni ww mi sifanyagi hivyo, ila kama wakihitaji ushauri nitawapa .
Mimi sioni na ndio MAANA ZINAITWA TUNGO TATA, utaelewa unavyojua ww.
Umeongea vyema mkuu,kuwepo kwa matamsha mengi tofaut tofauti ndio kukua kwa game,, Ndio mana hata baada ya Wasafi festival kuanza,hata wasanii ambao walikua hawapati fursa ,wakapata na wao Showz.Fiesta ikifa ni watu wengi sana wataumia mbali na clouds, nilitegemea utataja makosa lakini pia utatoa hata mwanzo wa nini unadhani kifanyike
Mnaoshabikia kufa kwa Fiesta na Clouds ilhali mnaishabikia wasafi bhasi hamjielewi..monopoly wote duniani hawana tofauti katika kutaka super normal profits. Kushindwa kwa mavoko sio kitu cha kufurahia maana itafika kipindi wasanii wa WCB nao watakabwa shingo na kwa hofu ile ile ya kutotoboa bila WCB kama ilivyokuwa clouds..watanyonywa zaidi
Nachoona kuwe na Festivals mbalimbali ili nguvu ya wasanii iwe kubwa maana akikosa Fiesta ataenda wasafi au mziki mnene..hii ndo itakuwa solution
Nyama ya Bata kaimba Lil ghetto ft Mzee Yusufu,Na wimbo wa Pole samaki pole wanavyokufanya kaimba A.T,Pia kuna wimbo wa Mama Ntilie ulioimbwa na A.T ft Ray c una maudhui ya kingono ila umeimbwa kwa mafumbo.Unahamisha magoli, au una yako binafsi? Hivi mondi anawadhalilisha wanawake anawabaka? Je Kuna mtu katembea nae ana miaka below 18?
Kiki ktk entertainment ni kawaida Kanye na 50 cent walishafanya walivyoachia album zao, ayo technology ya 50 na goodlife ya Kanye na mauzo ya album zao yakapanda , ila kiki inakubeba ukiwa na content nzuri.
Alafu nyimbo ya matusi ukiitoa Nyegezi zinabaki ngapi? Mbona unakuza au upo basata? Alafu Mondi si mtu wa kwanza kuimba nyimbo zenye tungo tata Kuna wahenga kibao kama Mwanahela mkunaji na mkunwa huona raha ni nani, Issa Matona, Bibi Kidude na Kuna nyimbo msanii nimemsahau inaitwa nyama ya bata, hizi hujasikia.
harafu hakua kwenye list, so hakulipwa akawa anaatuomba mashabikiNgada sijui zina nini yaani mtu ata awe talent vipi lazima zitaharibu talent yake mf Darassa, ila Chid Benz bado ana fight ila jamaa kamsha jana alafu ana mapafu naona leo kila mtu ana mwongelea yy.Ila hiki kimachowakuta Clouds wakichukulie kama somo waache kugombana na wasanii.
Ukitafuta nyimbo zenye content nzuri WCB ni chache na tena hazina kiki sana kama zile ambazo zimeegemea katika ngono.. Kidogo muweke mbosso na lavalava kwani ndo wanaegemea katika content na hii ndo inaipa WCB utofauti
WCB imeegemea katika nyimbo zinazowasisimua watu kingono maana ndo zinazopendwa sana na wateja wao.. kingine ni KIKI ambayo tunaita Publicity, yaani wao wakae midomoni mwa watu tu maana inawasaidia pale wanapotoa songs
Hivi ni mara ngapi Diamond anapingwa kuhusu kuzalilisha wanawake lakini mbona haachi.. wanaompinga sio wateja wake maana wateja wake ni wale wanaokuwa proud na vitendo vyake na ndo maana vijana hawaoni aibu kujiita platnumz..
Yaani hii topic ni ndefu ila jua tu kama umesomea biashara au marketing alafu ukawa ushapita kwenye hizi field na pia kuwa strategist.mbona wanayofanya akina Ruge, Joe na Diamond yanaonekana wazi ukitoa hisia za kishabiki
Nikisema kwa ID yangu hii..noah nyeusi itanihusu lakini unipe tu uhakika wa kuniletea ubwabwa mzuri central daily
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nitaongea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HAWAAMINI WANACHOKIONA.Hahaha Clouds wamechoma na Fiesta lao jauuuuu!!!
Mimi sijaenda ila mtu aliyeenda pia kaniambia hivyo aliefanya vizuri ni chid benzi nilishangaa kidogo...Ngada sijui zina nini yaani mtu ata awe talent vipi lazima zitaharibu talent yake mf Darassa, ila Chid Benz bado ana fight ila jamaa kamsha jana alafu ana mapafu naona leo kila mtu ana mwongelea yy.Ila hiki kimachowakuta Clouds wakichukulie kama somo waache kugombana na wasanii.
Na mimi nipo kama huyo๐nampendaga huyo kaka kw avatar yKo๐
Hapo nambie chochote nafanya maana sio kwa kujali kwa namna hiyo ..uoga nshaeka kando, sema nifanye nini ufurahi[emoji4][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23]acha uwoga ww lol..nitakuletea pilau kbs[emoji4]..nitaleta na pepeta uwe unatafuna tafuna unavyosubiri kusomwa kwa kesi yako
๐๐kiri kwa kinywa chako kuwa una bichwa baya kama la namba 1๐...bichwa mbonyeo๐๐..lina macontour ya kufa mtu๐Hapo nambie chochote nafanya maana sio kwa kujali kwa namna hiyo ..uoga nshaeka kando, sema nifanye nini ufurahi[emoji4][emoji4][emoji4]
๐๐๐ nahis aisee..๐๐..ww somebdy mwabulambo๐?nimetoka kutana nw na kichwa 1 ya PHSS amenichekesha sana tht Mogha bado yupo,na Chaula๐Na mimi nipo kama huyo๐