Huo si utakuwa uongo sasa... [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] ntakutumia kichwa changu pm ujipimie mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]kiri kwa kinywa chako kuwa una bichwa baya kama la namba 1[emoji4]...bichwa mbonyeo[emoji4][emoji4]..lina macontour ya kufa mtu[emoji16]
😂😂😂kiweke hapa mkuu tufaidike wote😊Huo si utakuwa uongo sasa... [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] ntakutumia kichwa changu pm ujipimie mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaaa sio kila mtu anataka kukiona..labda wewe tu [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]kiweke hapa mkuu tufaidike wote[emoji4]
😂😂😂au umeweka piko kama PMHahaaa sio kila mtu anataka kukiona..labda wewe tu [emoji16][emoji16]
Raha sana....huwazi chochote..... KKB.utoto raha sana
WCB majukwaa tu yamewashinda mpaka mkadondoka.fiesta gani umewahi kusikia jukwaa limedondoka.acheni wivu.Fiesta ikifa ni watu wengi sana wataumia mbali na clouds, nilitegemea utataja makosa lakini pia utatoa hata mwanzo wa nini unadhani kifanyike
Mnaoshabikia kufa kwa Fiesta na Clouds ilhali mnaishabikia wasafi bhasi hamjielewi..monopoly wote duniani hawana tofauti katika kutaka super normal profits. Kushindwa kwa mavoko sio kitu cha kufurahia maana itafika kipindi wasanii wa WCB nao watakabwa shingo na kwa hofu ile ile ya kutotoboa bila WCB kama ilivyokuwa clouds..watanyonywa zaidi
Nachoona kuwe na Festivals mbalimbali ili nguvu ya wasanii iwe kubwa maana akikosa Fiesta ataenda wasafi au mziki mnene..hii ndo itakuwa solution
Mkuu naomba Ni bipMmmh hatari
Taarabu kwanza kwa mtiririko aloutaja manake alifatilia show mwa mwii mkubwa mkubwa tu kaka na majukwaa yenu mabovu clouds ndo dingi lao kam roman catholic vile.Mipashoooo mingi!!