Fiesta Dar yabumaaaaa watu wachache

[emoji23][emoji23]kiri kwa kinywa chako kuwa una bichwa baya kama la namba 1[emoji4]...bichwa mbonyeo[emoji4][emoji4]..lina macontour ya kufa mtu[emoji16]
Huo si utakuwa uongo sasa... [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] ntakutumia kichwa changu pm ujipimie mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huo si utakuwa uongo sasa... [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] ntakutumia kichwa changu pm ujipimie mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16]
😂😂😂kiweke hapa mkuu tufaidike wote😊
 
Fiesta ishakuwa ya wasanii toka Arusha tuu hata kama ni vichwa maji...Clouds huwa wanakera sana somtyme..kwanza wakipotea kwangu mimi sherehe
 
Fiesta ya sasa sio kama ya zamanii fiesta ya janaa inarudi nyumaa[emoji446][emoji441][emoji445][emoji447][emoji447][emoji445][emoji445] ruge amka bwana mambo hayaendi uku
 
WCB majukwaa tu yamewashinda mpaka mkadondoka.fiesta gani umewahi kusikia jukwaa limedondoka.acheni wivu.
 
Diamond alikuwa finished kwenye fiesta ya 2014 Ambapo Tİ alitimba ..toka siku ile ajakanyaga fiesta tena..Mwana Dar es salaam ilimpoteza...kifupi walivyokataliwa fiesta ya leaders lazima watu wapungue...Domo ajipange na kiki za wanawake....watu wamekwenda kula Xmass
 
Walianza Vinega.
Wakaja Mziki Mnene.
Sasa ni Wasafi Festival.
Who is next...
Bado hawajaiua Fiesta sie tunasubiri kuona mshindi huku tukiburudika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…