Kwasababu Clouds ni wapumbavu ndo tunataka tuwaelimisheMbona kama unawafatilia kuliko wanavyokufatilia?
Majibu toka kwa wasio na busara ndo huwa hiviKwasababu Clouds ni wapumbavu ndo tunataka tuwaelimishe
Kwasababu Clouds ni wapumbavu ndo tunataka tuwaelimishe
Mama yako ana hasara sana. Kwani Wasafi na Clouds wanakuongezea hela maishani mwako?
watoto wadogo mnakazi!!!!Kwasababu Clouds ni wapumbavu ndo tunataka tuwaelimishe
Alieua wasanii wengi wa tanzania wenye vipaji kwa upanga nae inabidi auwawe.Hawajitambui wana chuki na clouds wakati Kusaga ndo mnufaika wa kote
Hata miti ina mizizi ila ukikata Shina na kubandua magome,haudumu utakufa tu.Clouds haiwezkan kudrop kiivyo kam mnavyofikilia bado inamizizi yake yakutosha
Haijarishi kusaga yupo wasafi au lah,Hawajitambui wana chuki na clouds wakati Kusaga ndo mnufaika wa kote
Clouds N wasafi, baba mmoja hao.Baada ya miaka mitatu redio clouds itakua kama WAPO FM,kusaga mwenyewe ameshama nchi akija anakuja kukagua viwanda vyake tu
Wasafi empire ni Mali ya Diamond,dunia yote inajua hivyo kasoro Wewe,Clouds N wasafi, baba mmoja hao.
Angalia vizuriKwa hoja hizo HUNA hujualo.
Chibu share zake pale hazifiki hata 30%