Fiesta Ina hali mbaya

Fiesta Ina hali mbaya

Miaka 20 unafananisha na mwaka mmoja maweee..wafanye miaka kumi mfululizo kwanza..kuna bidhaa nyingi zinakuja kwa kishindo alafu kapuni...Chibu perfume,Diamond karanga ziko wapi
 
Miaka 20 unafananisha na mwaka mmoja maweee..wafanye miaka kumi mfululizo kwanza..kuna bidhaa nyingi zinakuja kwa kishindo alafu kapuni...Chibu perfume,Diamond karanga ziko wapi
Chibu perfume zimeisha, diamond karaga hawaziuzi tena.hilo ni suala la muhusika mwenyewe kuamua kuendelea na hizo biashara au kuacha ili kuja na kingine baada hizo bidhaa kufanya vizuri sokoni.
 
Kaka usijidanganyee kusaga mjanja sana .. wasafi media .yupo na cloud yupo kiufupi wanacheza na akilizenuu tu yani kama chibu perfume tuu
innocent dependent,
Baada ya miaka mitatu redio clouds itakua kama WAPO FM,kusaga mwenyewe ameshama nchi akija anakuja kukagua viwanda vyake tu
 
Ali kiba Kawazima Midomo Mmehamia Clouds na Fiesta yao, Wakati Mikoa Yote Waliyopita Wamefanikiwa
 
Angelikuwa ni huyo basi bifu ya wasafi na clouds inatokea wapi... jaribuni kutumia logic ya kawaida sema labda ana share na yeye wasafi na hayo mengineyo ni uvumi tu uliovuma enzi za kumshindanisha aslay na diamond
Mke WA kusaga ana 50% ya hisa pale wasafi,kwanini hawapatani hiyo in business strategy ya kuwakamata manyumbu kama wewe ili wapige hela
 
Chibu perfume zimeisha, diamond karaga hawaziuzi tena.hilo ni suala la muhusika mwenyewe kuamua kuendelea na hizo biashara au kuacha ili kuja na kingine baada hizo bidhaa kufanya vizuri sokoni.
Unawezaje kuacha biashara inayofanya vizuri sokoni? Labda uwe chizi,Karanga kidogo ziliuzika but perfume zilibuma mapema huwezi kutuuzia perfume laki1 wakatti dukani kuna perfume elfu5 halafu INA quality sasa na yako
 
Unawezaje kuacha biashara inayofanya vizuri sokoni? Labda uwe chizi,Karanga kidogo ziliuzika but perfume zilibuma mapema huwezi kutuuzia perfume laki1 wakatti dukani kuna perfume elfu5 halafu INA quality sasa na yako
Mzee baba perfume ziliisha au Hauna taarifa.
 
Back
Top Bottom